Kwanini nice guys huwa wanaangukia mikononi mwa demaged women

Umesema ukweli mtupu
 
Me naamini zaidi mwanamke kupambania mahusiano
Nataka mwanamke apambane kuwa na Mimi
Me Sina mapenzi na demu yoyote Niko na mapenzi Kwa pisi inayopambana kuwa na Mimi
Hii inahitaji muda kama miaka mitatu
Utamwona demu anayekuhitaji na mzugaji atachoka atembee me nilikuwa nawapa mitihani mizito
Aliyefaulu ndo wife
 
Miaka kumi baadae mwanamke hatakua na thamani tena ya kuolewa. Mapenzi yatachukuliwa kama biashara na sex itakua kiburudisho cha kawaida kama beer au soda.

Kwakua mwanamke anapenda ndoa, basi atalazimika kuumia sana ili tu awe katka maisha ya ndoa na mwanaume, na hapo wanaume watachukua point 3 za ushindi. Huu ni utabiri wangu nikiwa nipo bwiiii 🍺
 
He's just helping men make informed decisions.

Psychologically; personality development is affected by environment and experience among many others.

Kwahiyo a damaged woman is highly likely to be toxic, narcissist as compared to one with a clean past - a virgin.

After all: thamani ya mwanamke ni mwili wake, that's why her past matters; thamani ya mwanaume ni mali zake, that's why his future matters.

Everyone should harshly, and rightly, be judged accordingly.

Wanawake wapo very harsh when it comes kwenye kufanya hiyo judgment unlike nyie simps.
 
According to you and nashukuru sana wote hawana mawazo kama yako sababu ingekuwa hivyo population ingebakia sifuri au kungekuwa hakuna relationship sababu wengi wasingepata watu..., Ila kama nilivyosema thankfully watu wana mtizamo tofauti.... Na kama unadhani virgin wa leo hawezi akawa kahaba kesho..., Like I said you have got another think coming
After all: thamani ya mwanamke ni mwili wake, that's why her past matters; thamani ya mwanaume ni mali zake, that's why his future matters.
Again kwa mujibu wa mawazo yako ingawa una kila haki ya kuwa na mawazo hayo..., na kama usemayo yangekuwa factual maneno gigolo au sugar mama's au gold diggers wa kiume yansingekuwepo
Everyone should harshly, and rightly, be judged accordingly.

Wanawake wapo very harsh when it comes kwenye kufanya hiyo judgment unlike nyie simps.
No one should be judgmental, sababu haujatembea kwenye viatu vya muhusika kwahio huwezi kujua ni action gani ilileta hio reaction na vipi ukiondoa hio outcome itakuwa au leo hii ukileta reactions fulani outcomes zitakuwa zipi...
 
Labda nikuulize ww binafsi swali mkuu, mwanamke mwenye past safi wewe unaweza kumjua? Unamjuaje?
Mwanamke unamjua kupitia mazungumzo yenu, wanawake Ni wepesi kufunguka Kama na wewe ni mzuri kwenye technique ya kuuliza maswali au kumfanya afunguke.Mimi nimemjua demu wangu huyu nilie nae kuwa anifahi ile siku ya Kwanza tu ya date yetu Wala sikuhitaji muda mwingi ni kwasababu Nina experience na sio kwamba anipendi la hasha ananipenda sana Ila past yake sio nzuri katoa mimba kwake Ni kawaida, p2 katumia sana.
Natafuta Ajira
 
Hayana formula ndio maana Baltazar engonga kaja kuwa prove right wakataa ndoa, we unadhani wanawake wote wale 400 hawakuwa na past iliyonyooka kabla ya kuingia kwenye ndoa zao?

Usiweke guarantee sn kwa kiumbe pekee ambacho kimeongea na shetani live pale eden, we cheza karata zako uki win okee ukiliwa ugulia maumivu pangusa kalio endelea na safari.
 
Huo mfano uliompa Ni konki asipoelewa hapo atakuwa tu ameamua tu awe mbishi
 
Mkuu hil linaitaj neema ya mungu TUPO KWENYE SOKO LA MISHANGAZI kuruka huu mtego sijui na ukiruka UMETOBOA
Ukiona bado unaongozwa na hisia badala ya akili ujue bado ujawa mwanaume
 
Haya madini yawekewe lamination kabisa[emoji1316]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…