Utunzi wao umepoteza mvuto na walianza kupotea walipoingia TBC.Habari wana JF ,Hivi kwanini Orijino comedy dstv haina wafuatiliaji wengi ,Shida ni nini ?
Kukosekana kwa Joti ? Muda uliowekwe kwa ajili ya hicho kipindi ?
Kwa kifupi hata viewers wa clips zao kwenye mitandao ni wachache shida nini ?
Maana waigizaji wapo tena wazuri ,kwa mnao fuatilia shida ni nini ? tuwasaidie
Nadhani hata huu mfumo wao wa kusoma kama habari ni wa toka zamaniUtunzi wao umepoteza mvuto na walianza kupotea walipoingia TBC.
Waling'ara ITV ila walipoingia TBC majivuno yakawazidi, siku zote majivuno humtosa msanii kama walivyotoswa kundi la wanamuziki The Beatles.Nadhani hata huu mfumo wao wa kusoma kama habari ni wa toka zamani
Una uhakika icho kin'gamuzi kina watumiaji wengi?Habari wana JF,
Hivi kwanini Orijino comedy dstv haina wafuatiliaji wengi ,Shida ni nini?
Kukosekana kwa Joti? Muda uliowekwe kwa ajili ya hicho kipindi?
Kwa kifupi hata viewers wa clips zao kwenye mitandao ni wachache shida nini?
Maana waigizaji wapo tena wazuri, kwa mnao fuatilia shida ni nini uwasaidie?
21000 unawaonaKulipia dstv bei gani tuanzie hapo kwanza.
Wengi sana ,lakini hata You tube views chache sanaUna uhakika icho kin'gamuzi kina watumiaji wengi?
DSTV ya kwanza, Azam na Startime wameshikana, utafiti ulitoka Januari mwaka huuUna uhakika icho kin'gamuzi kina watumiaji wengi?
Umeongea kinyume.DSTV ya kwanza, Azam na Startime wameshikana, utafiti ulitoka Januari mwaka huu
Hawajawahi kuwa ITV.Waling'ara ITV ila walipoingia TBC majivuno yakawazidi, siku zote majivuno humtosa msanii kama walivyotoswa kundi la wanamuziki The Beatles.
mchawi ni muda. Muda wao ushakwisha kufanya TV shows. Umma unaitaji kizazi kipya.Habari wana JF,
Hivi kwanini Orijino comedy dstv haina wafuatiliaji wengi ,Shida ni nini?
Kukosekana kwa Joti? Muda uliowekwe kwa ajili ya hicho kipindi?
Kwa kifupi hata viewers wa clips zao kwenye mitandao ni wachache shida nini?
Maana waigizaji wapo tena wazuri, kwa mnao fuatilia shida ni nini uwasaidie?
Watumiaji wa Dstv ni wengi lakini ufuatiliaji sio Mkubwa kama tamthiliya nyingineTuulizane kwanza wangapi wanatumia DSTV?, pia wangapi wanaweza lipia vifurushi vya DSTV miongoni mwa hao watumiaji?.
Ukipata majibu hiyo ndo sababu.
Mwisho japo si kwa umhimu, huwa hawana vipengele vingi vinavyokosoa au kukumbusha serikali haki na uwajibikaji.
πππmchawi ni muda. Muda wao ushakwisha kufanya TV shows. Umma unaitaji kizazi kipya.
Duh...hiyo takwimu umeitoa wapi? kama hutumii DSTV utaionaje show? hizo clips zao mitandaoni wamezipost lini wakati mkataba wao hauruhusu? ni watu tu wanarecord show na kurusha YouTube na ndo sababu utaona wala hazikai zinaondolewa.Habari wana JF,
Hivi kwanini Orijino comedy dstv haina wafuatiliaji wengi ,Shida ni nini?
Kukosekana kwa Joti? Muda uliowekwe kwa ajili ya hicho kipindi?
Kwa kifupi hata viewers wa clips zao kwenye mitandao ni wachache shida nini?
Maana waigizaji wapo tena wazuri, kwa mnao fuatilia shida ni nini uwasaidie?
Hawapoi hao watu mkuu, show iko poa sana tu.Utunzi wao umepoteza mvuto na walianza kupotea walipoingia TBC.
Huna ulijualo wewe, hiyo show ITV ilikuwa kwa TV yako pekeako enh?Waling'ara ITV ila walipoingia TBC majivuno yakawazidi, siku zote majivuno humtosa msanii kama walivyotoswa kundi la wanamuziki The Beatles.