SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,797
- 25,177
Vibration fc.Hilo linakuumiza Sana wewe mwana Uto...kuliko wenye Simba yao.
Pilipili hujaila ila inakuwasha.
8. Siku ya game ya Simba vs Yanga alisababisha Mayele afanyiwe sub.1. Ana dharau sana Wachezaji wenzake
2. Anajiona ni bora kuliko Wote Kikosini
3. Anapenda Sifa na attention za Kijinga Uwanjani
4. Ana Utoto mwingi
5. Ana deka hadi anaboa na kuharibu
6. Anajiamini sana mpaka kujisahau
7. Ana Ushamba ambao haujifichi
Nina uhakika kwa Ball Control yake angeweka Umakini na Kutulia ile Penati angeipata ila aliikosa kwakuwa alikuwa anataka Kupiga Penati ya aina yake ( ya Kumsidi Shomary Kapombe ) ili ikiingia aanze Kujitapa na kujiona ndiyo kila Kitu Simba SC wakati kumbe Simba SC imepita Wachezaji wengi wazuri Kumzidi na wala hawana Shobo na Makuu ya kujiona Mungu Mtu kama Yeye.
Nilishawahi hapa hapa JamiiForums ( huko nyuma ) Kutahadharisha kuwa Mkongo huyu ( Henock Inonga Baka ) ni mzuri na ana Kipaji Kikubwa sana ila arekebishwe hasa kuachana na Ego yake iliyovuka mipaka na ambayo ndiyo imemgharimu leo na asipoangalia hata Jumamosi ijayo tarehe 30 April, 2022 kwa Mkapa akikutana na Fiston MINOCYCLINE Mayele itamgharimu pakubwa na ataiponza Timu, itafungwa huku Mitetemo ikiendelea tu.
Upuuzi huu Ulimgharimu pia Mukoko.
Mayele alikabwa na wachezaji wawili Inonga + Onyango8. Siku ya game ya Simba vs Yanga alisababisha Mayele afanyiwe sub.
🤧🤧🤧🤧🤧1. Ana dharau sana Wachezaji wenzake
2. Anajiona ni bora kuliko Wote Kikosini
3. Anapenda Sifa na attention za Kijinga Uwanjani
4. Ana Utoto mwingi
5. Ana deka hadi anaboa na kuharibu
6. Anajiamini sana mpaka kujisahau
7. Ana Ushamba ambao haujifichi
Nina uhakika kwa Ball Control yake angeweka Umakini na Kutulia ile Penati angeipata ila aliikosa kwakuwa alikuwa anataka Kupiga Penati ya aina yake ( ya Kumsidi Shomary Kapombe ) ili ikiingia aanze Kujitapa na kujiona ndiyo kila Kitu Simba SC wakati kumbe Simba SC imepita Wachezaji wengi wazuri Kumzidi na wala hawana Shobo na Makuu ya kujiona Mungu Mtu kama Yeye.
Nilishawahi hapa hapa JamiiForums ( huko nyuma ) Kutahadharisha kuwa Mkongo huyu ( Henock Inonga Baka ) ni mzuri na ana Kipaji Kikubwa sana ila arekebishwe hasa kuachana na Ego yake iliyovuka mipaka na ambayo ndiyo imemgharimu leo na asipoangalia hata Jumamosi ijayo tarehe 30 April, 2022 kwa Mkapa akikutana na Fiston MINOCYCLINE Mayele itamgharimu pakubwa na ataiponza Timu, itafungwa huku Mitetemo ikiendelea tu.
Upuuzi huu Ulimgharimu pia Mukoko.
Kumzuia Mayele ni kazi ya beki.....lakini pale beki wa kimataifa anapoonesha vitendo kwa kumsindikiza huku akijipiga kifua pale mwenzake anapofanyiwa sub ni ulimbukeni wa kiwango kilichopitiliza...ni ujinga, upumbavu na ushenzi pamoja...vitendo Kama hivyo hufanyika kwenye chandimu na siyo vinginevyo...Hilo tukio liliwauma Sana Uto..
Ulitaka asimzuie Mayele wakati hilo ni jukumu lake, acheni Utoto.
Hiyo penati angeikosa wakati akicheza na Yanga ingeleta mantiki kama mngefurahia, zaidi ya hapo ni chuki na wivu tu zinawatesa.
Jamaa ni mshamba sana.Kumzuia Mayele ni kazi ya beki.....lakini pale beki wa kimataifa anaponesha vitendo kwa kumsindikiza huku akijiliga kifua pale mwenzake anapofanyiwa sub ni ulkmbukeni wa kiwango kilichopitiliza...ni ujinga, upumbavu na ushenzi pamoja...vitendo Kama hivyo hufanyika kwenye chandimu na siyo vinginevyo...
Subirini tarehe 30 mchukie tena..Kumzuia Mayele ni kazi ya beki.....lakini pale beki wa kimataifa anapoonesha vitendo kwa kumsindikiza huku akijipiga kifua pale mwenzake anapofanyiwa sub ni ulimbukeni wa kiwango kilichopitiliza...ni ujinga, upumbavu na ushenzi pamoja...vitendo Kama hivyo hufanyika kwenye chandimu na siyo vinginevyo...
Subiri tarehe 30 mchukie tena...Vibration fc.
Mbwembwe zote zimeishia kutetemeka mikono kama mgonjwa.
Kwa uzoefu wangu wa soka huyo inonga wenu hatamaliza mechi....mark my words....hatacheza zaidi ya dk. 20...
Sawa sheikh Yahaya... tusubiriKwa uzoefu wangu wa soka huyo inonga wenu hatamaliza mechi....mark my words....hatacheza zaidi ya dk. 20...
Hakuna Cha sheikh Ya ya hapa...mchezaji anayepania, mwenye kujisikia, much know...asiye na heshima kwa wenzake hawezi kudumu...Sawa sheikh Yahaya... tusubiri
Acha wivu wewe Mzee.Hakuna Cha sheikh Ya ya hapa...mchezaji anayepania, mwenye kujisikia, much know...asiye na heshima kwa wenzake hawezi kudumu...
Hakuna Cha wivu...kama upo karibu mshauri aache ujinga vinginevyo he is doomed....Acha wivu wewe Mzee.
Acha wivu na chuki kwa mtu asiyekufahamu.Hakuna Cha wivu...kama upo karibu mshauri aache ujinga vinginevyo he is doomed....
Safari hii anawadonyoa huyohuyoKwahyo ndo umekasirika?View attachment 2199800
Hatakuwa katika kiwango kizuri, mawazo yanamsumbua
Ana uwezo wa kumzuia Mayele huyo? [emoji1][emoji1] Kazi afanye Onyango kujipendekeza awahi yeye ili kujipa sifa.