Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli mkuuNandoma nikasema wasubiri wimbi lawatu ambao niwatakua wanachama wapya nawazamani sio mashabiki waliowazoea wakirudisha kadi wakipata mpya..tutakuna mikutanoni na tukiwa wengi tulikopatikania siriyetu
Wamebaki watu wajinga sn paleAkili za MATAGA zimekufa kitambo sana toka walipomchagua yule mwenyekiti aliyefyekwa na corona kwa ubishi wake.
Na chama nacho kinaelezea kufa kumfuata mwenyekiti wao mbishi
..madai yako siyo ya kweli.
..Chadema waliwahi kuwa na safu hii ya uongozi.
..Prof.Safari makamu mwenyekiti kabila msukuma.
..Dr.Mashinji katibu mkuu kabila msukuma.
..John Mnyika naibu katibu mkuu kabila msukuma.
..John Pambalu mwenyekiti umoja wa vijana kabila msukuma.
..huwezi kumtuhumu Mbowe kuwa anapendelea wachaga wenzake wakati safu ya viongozi wenzake iko hivyo.
Sijui kwa nini... Lakini kila nikisikia online registration nakumbuka mwaka 2015 wakati Lowasa kashindwa kunadi ilani ya CDM, aliposema elimu, elimu, elimu akamalizia ilani inaptikana kwenye website ya Chama.Umeambiwa ni online registration, umeingia kwenye database yao ukakosa wanachama wapya?
Umeandika kinyonge sana.Baada ya Mbowe, maenyekiti wa CHADEMA kulilia wachaga kukosa ajira nilimdharau sana. Niliichana kadi ya chama baada ya kuona mwenyekiti wangu ni mkabila kiasi hicho! Siwezi kuongozwa na mbumbumbu kiasi hicho.
Ndani ya CHADEMA ni uchaga kwanza! Wenye akili wamelibaini hilo ndiyo maana mwenyekiti anazurura tu huko mikoani bila kupata impact yoyote ndani ya chama kisiasa.
Mwenyekiti wa kile chama ni wa hovyo mno!
Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
sizitaki mbichi hizi..huu ndio UJINGA unaotokana na siasa za CCM.
..chama kinatakiwa kivutie watu wasio na vyama wajiunge na chama husika.
..harakati za vyama kunyang'anyana wanachama kama vilabu vya mpira vinavyonyang'anyana wachezaji ni upumbavu.
Kila siku mnalilia aondoke.... Ili muweke mapandikizi yenu, lakin mmefeli... Pole Mkuu SIJUI UNATESEKA UKIWA WAPI? EMBU KUNYWA PEPSI BARIIIDI NA KASHATA, THEN JIPIGE NGUMI KIFUANI HUKU UKISEMA "MIMI NI MPUMBAVU"Baada ya Mbowe, maenyekiti wa CHADEMA kulilia wachaga kukosa ajira nilimdharau sana. Niliichana kadi ya chama baada ya kuona mwenyekiti wangu ni mkabila kiasi hicho! Siwezi kuongozwa na mbumbumbu kiasi hicho.
Ndani ya CHADEMA ni uchaga kwanza! Wenye akili wamelibaini hilo ndiyo maana mwenyekiti anazurura tu huko mikoani bila kupata impact yoyote ndani ya chama kisiasa.
Mwenyekiti wa kile chama ni wa hovyo mno!
Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
Kamanda, unaamini kabisa ni sahihi Mbowe kutoa speech kama ile kama mwenyekiti wa chama cha kitaifa!Kwahiyo kamanda ukaamua kumuacha Mwenyekiti Mbowe ukaungana na yule Mwenyekiti aliye agiza kubomoa nyumba za Wachaga Kimara Dsm na kuagiza nyumba za Wasukuma wenzake Mwanza zisibomolewe zote zikiwa ktk hifadhi ya barabara.
Una akili kama libashite wewe.
Ndio maana utafiti Wa TWAWEZA unasema wanachama Wa Chama Cha Mafisadi ni Vihiyo.
Simtuhumu Mbowe kupendelea wachaga katika nafasi za uongozi ndani ya chama. Niliamimi hizo ni propaganda za CCM tu kudhoofisha nguvu ya CHADEMA. Namtuhumu mbowe kwa speech aliyoitoa juzi akituhumu wachaga kubaguliwa katika ajira serikalini. Nilimdharau sana...madai yako siyo ya kweli.
..Chadema waliwahi kuwa na safu hii ya uongozi.
..Prof.Safari makamu mwenyekiti kabila msukuma.
..Dr.Mashinji katibu mkuu kabila msukuma.
..John Mnyika naibu katibu mkuu kabila msukuma.
..John Pambalu mwenyekiti umoja wa vijana kabila msukuma.
..huwezi kumtuhumu Mbowe kuwa anapendelea wachaga wenzake wakati safu ya viongozi wenzake iko hivyo.
Simtuhumu Mbowe kupendelea wachaga katika nafasi za uongozi ndani ya chama. Niliamimi hizo ni propaganda za CCM tu kudhoofisha nguvu ya CHADEMA. Namtuhumu mbowe kwa speech aliyoitoa juzi akituhumu wachaga kubaguliwa katika ajira serikalini. Nilimdharau sana.
Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
sizitaki mbichi hizi
Ingia mitandaoniKihistoria tulizoea kuona oparesheni mbalimbali za Chadema zikivuna wanachama wengi toka vyama vingine.
Mbona hatutangaziwi kuwa operation imeshavuna wanachama wangapi toka vyama vipi?
Kwa maoni yangu mafanikio ya chama cha siasa ni kudumisha na kutetea itikadi yake na kuongeza idadi ya wanachama ya wanachama.
Kwa jinsi hiyo hii oparesheni haki nini tija yake?
Haikuhusu sisi wenyewe tunajua tumepata nini. Nyie masalia ya mwendazake dikteta dhalim endeleeni kuombolezaKihistoria tulizoea kuona oparesheni mbalimbali za Chadema zikivuna wanachama wengi toka vyama vingine.
Mbona hatutangaziwi kuwa operation imeshavuna wanachama wangapi toka vyama vipi?
Kwa maoni yangu mafanikio ya chama cha siasa ni kudumisha na kutetea itikadi yake na kuongeza idadi ya wanachama ya wanachama.
Kwa jinsi hiyo hii oparesheni haki nini tija yake?
Wewe mbona hadi leo unaishi kwa dadako umeshindwa hata kupanga kachumba kamoja? Shemeji yako akimkita dadako unaishia kusonya tu.Chadema ni matapeli wa kisiasa, chama mpaka leo kimepangisha ofisi Kuu.
🤣🤣🤣🤣 Kwahiyo ndo umejibu hoja ya huu uzi??Chadema ni matapeli wa kisiasa, chama mpaka leo kimepangisha ofisi Kuu.
Amka amka amka mkuu hii inaitwa super man digital movementKihistoria tulizoea kuona oparesheni mbalimbali za Chadema zikivuna wanachama wengi toka vyama vingine.
Mbona hatutangaziwi kuwa operation imeshavuna wanachama wangapi toka vyama vipi?
Kwa maoni yangu mafanikio ya chama cha siasa ni kudumisha na kutetea itikadi yake na kuongeza idadi ya wanachama ya wanachama.
Kwa jinsi hiyo hii oparesheni haki nini tija yake?