Kwanini Operesheni Haki ya CHADEMA haivuni wanachama toka vyama vingine walionyimwa haki?

Kwanini Operesheni Haki ya CHADEMA haivuni wanachama toka vyama vingine walionyimwa haki?

..huu ndio UJINGA unaotokana na siasa za CCM.

..chama kinatakiwa kivutie watu wasio na vyama wajiunge na chama husika.

..harakati za vyama kunyang'anyana wanachama kama vilabu vya mpira vinavyonyang'anyana wachezaji ni upumbavu.
Kwa oparesheni hii ni wangapi wasio na vyama waliojiunga na CDM hadi sasa?
 
Kwa oparesheni hii ni wangapi wasio na vyama waliojiunga na CDM hadi sasa?

..inawezekana hawajapata wanachama wapya.

..lakini kazi ya kutafuta wanachama wapya ni ENDELEVU.

..zipo operesheni ambazo zitafeli na zipo ambazo zitafanikiwa.
 
Kihistoria tulizoea kuona oparesheni mbalimbali za Chadema zikivuna wanachama wengi toka vyama vingine.

Mbona hatutangaziwi kuwa operation imeshavuna wanachama wangapi toka vyama vipi?

Kwa maoni yangu mafanikio ya chama cha siasa ni kudumisha na kutetea itikadi yake na kuongeza idadi ya wanachama ya wanachama.

Kwa jinsi hiyo hii oparesheni haki nini tija yake?
Chadema ni matapeli wa kisiasa, chama mpaka leo kimepanga
Wewe mbona hadi leo unaishi kwa dadako umeshindwa hata kupanga kachumba kamoja? Shemeji yako akimkita dadako unaishia kusonya tu.
Kumbe wewe na Dada yangu ni mashoga? maana hizi taarifa lazima utakuwa mwanamke mwenzake, halafu Ata ukikasirika chadema ni matapeli wa kisiasa hilo liko wazi, ikulu wataisikia TBC tuuuu
 
🤣🤣🤣🤣 Kwahiyo ndo umejibu hoja ya huu uzi??
Tapeli unaangaika nae wa nini? ukishawaambia watu utapeli wake inatosha watu kumpuuza , chadema ni matapeli walipokuwa wanapata ruzuku nyingi ujenzi wa ofisi wakajifanya wameusahau, sasa hivi wamefulia wanasumbua watu kuwataka wajenge ofisi ahahahahaha
 
..huu ndio UJINGA unaotokana na siasa za CCM.

..chama kinatakiwa kivutie watu wasio na vyama wajiunge na chama husika.

..harakati za vyama kunyang'anyana wanachama kama vilabu vya mpira vinavyonyang'anyana wachezaji ni upumbavu.

nani hana chama nchi hii?
 
Baada ya Mbowe, maenyekiti wa CHADEMA kulilia wachaga kukosa ajira nilimdharau sana. Niliichana kadi ya chama baada ya kuona mwenyekiti wangu ni mkabila kiasi hicho! Siwezi kuongozwa na mbumbumbu kiasi hicho.
Ndani ya CHADEMA ni uchaga kwanza! Wenye akili wamelibaini hilo ndiyo maana mwenyekiti anazurura tu huko mikoani bila kupata impact yoyote ndani ya chama kisiasa.
Mwenyekiti wa kile chama ni wa hovyo mno!

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
Foolishness, or else, stupidiness!!!!!!
 
Akili za MATAGA zimekufa kitambo sana toka walipomchagua yule mwenyekiti aliyefyekwa na corona kwa ubishi wake.
Na chama nacho kinaelezea kufa kumfuata mwenyekiti wao mbishi
kama ccm imekufa basi chadema imeyeyuka kabisa.

maana kuna manduza kama wewe mnaoamini corona imemuua jpm.
 
..kwani kauwawa na kitu gani?

..mataga wanaamini ni hujuma za genge la msoga.
wewe ndio unaamini corona imemuua,mara msoga imehusika,mara Mungu kamtoa makusudi,yaani kama umerukwa na akilu hivi.

ila sisi tunajua alifariki kwa maradhi ya moyo.hutaki kashonwe mcundu.
 
wewe ndio unaamini corona imemuua,mara msoga imehusika,mara Mungu kamtoa makusudi,yaani kama umerukwa na akilu hivi.

ila sisi tunajua alifariki kwa maradhi ya moyo.hutaki kashonwe mcundu.

..tatizo lake la moyo halikuwa kubwa kiasi hicho.

..Na angekuwa na tatizo la moyo angetibiwa kwenye taasisi ya moyo ya JK ambako kuna vifaa na wataalamu wa kutosha.
 
Chadema ni matapeli wa kisiasa, chama mpaka leo kimepanga

Kumbe wewe na Dada yangu ni mashoga? maana hizi taarifa lazima utakuwa mwanamke mwenzake, halafu Ata ukikasirika chadema ni matapeli wa kisiasa hilo liko wazi, ikulu wataisikia TBC tuuuu
Dada yako mimi ndiye nilimtoa seal hivyo ananithamini kuliko mumewe wa ndoa. Na huyo shemeji yako ana mpango wa kukutafuna wewe endelea tu kudemka hapo nyumbani kwake utastukia siku moja asubuhi huna marinda
 
..tatizo lake la moyo halikuwa kubwa kiasi hicho.

..Na angekuwa na tatizo la moyo angetibiwa kwenye taasisi ya moyo ya JK ambako kuna vifaa na wataalamu wa kutosha.
kwamba tatizo la moyo linamuua jpm kwa mara ya kwanza toka kugundulika lipo duniani!!!

umeambiwa tatizo analo tokea yuko chuo kikuu,unasema sio kubwa.
 
kwamba tatizo la moyo linamuua jpm kwa mara ya kwanza toka kugundulika lipo duniani!!!

umeambiwa tatizo analo tokea yuko chuo kikuu,unasema sio kubwa.

..tatizo hilo halikumdhoofisha hata kidogo.

..ni hali ambayo alikuwa ameweza kuishi nayo bila usumbufu wowote.

..umesahau kwamba aliwahi kulishwa SUMU wakati wa Mkapa na bado aliendelea kudunda?

..Ingekuwa ni ugonjwa wa moyo angetibiwa ktk taasisi ya moyo na sio kule alikofia.

..tatizo la moyo lisimuue alipokuwa kapuku yuko chuo kikuu lije kumuua akiwa RAISI?
 
..tatizo hilo halikumdhoofisha hata kidogo.

..ni hali ambayo alikuwa ameweza kuishi nayo bila usumbufu wowote.

..umesahau kwamba aliwahi kulishwa SUMU wakati wa Mkapa na bado aliendelea kudunda?

..Ingekuwa ni ugonjwa wa moyo angetibiwa ktk taasisi ya moyo na sio kule alikofia.

..tatizo la moyo lisimuue alipokuwa kapuku yuko chuo kikuu lije kumuua akiwa RAISI?
kwahiyo ni corona ndio ilimuua??
 
Back
Top Bottom