Kwanini Operesheni Haki ya CHADEMA haivuni wanachama toka vyama vingine walionyimwa haki?

Kwanini Operesheni Haki ya CHADEMA haivuni wanachama toka vyama vingine walionyimwa haki?

The Phylosopher

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
1,968
Reaction score
2,957
Kihistoria tulizoea kuona oparesheni mbalimbali za Chadema zikivuna wanachama wengi toka vyama vingine.

Mbona hatutangaziwi kuwa operation imeshavuna wanachama wangapi toka vyama vipi?

Kwa maoni yangu mafanikio ya chama cha siasa ni kudumisha na kutetea itikadi yake na kuongeza idadi ya wanachama ya wanachama.

Kwa jinsi hiyo hii oparesheni haki nini tija yake?
 
..huu ndio UJINGA unaotokana na siasa za CCM.

..chama kinatakiwa kivutie watu wasio na vyama wajiunge na chama husika.

..harakati za vyama kunyang'anyana wanachama kama vilabu vya mpira vinavyonyang'anyana wachezaji ni upumbavu.
 
Chadema ni matapeli wa kisiasa, chama mpaka leo kimepangisha ofisi Kuu.
 
Mjinga wakati wa kwenda tu si kurudi, Chadema watu wanavyowachukulia kama wahuni fulani hivi
 
Hawachelewi kupiga gia za anga nani awaamini tena.
Utaskia Manji ndo Mgombea wao wa Urais 2025
 
..huu ndio UJINGA unaotokana na siasa za CCM.

..chama kinatakiwa kivutie watu wasio na vyama wajiunge na chama husika.

..harakati za vyama kunyang'anyana wanachama kama vilabu vya mpira vinavyonyang'anyana wachezaji ni upumbavu.

CHADEMA wamejifunza na kufunzika,Lowassa,Tlway Sumaye,Nyalandu......... wamewafunza sitegemei kosa kurejelewa tena.
 
Kihistoria tulizoea kuona oparesheni mbalimbali za Chadema zikivuna wanachama wengi toka vyama vingine.

Mbona hatutangaziwi kuwa operation imeshavuna wanachama wangapi toka vyama vipi?

Kwa maoni yangu mafanikio ya chama cha siasa ni kudumisha na kutetea itikadi yake na kuongeza idadi ya wanachama ya wanachama.

Kwa jinsi hiyo hii oparesheni haki nini tija yake?
**** unataka kuvunwa si uvunike tu?
 
Baada ya Mbowe, maenyekiti wa CHADEMA kulilia wachaga kukosa ajira nilimdharau sana. Niliichana kadi ya chama baada ya kuona mwenyekiti wangu ni mkabila kiasi hicho! Siwezi kuongozwa na mbumbumbu kiasi hicho.
Ndani ya CHADEMA ni uchaga kwanza! Wenye akili wamelibaini hilo ndiyo maana mwenyekiti anazurura tu huko mikoani bila kupata impact yoyote ndani ya chama kisiasa.
Mwenyekiti wa kile chama ni wa hovyo mno!

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
 
Baada ya Mbowe, maenyekiti wa CHADEMA kulilia wachaga kukosa ajira nilimdharau sana. Niliichana kadi ya chama baada ya kuona mwenyekiti wangu ni mkabila kiasi hicho! Siwezi kuongozwa na mbumbumbu kiasi hicho.
Ndani ya CHADEMA ni uchaga kwanza! Wenye akili wamelibaini hilo ndiyo maana mwenyekiti anazurura tu huko mikoani bila kupata impact yoyote ndani ya chama kisiasa.
Mwenyekiti wa kile chama ni wa hovyo mno!

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app

..madai yako siyo ya kweli.

..Chadema waliwahi kuwa na safu hii ya uongozi.

..Prof.Safari makamu mwenyekiti kabila msukuma.

..Dr.Mashinji katibu mkuu kabila msukuma.

..John Mnyika naibu katibu mkuu kabila msukuma.

..John Pambalu mwenyekiti umoja wa vijana kabila msukuma.

..huwezi kumtuhumu Mbowe kuwa anapendelea wachaga wenzake wakati safu ya viongozi wenzake iko hivyo.
 
Baada ya Mbowe, maenyekiti wa CHADEMA kulilia wachaga kukosa ajira nilimdharau sana. Niliichana kadi ya chama baada ya kuona mwenyekiti wangu ni mkabila kiasi hicho! Siwezi kuongozwa na mbumbumbu kiasi hicho.
Ndani ya CHADEMA ni uchaga kwanza! Wenye akili wamelibaini hilo ndiyo maana mwenyekiti anazurura tu huko mikoani bila kupata impact yoyote ndani ya chama kisiasa.
Mwenyekiti wa kile chama ni wa hovyo mno!

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
Kwahiyo kamanda ukaamua kumuacha Mwenyekiti Mbowe ukaungana na yule Mwenyekiti aliye agiza kubomoa nyumba za Wachaga Kimara Dsm na kuagiza nyumba za Wasukuma wenzake Mwanza zisibomolewe zote zikiwa ktk hifadhi ya barabara.
Una akili kama libashite wewe.
Ndio maana utafiti Wa TWAWEZA unasema wanachama Wa Chama Cha Mafisadi ni Vihiyo.
 
..madai yako siyo ya kweli.

..Chadema waliwahi kuwa na safu hii ya uongozi.

..Prof.Safari makamu mwenyekiti kabila msukuma.

..Dr.Mashinji katibu mkuu kabila msukuma.

..John Mnyika naibu katibu mkuu kabila msukuma.

..John Pambalu mwenyekiti umoja wa vijana kabila msukuma.

..huwezi kumtuhumu Mbowe kuwa anapendelea wachaga wenzake wakati safu ya viongozi wenzake iko hivyo.
Mkuu hata usimueleweshe MATAGA huyo mimi nataka nijue ile Juice kutoka Antananarivo iliienda wapi?
images (7).jpeg
 
Back
Top Bottom