Kwanini nyie wanawake mnafunga pm zenu?

Status
Not open for further replies.
Hacha wafunge maana kuna watu wasio jielewa wakikataliwa huko pm wanakuja kumwaga povu huku public wakati yalikuwa ni mambo ya privacy. Wanaojielewa ndiyo watamiliki funguo.
 
Hacha wafunge maana kuna watu wasio jielewa wakikataliwa huko pm wanakuja kumwaga povu huku public wakati yalikuwa ni mambo ya privacy. Wanaojielewa ndiyo watamiliki funguo.
Nasisi tunao jielewa sasa tunafanyaje??
 
Pole mkuu, nilikuona kipindi kile ulivyokuwa unapambana kweli kweli kumPM Paprika japo ulikuja kufanikiwa baadae na kuchange mission na ukaipeleka hadi kuwa ya mapenzi!!![emoji1][emoji1][emoji1]........Sasa kama ulikuwa unamtafuta kwa ajili ya biashara mambo ya mapenzi yalitoka tena wapi mkuu??
 
Ulipotoka kwema
 
Ukinitumia msg pm imekula kwako huwaga sijishughulishi na upuuzi labda iwe ni business nimeona nimeipenda nikuulize lakini sio jitu linatoka huko eti hi.. mazoea sitaki dm yangu..
 
Mkuu ulinionaje?
Lini?
Na ulikua wapi?
Mbona umenishangaza hivi mhhu
Na umejuaje?
 
Hujaeleweka...


Cc: mahondaw

Mwenyewe hajielewi ataelewekaje kwa mfano??
Smart911 sweetbebii naona kuna kitu watu wamesahau kubeba lol that's why wanapata sheeedah Hahahaahhahahaahahahahaha
Miye teinaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa lol naachaje kukupenda zaidi na zaidi kwa mfano??

#Iloveyousmart911beibeeee#
 
Mkuu ulinionaje?
Lini?
Na ulikua wapi?
Mbona umenishangaza hivi mhhu
Na umejuaje?
Mkuu mimi ni hacker mzuri sana, hapa mjini huwa sina kazi nyingine!!........screenshot za pm zako na Paprika ninazo zote,ningekuwa na namba yako ya whatsapp ningekutumia zote ili uhakikishe kuwa ninachosema hapa ni kweli, au nizitupie hapa hapa mkuu?[emoji1][emoji1][emoji1]
 
Smart911 mylove team snitches wataisoma namba awamu kwa miye teinaaaaaaaaaaaaaaa lol
Naachaje kukupenda zaidi na zaidi kwa mfano??
Hahahaahhahahaahahahahaha

Nacheka kwa dhaaaaraau
Mengine wacha nifunge domo langu
Kasinde anakusalimia mkuu![emoji1][emoji1][emoji1]
 
Thanks for all wakudeka wangu... Ukianza kudeka mahondaw unalegea vizuri... Kuanzia macho...
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…