Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio najipa moyo..ndio ukweli mtupu huo ndugu yangu....Ningekuwa mjinga² usingeona nachangia mada hii....
Ila kunyimwa kuingia PM na kuitwa Mjingamjinga Yataka moyo [emoji81] [emoji23]
Hata mi nishafunga yangu wanaoweza nitumia pm ni watatu tu jf nzima
Ahaahah upole utawale tu...ukiona mlango umefungwa PM unajikaza ki_men halafu life linasonga kama kawa unaendelea na ishu nyingine..usife moyoTutafanyaje sasa mkuu...
Ndiyo imeshatokea sisi ni wajinga na sio accidentally. Labda tukafanye revenge peponi [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] nipo kwenye utafiti wa sababu zinazofanya mfunge avatar
Sijawahi kuona umuhimu wa kufunga PM
Kama sitaki kukujibu hata ukituma PMs 10000 sikujibu
Good girl na big kwa kujiaminiSijawahi kuona umuhimu wa kufunga PM
Kama sitaki kukujibu hata ukituma PMs 10000 sikujibu
Hakuna wakunichapia hata siku moja... J believe that... I believe her as well... I know her very well...
Cc: mahondaw
Lol!! Taratibu love... Twende taratibu... Love you more as well.. Sikutaka hata huuone huu uzi kwa kweli... Nilitaka upite kimya kimya kama hujaniona vile...Hapana chezea Smart911 ni Mtu makini na ananajiamini sanaaaaa
huwa hayumbishwi na wajinga wajinga wanaotaka mchukulia attention yake
anajitambua sana
mtu wa msimamooo Akipenda amependa kweli na Anajua kupenda haswaaaaaa
Smart911 a man of my life
The real one
one and only
wewe ni wa thamani sana kwangu sikuachi NG'O Smart911 nakung'ang'ania kama rubaaa nakushika kama yaiii
sitaki uniponyoke walahi nakupenda si utani Smart911 ujue
nishamwambia mama mwenzio
hahahaha
miye teinaaaaaaaaaaaaaaaaaaa lol
can they guess what next???
OMG
nacheka kwa dhaaaraau
Seriously it wasn't me The Boss [emoji12]it wasnt me..
Shukurani mkuu AntonioGood girl na big kwa kujiamini