Kwanini ninamdharau sana mtu aliepata mafanikio kupitia connection

Kwanini ninamdharau sana mtu aliepata mafanikio kupitia connection

Thubutu! Ukiwa smart & intelligent haupati connection kirahisi mana wanakuwa wanaogopa uyawazidi. Wajinga wajinga ndio hupata connection kirahisi mana anayekupa connection ana uhakika wa kukudrive for life
Ukiona mtu anaogopa kuzidiwa huyo hawezi kuwa na connection ya maana #fact
 
Back
Top Bottom