Kwanini nyumba yako unaiita "kakibanda kangu"? Mungu hapendi kujishusha sana. Having too much humility is self destructive

Kwanini nyumba yako unaiita "kakibanda kangu"? Mungu hapendi kujishusha sana. Having too much humility is self destructive

Kuna siku nilikuwa kwenye ibada za Hawa manabii wa kizazi kipya,kwenye maombi nabii akawa akisema"Mungu baba, sisi ni Kama sisimizi,ni wadudu tu mbele zako"nikapoteza network nikakumbuka tuliambiwa tumeumbwa kwa mfano wa Mungu, Sasa kwa Nini hata tusiseme "Mimi ni pendo,Mimi ni nuru kwa kuwa nimeumbwa kwa mfano wako"nikawaza hata kujishushusha kuwe na kiasi,kujishushusha Sana mwishowe utakufuru.Moyo wenye shukrani humpendeza Mungu na Jamii yake.
Kujishisj
Kuna siku nilikuwa kwenye ibada za Hawa manabii wa kizazi kipya,kwenye maombi nabii akawa akisema"Mungu baba, sisi ni Kama sisimizi,ni wadudu tu mbele zako"nikapoteza network nikakumbuka tuliambiwa tumeumbwa kwa mfano wa Mungu, Sasa kwa Nini hata tusiseme "Mimi ni pendo,Mimi ni nuru kwa kuwa nimeumbwa kwa mfano wako"nikawaza hata kujishushusha kuwe na kiasi,kujishushusha Sana mwishowe utakufuru.Moyo wenye shukrani humpendeza Mungu na Jamii yake.
Kujishusha kwa mungu its allowed,kujiona fala mbele ya mungu is allowed kwa sababu ni ukweli
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums.

Sio kila siku tunapaswa kuandika, kusoma na kujadili makala zinazohusiana na masuala ya kizungu kama Cold War, jeshi na ujasusi wa KGB, CIA na Mossad. Leo ngoja tujadili kidogo masuala ya kimaisha katika jamii zetu hizi tunamoishi.

Ndugu zangu watanzania jifunzeni kujishusha lakini isiwe too much. Mungu hapendi mjishushe sana. Having too much humility is self destructive;

Unakuta mtu alikuwa anaishi katika nyumba ya kupanga vyumba viwili chumba na sebule, lakini kwa bahati nzuri akajinyima kisha kwa uwezo wa Mungu akajenga nyumba yake self-contained ya vyumba vitatu vya kulala.

Siku ama weeks kadhaa baada ya kuhamia unasema ngoja niende nikamtembelee ndugu, jamaa au rafiki yangu nifahamu anapokaa. Baada ya kufika na kusalimiana anakukaribisha ndani kisha anakwambia "karibu, haka ndio kakibanda kangu najifichamo na kafamilia kangu, si unajua tena ujenzi wa kimasikini"

Kwanini nyumba yako nzuri Mungu aliyokubariki uiite kakibanda? Au baadhi ya watu wanafikiri huko ndio kujishusha kwenyewe na ndio uungwana? Why don't you feel proud of what God blessed you with? Au haujui kuwa hata vinyonge havitaenda Mbinguni. Mtu amekuja kukutembelea mwambie kwa kujiamini kwamba, "hii ndio nyumba yangu. Nimeijenga mpaka stage hii ila Mungu akinijalia nitaimalizia taratibu tarabitu kwa maana pesa ngumu sana siku hizi"

Au unakutana na dada classmate wako wa secondary school na ulisikia aliolewa punde tu baada ya kumaliza shule. Unamuuliza "hongera Fatuma ninasikia uliolewa na fulani na umebarikiwa mtoto mmoja" utamsikia atakavyokujibu kwa kinyonge "kuolewa wapi kaka yangu, nipo tu ninasogeza naye maisha, si unajua tena mambo ya sogea tukae"

What the hell is "Sogea tukae"? Hiyo ndio ndoa yako ndugu yangu ambayo Mungu ameona inafaa uwepo mpaka wakati huo. Kuwa na shukrani kwa mume/mke uliyenaye na usimuite tena SOGEA TUKAE. Kwani kuna akina dada/kaka wangapi wanatamani wangekuwa katika ndoa ila wameshindwa kwa sababu mbalimbali?

A thankful heart is one that is grateful and appreciative of who God is and the life He has given them despite the storms of life. I have learned that cultivating a thankful heart is a choice and it requires our intentional effort in achieving it.

