Kwanini ni vigumu sana kukutana na mtu mtakaependana kwa kiwango sawa?

Kwanini ni vigumu sana kukutana na mtu mtakaependana kwa kiwango sawa?

Balqior

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2021
Posts
2,406
Reaction score
8,039
Ewe msoma mada jiulize wewe mwenyewe nafsini kwako, huyo mpenzi ulie nae unampenda kweli? (Ni dream partner wako tangu siku ya kwanza ulivomuona), au upo nae ili muda uende, nahis kwenye mahusiano watu wengi wameamua kuridhika na wenza walio nao, ila kiuhalisia tangu mwanzo hawakufurahia uwepo wa wenza wao.

Kwa mfano ukiona mwanaume anampenda sana mdada kwa kumgharamikia Pesa nyingi Na kumfukuzia kwa muda mrefu, ujue huyo mdada yuko hapo ilimradi tu apate hela siku ziende, au hatongozwi na aina ya wanaume anaowataka, na ukiona mdada anampenda sana mwanaume, ujue kinachomweka huyo mwanaume Kwenye huo uhusiano ni utelezi tu, au utakuta kinachomweka mwanaume kwenye huo uhusiano ni kuwa ameshindwa kupata Aina ya wadada anaowataka

Nahisi hii ni moja ya sababu wanandoa wengi na couples kuishia kupigana na vitu vizito, ila kwa wenye uvumilivu wakikutana na Hali hii, ingawa mmojawapo hampendi mwenzie, mmoja atavumilia, na ndoa itadumu hata miaka 60 hadi kifo kiwatenganishe.
 
Acha niseme kwa wangu uzoefu…!

swala lako hili nitalieleza kwa kanuni za kiuchumi

Sokoni bidhaa ikiwa nyingi inashuka bei na ikiwa chache inapanda bei…

Mtu akikupenda sana (bidhaa inakua nyingi) wewe hutaweza mpenda sana (hutajisumbua kwa lolote) sababu una uhakika, hutakuwa na hamu nae kihiivyo na wewe ukimpenda sana yeye hatakupenda sana kwa sababu ileile

Mizani ya mapenzi kamwe haitakuja kuwa sawa yani mmoja lazima azidi upendo tu hakuna namna
 
Acha niseme kwa wangu uzoefu…!

swala lako hili nitalieleza kwa kanuni za kiuchumi

Sokoni bidhaa ikiwa nyingi inashuka bei na ikiwa chache inapanda bei…

Mtu akikupenda sana (bidhaa inakua nyingi) wewe hutaweza mpenda sana (hutajisumbua kwa lolote) sababu una uhakika, hutakuwa na hamu nae kihiivyo na wewe ukimpenda sana yeye hatakupenda sana kwa sababu ileile

Mizani ya mapenzi kamwe haitakuja kuwa sawa yani mmoja lazima azidi upendo tu hakuna namna
Bora niwe upande wa asiyejisumbua kwa lolote. Nikitaka papuchi anaileta mwenyewe tena kwa gharama zake, hapo sawa
 
Mimi mara nyingi huwa natamani na ndio maana ni vigumu kwangu kuwa na mpenzi mmoja.

Nikishasuuza rungu naanza kumshusha thamani na kumtamani kunapungua mwishowe tunajikuta tumeshaachana kimjini-mjini

Sijui unanisaidiaje katika hilo?
Kwa spirit hiyo hakuna mwisho, maana itaendelea na kuendelea na kuendelea

Ila kitu kikubwa ni kufanya tathmini ya nini hasa unatafuta kwa huyo mwingine? Na ukipata utatulia au utaenda tafuta kwingine?

Ukipata majibu kinachofuata ni kukubali na kuridhika, ukubali kuwa unapata hiki ila kile unakosa kwa sababu huwezi pata vyote

Moyo na akili vikikubaliana kwenye hilo basi tatizo hilo litatoweka vinginevyo shauku ya kutaka kula kila mtu haitaisha mkuu.

Ni mchakato mgumu na ndiyo maana inataka commitment ya 100% kuamua kuachana nayo
 
Mimi ni mojawapo nilipoona pisi ninazozifukuzia miyeyusho mingi nimeamua kutulia na iliyopo tu maisha yaendelee nikiielewa haya.. tukishindwana sio case ndo maana sihitaji ndoa sogea tukae ndo mpango
 
Ila kitu kikubwa ni kufanya tathmini ya nini hasa unatafuta kwa huyo mwingine? Na ukipata utatulia au utaenda tafuta kwingine?
Kwa mwingine ni kutafuta ladha tofauti mkuu.

Unajua nini kila mwanamke ana mvuto wake.

Mimi ninachopenda ni ile kutafuna wa aina tofauti tofauti mmoja huwa nakinai

Na ndio maana sitaki kusikia kitu kinaitwa ndoa kabisa, najijua jinsi nilivyo
 
Back
Top Bottom