Kwanini ni muhimu Zelenskyy kuvaa suti White House ila sio viongozi wengine?

Kwanini ni muhimu Zelenskyy kuvaa suti White House ila sio viongozi wengine?

Jamani ndio nimeingia leo mjini nasikia kuna omba omba na yeye kaombwa huko analia lia aonekaje shujaa

" funzo " masikini jeuri ni msemo tu kamwe usiuweke kwenye akili.

HIi inamaanisha kwa upande wa nyuma mtu atachutama tu yaishe ,US ndio alikua kinara wa kumsapoti omba omba kwa pesa na silaha kali hao wengine fata upepo tu
 
Bora we umeona maana wengine humu wangekuwa wao ndo Zele wangesign fasta sana huku wakichekacheka hovyo ule mkataba wa kimaamuma kisa umetoka marekani.
Hata huo mkataba wenyewe wasingesoma, kama kawaida yao
 
Hakuna kitu kilichotokea kwa bahati mbaya, Zelenskyy wamemjaza ili achemke na Trump supporters waone kuwa hastahili kuendelea kusaidiwa. My subconscious mind tells me that this was a prearranged trap ili Zelenskyy anase jumlajumla wamkatie misaada mazima, tuone Europe kama watasimama united kumsaidia and who will lead the financing ukizingatia hata Zelenskyy 50% ya pesa anazopatiwa anadai hajui huwa zinapotelea wapi.
It's like Trump and Putin are playing this game together, that Oval office meeting went exactly the Russia's way. Obviously Putin was enjoying it whilst sipping his shots of vodka.
Well recent comment za wamarekani zinasema otherwise
Wengi wanasema ilikuwa ni bullying, ili zelensky a fail mbele ya macho ya dunia na akose ushawishi mpaka kwake

Lakin hawakutegemea kusimama kwake imara, hivyo supporting base ya zele imeongezeka

I say tulipe muda jambo litafunguka lenyewe
 
Aliyeanzisha vita sio Ukraine Bali Russia, kipindi cha nyuma aliichukua Crimea US na NATO wakamsihi Ukraine atulie Putin akanogewa akataka na mashabiki yote iwe ndani ya Russia sasa Rais gan wa nchi anayejielewa atakubali hicho kitu?
Kuna sababu iliyopelekea kuifanyia ujambazi Ukrain
 
Trump kakasirika sana dogo Zele kagomea mkataba wa kimangungo alifikiri angepata kitonga
Yeye Zele alidhani hizo silaha na mamilioni ya dolari anapewa bure?
 
Trump kwa akili zake alifikiri Zele angesaini tu mkataba wa kipuuzi kizembezembe ka wasainivyo viongoz maamuma wa kiafrika?
Anabana ila ataachia tu, ile vita haiwezi peke yake hata mwezi mmoja, US akianza EU anafuata...hawezi kupigana bila support.
 
Anabana ila ataachia tu, ile vita haiwezi peke yake hata mwezi mmoja, US akianza EU anafuata...hawezi kupigana bila support.
Ingekuwa we ndo zele ungeachia fasta tu usingebana hata kidogo?
 
M
Bora we umeona maana wengine humu wangekuwa wao ndo Zele wangesign fasta sana huku wakichekacheka hovyo ule mkataba wa kimaamuma kisa umetoka marekani.
Mkuu hivi waliosain mkataba wa bandari zetu wange triple sign af chap wangeitisha press after their arrival. Wangeisifia usa huku wakibubujikwa na machoz ya bashasha mbele ya amiri jeshi.
Nakuliomba bunge liidhinishe sheria ya kukamatwa kwa yeyote atakaye hoji kuhusu mkataba huo mtakatifu. Nimwazo tuu, ila kusema kweli, hapo tumepata behind the scene ya mambo mengi.
 
M

Mkuu hivi waliosain mkataba wa bandari zetu wange triple sign af chap wangeitisha press after their arrival. Wangeisifia usa huku wakibubujikwa na machoz ya bashasha mbele ya amiri jeshi.
Nakuliomba bunge liidhinishe sheria ya kukamatwa kwa yeyote atakaye hoji kuhusu mkataba huo mtakatifu. Nimwazo tuu, ila kusema kweli, hapo tumepata behind the scene ya mambo mengi.
Na soon ungesikia chawa mmoja kaanzisha mkataba wa mama challenge!

Maana nasikia nasikia kuna kitumbua cha mama challenge!
 
Na soon ungesikia chawa mmoja kaanzisha mkataba wa mama challenge!

Maana nasikia nasikia kuna kitumbua cha mana challenge!
Ha ha haa, asee hilo lingeambata na wanenguaji matata kwenye matangazo.
Ila mkuu hujatupiga kweli hapo kwenye kitumbua challenge!!!?
 
Ha ha haa, asee hilo lingeambata na wanenguaji matata kwenye matangazo.
Ila mkuu hujatupiga kweli hapo kwenye kitumbua challenge!!!?
Nimeona steve nyerere na hiyo challenge japo sina hakika kama inaitwa exactly kitumbua cha mama ila vitumbua vipo na chai ipo na ni challenge kweli
 
Nimeona steve nyerere na hiyo challenge japo sina hakika kama inaitwa exactly kitumbua cha mama ila vitumbua vipo na chai ipo na ni challenge kweli
Ngoja tutaijua coz waitaweka waz
 
Bongo hatujawahi feli kwenye mavazi

jamii forums.jpg
 
Na Putin akiipata Ukraine kwa zile raslimali itakuwa tajiri kuliko na Putin anamezea mate kile Trump anachokitaka lakin NATO na Biden walizuia hilo lakin mzee wa madili Trump anazitaka
 
Back
Top Bottom