Having too much humility is self destructive. Humility has to be practiced with care. Humility requires boundaries.

Watanzania msipende kujiweka kinyongenyonge na kujishusha saana. Jivunie kile ambacho Mungu amekubariki kwa wakati huo huku ukizidi kupambana ili usonge mbele zaidi.

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Mweshimiwa Rais kanitoa kwenye jalala, leo halipendwi na msemaji aidha na Rais mwenyewe👏👏
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums.

Sio kila siku tunapaswa kuandika, kusoma na kujadili makala zinazohusiana na masuala ya kizungu kama Cold War, jeshi na ujasusi wa KGB, CIA na Mossad. Leo ngoja tujadili kidogo masuala ya kimaisha katika jamii zetu hizi tunamoishi.

Ndugu zangu watanzania jifunzeni kujishusha lakini isiwe too much. Mungu hapendi mjishushe sana. Having too much humility is self destructive;

Unakuta mtu alikuwa anaishi katika nyumba ya kupanga vyumba viwili chumba na sebule, lakini kwa bahati nzuri akajinyima kisha kwa uwezo wa Mungu akajenga nyumba yake self-contained ya vyumba vitatu vya kulala.

Siku ama weeks kadhaa baada ya kuhamia unasema ngoja niende nikamtembelee ndugu, jamaa au rafiki yangu nifahamu anapokaa. Baada ya kufika na kusalimiana anakukaribisha ndani kisha anakwambia "karibu, haka ndio kakibanda kangu najifichamo na kafamilia kangu, si unajua tena ujenzi wa kimasikini"

Kwanini nyumba yako nzuri Mungu aliyokubariki uiite kakibanda? Au baadhi ya watu wanafikiri huko ndio kujishusha kwenyewe na ndio uungwana? Why don't you feel proud of what God blessed you with? Au haujui kuwa hata vinyonge havitaenda Mbinguni. Mtu amekuja kukutembelea mwambie kwa kujiamini kwamba, "hii ndio nyumba yangu. Nimeijenga mpaka stage hii ila Mungu akinijalia nitaimalizia taratibu tarabitu kwa maana pesa ngumu sana siku hizi"

Au unakutana na dada classmate wako wa secondary school na ulisikia aliolewa punde tu baada ya kumaliza shule. Unamuuliza "hongera Fatuma ninasikia uliolewa na fulani na umebarikiwa mtoto mmoja" utamsikia atakavyokujibu kwa kinyonge "kuolewa wapi kaka yangu, nipo tu ninasogeza naye maisha, si unajua tena mambo ya sogea tukae"

What the hell is "Sogea tukae"? Hiyo ndio ndoa yako ndugu yangu ambayo Mungu ameona inafaa uwepo mpaka wakati huo. Kuwa na shukrani kwa mume/mke uliyenaye na usimuite tena SOGEA TUKAE. Kwani kuna akina dada/kaka wangapi wanatamani wangekuwa katika ndoa ila wameshindwa kwa sababu mbalimbali?

A thankful heart is one that is grateful and appreciative of who God is and the life He has given them despite the storms of life. I have learned that cultivating a thankful heart is a choice and it requires our intentional effort in achieving it.

Having too much humility is self destructive. Humility has to be practiced with care. Humility requires boundaries.

Watanzania msipende kujiweka kinyongenyonge na kujishusha saana. Jivunie kile ambacho Mungu amekubariki kwa wakati huo huku ukizidi kupambana ili usonge mbele zaidi.

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Tunashukuru Tanzania tumepata Rais Mzalendo anayeipenda Nchi yake Asante Magufuli.
 
Unakuta mtu anasema mabanda ya uwani nimepangisha wapangaji? Unabaki unafikilia ni yale alikuwa anafugia kuku🤔 au ni yale kabisa mabanda ukikaa ndani jua likiwaka ni joto mpaka utoke nje? 😒
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums.

Sio kila siku tunapaswa kuandika, kusoma na kujadili makala zinazohusiana na masuala ya kizungu kama Cold War, jeshi na ujasusi wa KGB, CIA na Mossad. Leo ngoja tujadili kidogo masuala ya kimaisha katika jamii zetu hizi tunamoishi.

Ndugu zangu watanzania jifunzeni kujishusha lakini isiwe too much. Mungu hapendi mjishushe sana. Having too much humility is self destructive;

Unakuta mtu alikuwa anaishi katika nyumba ya kupanga vyumba viwili chumba na sebule, lakini kwa bahati nzuri akajinyima kisha kwa uwezo wa Mungu akajenga nyumba yake self-contained ya vyumba vitatu vya kulala.

