..msaidizi, mke, na mtoto wa balozi kijazi, walikufa kwa corona?msaidizi wa mbowe sio lisu au salumh haji.
bali anayehamisha mafile na kumpelekea simu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
..msaidizi, mke, na mtoto wa balozi kijazi, walikufa kwa corona?msaidizi wa mbowe sio lisu au salumh haji.
bali anayehamisha mafile na kumpelekea simu.
Swaga za zamani za kitapeli za CCM hizoKihistoria tulizoea kuona oparesheni mbalimbali za Chadema zikivuna wanachama wengi toka vyama vingine.
Mbona hatutangaziwi kuwa operation imeshavuna wanachama wangapi toka vyama vipi?
Kwa maoni yangu mafanikio ya chama cha siasa ni kudumisha na kutetea itikadi yake na kuongeza idadi ya wanachama ya wanachama.
Kwa jinsi hiyo hii oparesheni haki nini tija yake?
ndio swali langu lilipo...msaidizi, mke, na mtoto wa balozi kijazi, walikufa kwa corona?
hata kura watapiga online na watashinda online kisha rais aapishwe online.Chadema iko online hizo swaga za CCM wacha waendelee nazo
Acha wivu kama changudoa! Maisha ni mafupi sana, kwani Lazima Chadema ifuate wanayofanya CCM?hata kura watapiga online na watashinda online kisha rais aapishwe online.
..kwani mtu akiugua corona ni lazima msaidizi, mke, na mwanae, waugue?ndio swali langu lilipo.
labda kama corona iliyowaua hao iko tofauti.
wivu wangu uko wapi hapo wewe kahaba!!!Acha wivu kama changudoa! Maisha ni mafupi sana, kwani Lazima Chadema ifuate wanayofanya CCM?
Hahahaha kahaba tena??wivu wangu uko wapi hapo wewe kahaba!!!
nami nitakuuliza kwanini tunahimizwa kuvaa barakoa??..kwani mtu akiugua corona ni lazima msaidizi, mke, na mwanae, waugue?
..kwa mfano, mtoto wa mbowe alitangazwa na rc makonda kuwa ana corona. Je, msaidizi wa mtoto wa mbowe, wazazi, na watoto wake, nao waliogua?
nami nitakuuliza kwanini tunahimizwa kuvaa barakoa??
labda ungeniliza kama ni lazima kila mtu wa karibu na mgonjwa kufa kwa corona,lakini kuugua ni jambo tarajiwa.
corona ni ugonjwa wa mapafu...wapo wanaopinga barakoa.
..na wapo wanaohimiza barakoa.
..je, barakoa zina madhara kwa wanaozitumia?
..je, barakoa zinazuia maambukizi ya corona?
Wanawake ndivyo mlivyo, hamuwezi kabisa kukaa na siri, sasa inakuwaje tena unatoa siri za mwanamke mwenzio? Lakini yote kwa yote chadema ni chama cha kitapeli ndio maana ikaambulia mbunge moja kama wa dawaDada yako mimi ndiye nilimtoa seal hivyo ananithamini kuliko mumewe wa ndoa. Na huyo shemeji yako ana mpango wa kukutafuna wewe endelea tu kudemka hapo nyumbani kwake utastukia siku moja asubuhi huna marinda
Naam...!! Lakini ni muhimu kwa chama cha siasa kufanya hamasa kama hizi kudhihirisha uhai wake na uhuru wa kufanya siasa hasa wakati huu nchi inapoongozwa na rais mstaarabu...inawezekana hawajapata wanachama wapya.
..lakini kazi ya kutafuta wanachama wapya ni ENDELEVU.
..zipo operesheni ambazo zitafeli na zipo ambazo zitafanikiwa.
Weka evidence wametapeli nnTapeli unaangaika nae wa nini? ukishawaambia watu utapeli wake inatosha watu kumpuuza , chadema ni matapeli walipokuwa wanapata ruzuku nyingi ujenzi wa ofisi wakajifanya wameusahau, sasa hivi wamefulia wanasumbua watu kuwataka wajenge ofisi ahahahahaha
Raia hawasumbuliwi wanatoa kwa hiari yao wala hawatekwi 🤣🤣, nataman san nione evidence hapa jinsi walivyokua wanatapeliTapeli unaangaika nae wa nini? ukishawaambia watu utapeli wake inatosha watu kumpuuza , chadema ni matapeli walipokuwa wanapata ruzuku nyingi ujenzi wa ofisi wakajifanya wameusahau, sasa hivi wamefulia wanasumbua watu kuwataka wajenge ofisi ahahahahaha
Wewe demka tu hapo kwa dadako ujue shemeji yako anakulia timing akupulize,mtoto wa kiume unashindwa kupanga hata kachumba kamoja,yote kutaka kitonga tu.Wanawake ndivyo mlivyo, hamuwezi kabisa kukaa na siri, sasa inakuwaje tena unatoa siri za mwanamke mwenzio? Lakini yote kwa yote chadema ni chama cha kitapeli ndio maana ikaambulia mbunge moja kama wa dawa
Raia gani atatoa pasa yake kwa matapeli hao, ofisi itakayo kamilika lete picha yake hapa, na maanisha ofisi sio kibanda cha kufugia kukuRaia hawasumbuliwi wanatoa kwa hiari yao wala hawatekwi 🤣🤣, nataman san nione evidence hapa jinsi walivyokua wanatapeli
Bila shaka wewe na mwanamke mwenzako ni mashoga aswa, maana mnapeana mpaka siri za ndani, lakini humu siri zenu na waume zenu sisi hatuitaji, narudia Mbowe ni tapeli alipokuwa na ruzuku alizitafuna weee, sasa hivi kafulia anataka kubebesha watu matofaliWewe demka tu hapo kwa dadako ujue shemeji yako anakulia timing akupulize,mtoto wa kiume unashindwa kupanga hata kachumba kamoja,yote kutaka kitonga tu.
Unataka evidence gani kwani hujui wakina Mbowe walikuwa wanapata ruzuku kiasi gani ,lakin hawakukumbuka ofisi, wakatafuna pesa, leo hii pesa hamna anabebesha misukule yake matofaliWeka evidence wametapeli nn