Kwanini nikianza kufanya mapenzi na mke wangu mtoto wetu mchanga aliyelala fofofo anaamka na kulia?

Maandazi wewe akianza kulia mnamuweka sehem ambayo atawashuhudia mujarabu kabisa wallah siku nyingine hatolia
 
Malaika wanamuasha alinde chakula chake (manyonyo) yasiguswe
 
Miezi saba tu tayari ushaanza kumnanihii...
Ungesubiri hata Mwaka m1
 
Usilale na mtoto hata akiwa na siku moja!
Wkt mama yupo leba ww unaandaa chumba chake,akifika toka hospitalini anafikia chumba chake
 
Watoto huwa hawapendi makelele
 
Mtoto anaona wivu...ndo wapo hivyo hapo anajua kila kitu ila hawez kuongea tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…