Siku ama weeks kadhaa baada ya kuhamia unasema ngoja niende nikamtembelee ndugu, jamaa au rafiki yangu nifahamu anapokaa. Baada ya kufika na kusalimiana anakukaribisha ndani kisha anakwambia "karibu, haka ndio kakibanda kangu najifichamo na kafamilia kangu, si unajua tena ujenzi wa kimasikini"

Kwanini nyumba yako nzuri Mungu aliyokubariki uiite kakibanda? Au baadhi ya watu wanafikiri huko ndio kujishusha kwenyewe na ndio uungwana? Why don't you feel proud of what God blessed you with? Au haujui kuwa hata vinyonge havitaenda Mbinguni. Mtu amekuja kukutembelea mwambie kwa kujiamini kwamba, "hii ndio nyumba yangu. Nimeijenga mpaka stage hii ila Mungu akinijalia nitaimalizia taratibu tarabitu kwa maana pesa ngumu sana siku hizi"

Au unakutana na dada classmate wako wa secondary school na ulisikia aliolewa punde tu baada ya kumaliza shule. Unamuuliza "hongera Fatuma ninasikia uliolewa na fulani na umebarikiwa mtoto mmoja" utamsikia atakavyokujibu kwa kinyonge "kuolewa wapi kaka yangu, nipo tu ninasogeza naye maisha, si unajua tena mambo ya sogea tukae"

What the hell is "Sogea tukae"? Hiyo ndio ndoa yako ndugu yangu ambayo Mungu ameona inafaa uwepo mpaka wakati huo. Kuwa na shukrani kwa mume/mke uliyenaye na usimuite tena SOGEA TUKAE. Kwani kuna akina dada/kaka wangapi wanatamani wangekuwa katika ndoa ila wameshindwa kwa sababu mbalimbali?

A thankful heart is one that is grateful and appreciative of who God is and the life He has given them despite the storms of life. I have learned that cultivating a thankful heart is a choice and it requires our intentional effort in achieving it.

Having too much humility is self destructive. Humility has to be practiced with care. Humility requires boundaries.

Watanzania msipende kujiweka kinyongenyonge na kujishusha saana. Jivunie kile ambacho Mungu amekubariki kwa wakati huo huku ukizidi kupambana ili usonge mbele zaidi.

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Magufuli Mungu azidi kukulinda.
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums.

Sio kila siku tunapaswa kuandika, kusoma na kujadili makala zinazohusiana na masuala ya kizungu kama Cold War, jeshi na ujasusi wa KGB, CIA na Mossad. Leo ngoja tujadili kidogo masuala ya kimaisha katika jamii zetu hizi tunamoishi.

Ndugu zangu watanzania jifunzeni kujishusha lakini isiwe too much. Mungu hapendi mjishushe sana. Having too much humility is self destructive;

Unakuta mtu alikuwa anaishi katika nyumba ya kupanga vyumba viwili chumba na sebule, lakini kwa bahati nzuri akajinyima kisha kwa uwezo wa Mungu akajenga nyumba yake self-contained ya vyumba vitatu vya kulala.

Siku ama weeks kadhaa baada ya kuhamia unasema ngoja niende nikamtembelee ndugu, jamaa au rafiki yangu nifahamu anapokaa. Baada ya kufika na kusalimiana anakukaribisha ndani kisha anakwambia "karibu, haka ndio kakibanda kangu najifichamo na kafamilia kangu, si unajua tena ujenzi wa kimasikini"

Kwanini nyumba yako nzuri Mungu aliyokubariki uiite kakibanda? Au baadhi ya watu wanafikiri huko ndio kujishusha kwenyewe na ndio uungwana? Why don't you feel proud of what God blessed you with? Au haujui kuwa hata vinyonge havitaenda Mbinguni. Mtu amekuja kukutembelea mwambie kwa kujiamini kwamba, "hii ndio nyumba yangu. Nimeijenga mpaka stage hii ila Mungu akinijalia nitaimalizia taratibu tarabitu kwa maana pesa ngumu sana siku hizi"

Au unakutana na dada classmate wako wa secondary school na ulisikia aliolewa punde tu baada ya kumaliza shule. Unamuuliza "hongera Fatuma ninasikia uliolewa na fulani na umebarikiwa mtoto mmoja" utamsikia atakavyokujibu kwa kinyonge "kuolewa wapi kaka yangu, nipo tu ninasogeza naye maisha, si unajua tena mambo ya sogea tukae"

What the hell is "Sogea tukae"? Hiyo ndio ndoa yako ndugu yangu ambayo Mungu ameona inafaa uwepo mpaka wakati huo. Kuwa na shukrani kwa mume/mke uliyenaye na usimuite tena SOGEA TUKAE. Kwani kuna akina dada/kaka wangapi wanatamani wangekuwa katika ndoa ila wameshindwa kwa sababu mbalimbali?

