Kwanini nyumba yako unaiita "kakibanda kangu"? Mungu hapendi kujishusha sana. Having too much humility is self destructive

Kujishisj
Kujishusha kwa mungu its allowed,kujiona fala mbele ya mungu is allowed kwa sababu ni ukweli
 
Mweshimiwa Rais kanitoa kwenye jalala, leo halipendwi na msemaji aidha na Rais mwenyewe👏👏
 
Tunashukuru Tanzania tumepata Rais Mzalendo anayeipenda Nchi yake Asante Magufuli.
 
Unakuta mtu anasema mabanda ya uwani nimepangisha wapangaji? Unabaki unafikilia ni yale alikuwa anafugia kuku🤔 au ni yale kabisa mabanda ukikaa ndani jua likiwaka ni joto mpaka utoke nje? 😒
 
Magufuli Mungu azidi kukulinda.
 
Wanahofu ya kushindwa na Magufuli Wanajua Magufuli lazima ashinde kwa 98% ndio maana hawataki wapambane naye.
 
Bila Rais Magufuli kupiga ukuta Laizer asingekuwa bilionea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…