Kwanini ni muhimu Zelenskyy kuvaa suti White House ila sio viongozi wengine?

Kwanini ni muhimu Zelenskyy kuvaa suti White House ila sio viongozi wengine?

Mojawapo ya maswali aliyoulizwa Zelenskyy leo na watu wa Trump katika mkutano wa hovyo wa waandishi wa habari wa Trump na timu yake ni kwa nini havai suti Oval Office/Ikulu ya Marekani!

Aliyemuuliza swali alisema Wamarekani wengi sana wanatatizwa na kitendo cha Zelenskyy kutokuvaa suti akiwa Ikulu ya Marekani na pia ni kuwadharau Wamarekani!

Hakika akufukuzaye sio lazima akuambie toka.
View attachment 3253869
View attachment 3253871
View attachment 3253872
Hao jamaa walitaka tu kumdhalilisha Rais Zelensky.
 
Zelensky ni teja mwizi na kibaraka aliyetumika kuiharibu Ukraine sasa kazi yake imeisha anatakiwa aende jela anaonekana kama kondom ilitumika
Haya mimi niliyafikiria watu toka mwanzo vita wakat vita inaanza,nilikuwa nikiwaambia watu wanasema yupo sahihi
 
Lilikua ni swali la kumtoa mchezoni wala halikua na maana yoyote, ni funzo kwetu wenye nchi tunapoelekea uchaguzi tumpate rais anaeweza kukabiliana na changamoto kama izo anapoenda kwenye mialiko ya wakuu wa dunia hasa anapoenda kusaini mikataba mikubwa.
 
Mojawapo ya maswali aliyoulizwa Zelenskyy leo na watu wa Trump katika mkutano wa hovyo wa waandishi wa habari wa Trump na timu yake ni kwa nini havai suti Oval Office/Ikulu ya Marekani!

Aliyemuuliza swali alisema Wamarekani wengi sana wanatatizwa na kitendo cha Zelenskyy kutokuvaa suti akiwa Ikulu ya Marekani na pia ni kuwadharau Wamarekani!

Hakika akufukuzaye sio lazima akuambie toka.
View attachment 3253869
View attachment 3253871
View attachment 3253872
Hakuna kitu kilichotokea kwa bahati mbaya, Zelenskyy wamemjaza ili achemke na Trump supporters waone kuwa hastahili kuendelea kusaidiwa. My subconscious mind tells me that this was a prearranged trap ili Zelenskyy anase jumlajumla wamkatie misaada mazima, tuone Europe kama watasimama united kumsaidia and who will lead the financing ukizingatia hata Zelenskyy 50% ya pesa anazopatiwa anadai hajui huwa zinapotelea wapi.
It's like Trump and Putin are playing this game together, that Oval office meeting went exactly the Russia's way. Obviously Putin was enjoying it whilst sipping his shots of vodka.
 
Bora we umeona maana wengine humu wangekuwa wao ndo Zele wangesign fasta sana huku wakichekacheka hovyo ule mkataba wa kimaamuma kisa umetoka marekani.
Zele kazingua kwenye chokochoko ya kuanzisha vita na ndugu yake Mrusi.
Lakini kwenye hili la kupinga kusaini mkataba wa kuwapa madini Marekani nadhani amejitahidi japo msimamo wake unaweza sababisha madhara zaidi
 
Zele kazingua kwenye chokochoko ya kuanzisha vita na ndugu yake Mrusi.
Lakini kwenye hili la kupinga kusaini mkataba wa kuwapa madini Marekani nadhani amejitahidi japo msimamo wake unaweza sababisha madhara zaidi
Chokochoko gani?(
 
Hakuna kitu kilichotokea kwa bahati mbaya, Zelenskyy wamemjaza ili achemke na Trump supporters waone kuwa hastahili kuendelea kusaidiwa. My subconscious mind tells me that this was a prearranged trap ili Zelenskyy anase jumlajumla wamkatie misaada mazima, tuone Europe kama watasimama united kumsaidia and who will lead the financing ukizingatia hata Zelenskyy 50% ya pesa anazopatiwa anadai hajui huwa zinapotelea wapi.
It's like Trump and Putin are playing this game together, that Oval office meeting went exactly the Russia's way. Obviously Putin was enjoying it whilst sipping his shots of vodka.
US kiuchumi yupo vibaya ni suala la muda tu uchumi wa US unacollapse tena economy crush ile mbaya kabisa hivyo US anatafuta kujitoa kuendelea kutoa pesa na anataka apate pesa pia kupitia vita hiyohiyo. Zele kashtuka why US imlazimishe asign mkataba pasipo security guarantee hata kichaa angeshtuka kuwa hapa naingizwa choo cha kike na hasa ukizingatia Trump kwa namna fulani ashaside na Putin.
 
Haya ni maigizo ili Putin ajae kwenye mfumo
 
Zele kazingua kwenye chokochoko ya kuanzisha vita na ndugu yake Mrusi.
Lakini kwenye hili la kupinga kusaini mkataba wa kuwapa madini Marekani nadhani amejitahidi japo msimamo wake unaweza sababisha madhara zaidi
Aliyeanzisha vita sio Ukraine Bali Russia, kipindi cha nyuma aliichukua Crimea US na NATO wakamsihi Ukraine atulie Putin akanogewa akataka na mashabiki yote iwe ndani ya Russia sasa Rais gan wa nchi anayejielewa atakubali hicho kitu?
 
Back
Top Bottom