A thankful heart is one that is grateful and appreciative of who God is and the life He has given them despite the storms of life. I have learned that cultivating a thankful heart is a choice and it requires our intentional effort in achieving it.

Having too much humility is self destructive. Humility has to be practiced with care. Humility requires boundaries.

Watanzania msipende kujiweka kinyongenyonge na kujishusha saana. Jivunie kile ambacho Mungu amekubariki kwa wakati huo huku ukizidi kupambana ili usonge mbele zaidi.

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Wanahofu ya kushindwa na Magufuli Wanajua Magufuli lazima ashinde kwa 98% ndio maana hawataki wapambane naye.
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums.

Sio kila siku tunapaswa kuandika, kusoma na kujadili makala zinazohusiana na masuala ya kizungu kama Cold War, jeshi na ujasusi wa KGB, CIA na Mossad. Leo ngoja tujadili kidogo masuala ya kimaisha katika jamii zetu hizi tunamoishi.

Ndugu zangu watanzania jifunzeni kujishusha lakini isiwe too much. Mungu hapendi mjishushe sana. Having too much humility is self destructive;

Unakuta mtu alikuwa anaishi katika nyumba ya kupanga vyumba viwili chumba na sebule, lakini kwa bahati nzuri akajinyima kisha kwa uwezo wa Mungu akajenga nyumba yake self-contained ya vyumba vitatu vya kulala.

Siku ama weeks kadhaa baada ya kuhamia unasema ngoja niende nikamtembelee ndugu, jamaa au rafiki yangu nifahamu anapokaa. Baada ya kufika na kusalimiana anakukaribisha ndani kisha anakwambia "karibu, haka ndio kakibanda kangu najifichamo na kafamilia kangu, si unajua tena ujenzi wa kimasikini"

Kwanini nyumba yako nzuri Mungu aliyokubariki uiite kakibanda? Au baadhi ya watu wanafikiri huko ndio kujishusha kwenyewe na ndio uungwana? Why don't you feel proud of what God blessed you with? Au haujui kuwa hata vinyonge havitaenda Mbinguni. Mtu amekuja kukutembelea mwambie kwa kujiamini kwamba, "hii ndio nyumba yangu. Nimeijenga mpaka stage hii ila Mungu akinijalia nitaimalizia taratibu tarabitu kwa maana pesa ngumu sana siku hizi"

Au unakutana na dada classmate wako wa secondary school na ulisikia aliolewa punde tu baada ya kumaliza shule. Unamuuliza "hongera Fatuma ninasikia uliolewa na fulani na umebarikiwa mtoto mmoja" utamsikia atakavyokujibu kwa kinyonge "kuolewa wapi kaka yangu, nipo tu ninasogeza naye maisha, si unajua tena mambo ya sogea tukae"

What the hell is "Sogea tukae"? Hiyo ndio ndoa yako ndugu yangu ambayo Mungu ameona inafaa uwepo mpaka wakati huo. Kuwa na shukrani kwa mume/mke uliyenaye na usimuite tena SOGEA TUKAE. Kwani kuna akina dada/kaka wangapi wanatamani wangekuwa katika ndoa ila wameshindwa kwa sababu mbalimbali?

A thankful heart is one that is grateful and appreciative of who God is and the life He has given them despite the storms of life. I have learned that cultivating a thankful heart is a choice and it requires our intentional effort in achieving it.

Having too much humility is self destructive. Humility has to be practiced with care. Humility requires boundaries.

Watanzania msipende kujiweka kinyongenyonge na kujishusha saana. Jivunie kile ambacho Mungu amekubariki kwa wakati huo huku ukizidi kupambana ili usonge mbele zaidi.

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Bila Rais Magufuli kupiga ukuta Laizer asingekuwa bilionea.
 
Back
Top Bottom