Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukilinganisha nyumba yangu na Kakobe yangu inabaki kuwa ni kibanda tuKuna watu wanaoishi vizuri na wanajiweza, lakini kuna wengine wapo tu kwa sababu walizaliwa. Kuna wenye nyumba na wanao miliki vibanda. Nadhani kila mtu anatakiwa kujitathimini kwa kuzingatia uhalisia.
Kibanda ni kibanda tu, hata ukiite ghorofa.
Haibomoki lakini ni kufuru mkuuMi nadhani ni lugha tu mtu apendavyo. Kwani akiita kibanda inabomoka?!
Inawezekana anakuwa hajaridhika nayo kwa kusema hivyo.Haibomoki lakini ni kufuru mkuu
Kutoka kupanga chumba na sebule mpaka kumiliki nyumba self-contained ya vyumba 3 vya kulala bado mtu anasema ni kakibanda huko ni kukosa shukraniInawezekana anakuwa hajaridhika nayo kwa kusema hivyo.
Labda ndoto yake ni kujenga ghorofa?!Kutoka kupanga chumba na sebule mpaka kumiliki nyumba self-contained ya vyumba 3 vya kulala bado mtu anasema ni kakibanda huko ni kukosa shukrani
Mhhh, sawa mkuuLabda ndoto yake ni kujenga ghorofa?!
Hivyo hiyo unayoona nyumba, yeye kwake ni kibanda.
Okay...Nilikuwa naita "nyumba yangu" kwa sababu ni nyumba ya kawaida tu, Ila wakati korona iliposhamiri Siku moja nikaamua kufanya matembezi ya kawaida tu kwa miguu ,kuzunguka Kama radius ya km 3 ebana nilikutana na mahekalu ya kutosha jirani kabisa na nilipo, kiukweli nyumba yetu haistahili hata kuwa Banda la kuku kwenye hizo mansions!!
Nyumba yangu kamwe haiwezi kuwa KAKIBANDA hata kama ipo UlayaInategemea na eneo, ukijenga kitu kinachofanana na nyumba Masaki itabidi usema "kakibanda "
Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
Sawa mkuuNiliporudi home kiunyonge kabisa nikamwbia mke , next time ukiwaelekeza watu sema Kuna kibanda kipo so and so, sio nyumba maana nilikutana na nyumba fensi ina alluminium windows halafu imekula drewa paint , ni nyumba ya dogo tu ,Kama ndevu kunyoa labda aanze leo hii
mhhh...Nyumba zote mtaa Fulani zimeezekwa kwa vigae ni yako tu mabati ya kuchoma macho wakati wa jua.
Wataalam wa "social psychology" wanashauri siku zote kuwa jaribu kukaa/kujenga na watu ambao haujatofautiana nao sana hali ya kiuchumi.Wenzako watakutania kibanda japo wewe unasema ni nyumba. Utabidi uende mtaa wa size yako.