Kwanini nimefurahi mno Beki Henock Inonga Baka Kukosa Penati leo dhidi ya Orlando Pirates FC nikiamini kuwa kuanzia sasa atabadilika?

Kwanini nimefurahi mno Beki Henock Inonga Baka Kukosa Penati leo dhidi ya Orlando Pirates FC nikiamini kuwa kuanzia sasa atabadilika?

1. Ana dharau sana Wachezaji wenzake

2. Anajiona ni bora kuliko Wote Kikosini

3. Anapenda Sifa na attention za Kijinga Uwanjani

4. Ana Utoto mwingi

5. Ana deka hadi anaboa na kuharibu

6. Anajiamini sana mpaka kujisahau

7. Ana Ushamba ambao haujifichi

Nina uhakika kwa Ball Control yake angeweka Umakini na Kutulia ile Penati angeipata ila aliikosa kwakuwa alikuwa anataka Kupiga Penati ya aina yake ( ya Kumsidi Shomary Kapombe ) ili ikiingia aanze Kujitapa na kujiona ndiyo kila Kitu Simba SC wakati kumbe Simba SC imepita Wachezaji wengi wazuri Kumzidi na wala hawana Shobo na Makuu ya kujiona Mungu Mtu kama Yeye.

Nilishawahi hapa hapa JamiiForums ( huko nyuma ) Kutahadharisha kuwa Mkongo huyu ( Henock Inonga Baka ) ni mzuri na ana Kipaji Kikubwa sana ila arekebishwe hasa kuachana na Ego yake iliyovuka mipaka na ambayo ndiyo imemgharimu leo na asipoangalia hata Jumamosi ijayo tarehe 30 April, 2022 kwa Mkapa akikutana na Fiston MINOCYCLINE Mayele itamgharimu pakubwa na ataiponza Timu, itafungwa huku Mitetemo ikiendelea tu.

Upuuzi huu Ulimgharimu pia Mukoko.
8. Siku ya game ya Simba vs Yanga alisababisha Mayele afanyiwe sub.
 
Inonga ni mtu na nusu, Jana katuonyesha ni kwa jinsi gani alivyo na mapenzi na timu!Hali kama ile utaiona kwa Wachezaji wafia timu tu #Nguvumoja
 
1. Ana dharau sana Wachezaji wenzake

2. Anajiona ni bora kuliko Wote Kikosini

3. Anapenda Sifa na attention za Kijinga Uwanjani

4. Ana Utoto mwingi

5. Ana deka hadi anaboa na kuharibu

6. Anajiamini sana mpaka kujisahau

7. Ana Ushamba ambao haujifichi

Nina uhakika kwa Ball Control yake angeweka Umakini na Kutulia ile Penati angeipata ila aliikosa kwakuwa alikuwa anataka Kupiga Penati ya aina yake ( ya Kumsidi Shomary Kapombe ) ili ikiingia aanze Kujitapa na kujiona ndiyo kila Kitu Simba SC wakati kumbe Simba SC imepita Wachezaji wengi wazuri Kumzidi na wala hawana Shobo na Makuu ya kujiona Mungu Mtu kama Yeye.

Nilishawahi hapa hapa JamiiForums ( huko nyuma ) Kutahadharisha kuwa Mkongo huyu ( Henock Inonga Baka ) ni mzuri na ana Kipaji Kikubwa sana ila arekebishwe hasa kuachana na Ego yake iliyovuka mipaka na ambayo ndiyo imemgharimu leo na asipoangalia hata Jumamosi ijayo tarehe 30 April, 2022 kwa Mkapa akikutana na Fiston MINOCYCLINE Mayele itamgharimu pakubwa na ataiponza Timu, itafungwa huku Mitetemo ikiendelea tu.

Upuuzi huu Ulimgharimu pia Mukoko.
🤧🤧🤧🤧🤧
 
Hilo tukio liliwauma Sana Uto..

Ulitaka asimzuie Mayele wakati hilo ni jukumu lake, acheni Utoto.

Hiyo penati angeikosa wakati akicheza na Yanga ingeleta mantiki kama mngefurahia, zaidi ya hapo ni chuki na wivu tu zinawatesa.
Kumzuia Mayele ni kazi ya beki.....lakini pale beki wa kimataifa anapoonesha vitendo kwa kumsindikiza huku akijipiga kifua pale mwenzake anapofanyiwa sub ni ulimbukeni wa kiwango kilichopitiliza...ni ujinga, upumbavu na ushenzi pamoja...vitendo Kama hivyo hufanyika kwenye chandimu na siyo vinginevyo...
 
Kumzuia Mayele ni kazi ya beki.....lakini pale beki wa kimataifa anaponesha vitendo kwa kumsindikiza huku akijiliga kifua pale mwenzake anapofanyiwa sub ni ulkmbukeni wa kiwango kilichopitiliza...ni ujinga, upumbavu na ushenzi pamoja...vitendo Kama hivyo hufanyika kwenye chandimu na siyo vinginevyo...
Jamaa ni mshamba sana.

Hata Mayele alipoulizwa alishindwa kumuelewa kwanini alifanya vile.
 
Kumzuia Mayele ni kazi ya beki.....lakini pale beki wa kimataifa anapoonesha vitendo kwa kumsindikiza huku akijipiga kifua pale mwenzake anapofanyiwa sub ni ulimbukeni wa kiwango kilichopitiliza...ni ujinga, upumbavu na ushenzi pamoja...vitendo Kama hivyo hufanyika kwenye chandimu na siyo vinginevyo...
Subirini tarehe 30 mchukie tena..

20220418_154541.jpg
 
Sawa sheikh Yahaya... tusubiri
Hakuna Cha sheikh Ya ya hapa...mchezaji anayepania, mwenye kujisikia, much know...asiye na heshima kwa wenzake hawezi kudumu...
 
Back
Top Bottom