Kwanini ni muhimu Zelenskyy kuvaa suti White House ila sio viongozi wengine?

Kwanini ni muhimu Zelenskyy kuvaa suti White House ila sio viongozi wengine?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Mojawapo ya maswali aliyoulizwa Zelenskyy leo na watu wa Trump katika mkutano wa hovyo wa waandishi wa habari wa Trump na timu yake ni kwa nini havai suti Oval Office/Ikulu ya Marekani!

Aliyemuuliza swali alisema Wamarekani wengi sana wanatatizwa na kitendo cha Zelenskyy kutokuvaa suti akiwa Ikulu ya Marekani na pia ni kuwadharau Wamarekani!

Hakika akufukuzaye sio lazima akuambie toka.

20250228_233931.jpg

20250228_231500.jpg
 
Mojawapo ya maswali aliyoulizwa Zelenskyy leo na watu wa Trump katika mkutano wa hovyo wa waandishi wa habari wa Trump na timu yake ni kwa nini havai suti Oval Office/Ikulu ya Marekani!

Aliyemuuliza swali alisema Wamarekani wengi sana wanatatizwa na kitendo cha Zelenskyy kutokuvaa suti akiwa Ikulu ya Marekani na pia ni kuwadharau Wamarekani!

Hakika akufukuzaye sio lazima akuambie toka.
View attachment 3253869
View attachment 3253871
View attachment 3253872
Zelensky ni teja mwizi na kibaraka aliyetumika kuiharibu Ukraine sasa kazi yake imeisha anatakiwa aende jela anaonekana kama kondom ilitumika
 
Mojawapo ya maswali aliyoulizwa Zelenskyy leo na watu wa Trump katika mkutano wa hovyo wa waandishi wa habari wa Trump na timu yake ni kwa nini havai suti Oval Office/Ikulu ya Marekani!

Aliyemuuliza swali alisema Wamarekani wengi sana wanatatizwa na kitendo cha Zelenskyy kutokuvaa suti akiwa Ikulu ya Marekani na pia ni kuwadharau Wamarekani!

Hakika akufukuzaye sio lazima akuambie toka.
View attachment 3253869
View attachment 3253871
View attachment 3253872
Zelensky kafanya jambo la maana sana
Bora we umeona maana wengine humu wangekuwa wao ndo Zele wangesign fasta sana huku wakichekacheka hovyo ule mkataba wa kimaamuma kisa umetoka marekani.
Trump alitaka kumgeuza Zelensky kama fursa kwa mtindo wa kufa kufaana.
 
Trump ana beef na Zelensky kumuunga mkono Kamala na democrats kwnye kampeni za uchaguzi na makamu wake katamka kbs kuhusu mkutano wa kampeni kule Pennsylvania ambapo Zele alikuwepo! So lazima atampa wakati mgumu sana kipindi hiki na hata hapo hajasign lkn figisu za Trump zitamuharibia sana tu, Trump ni mtu wa visasi sana, muda utaongea
 
Mojawapo ya maswali aliyoulizwa Zelenskyy leo na watu wa Trump katika mkutano wa hovyo wa waandishi wa habari wa Trump na timu yake ni kwa nini havai suti Oval Office/Ikulu ya Marekani!

Aliyemuuliza swali alisema Wamarekani wengi sana wanatatizwa na kitendo cha Zelenskyy kutokuvaa suti akiwa Ikulu ya Marekani na pia ni kuwadharau Wamarekani!

Hakika akufukuzaye sio lazima akuambie toka.
View attachment 3253869
View attachment 3253871
View attachment 3253872
Walitaka kumdhalilisha
 
Mojawapo ya maswali aliyoulizwa Zelenskyy leo na watu wa Trump katika mkutano wa hovyo wa waandishi wa habari wa Trump na timu yake ni kwa nini havai suti Oval Office/Ikulu ya Marekani!

Aliyemuuliza swali alisema Wamarekani wengi sana wanatatizwa na kitendo cha Zelenskyy kutokuvaa suti akiwa Ikulu ya Marekani na pia ni kuwadharau Wamarekani!

Hakika akufukuzaye sio lazima akuambie toka.
View attachment 3253869
View attachment 3253871
View attachment 3253872
Walitaka kumdhalilisha
 
Mojawapo ya maswali aliyoulizwa Zelenskyy leo na watu wa Trump katika mkutano wa hovyo wa waandishi wa habari wa Trump na timu yake ni kwa nini havai suti Oval Office/Ikulu ya Marekani!

Aliyemuuliza swali alisema Wamarekani wengi sana wanatatizwa na kitendo cha Zelenskyy kutokuvaa suti akiwa Ikulu ya Marekani na pia ni kuwadharau Wamarekani!

Hakika akufukuzaye sio lazima akuambie toka.
View attachment 3253869
View attachment 3253871
View attachment 3253872
Walitaka kumdhalilisha
 
Back
Top Bottom