Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,229
- 50,144
Tv comedy show nyingi sikuhuzi, kipindi kile ilikua ni wao pekee so tulikua tunaisubiria kwa hamuKwan hakuna namna wakaigiza kizidi huko ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tv comedy show nyingi sikuhuzi, kipindi kile ilikua ni wao pekee so tulikua tunaisubiria kwa hamuKwan hakuna namna wakaigiza kizidi huko ?
HahahaaHivi wanaigiza nini huko daslam?
R.i.p Ruge alishawahi kuwaambia wanamuziki wa bongo flavour wa zamani lakini bado wakawa wanampiga Majungu tu.Wakati wao umekwisha, huwezi kuwa wewe Kila siku
RIP rugeR.i.p Ruge alishawahi kuwaambia wanamuziki wa bongo flavour wa zamani lakini bado wakawa wanampiga Majungu tu.
Wamerudi na style ile ile ya miaka ya 2007 wakati hiki kizazi cha watazamaji wengi walikiwa watoto na hizo sio style zao tena.Habari wana JF,
Hivi kwanini Orijino comedy dstv haina wafuatiliaji wengi ,Shida ni nini?
Kukosekana kwa Joti? Muda uliowekwe kwa ajili ya hicho kipindi?
Kwa kifupi hata viewers wa clips zao kwenye mitandao ni wachache shida nini?
Maana waigizaji wapo tena wazuri, kwa mnao fuatilia shida ni nini uwasaidie?
Umenena kweli ,waangalie na wakatiWamerudi na style ile ile ya miaka ya 2007 wakati hiki kizazi cha watazamaji wengi walikiwa watoto na hizo sio style zao tena.
Hakuna kipya hapo.
Mfano mimi ninapenda nyimbo za time after time, never be the same again, ngoma za ashanti na ja rule, kuna dogo uwa nashangaa nazipendea nini kwanini siwaelewo akina takashi, jibu ni kwamba ngoma nazosikiliza sio generation yake.
Mimi mwenyewe japo nilikuwaga nawapenda kipindi hicho nikiwa sekondari o'level, siku hizi hawanichekeshi hata kidogo.Umenena kweli ,waangalie na wakati
Mimi nimeangalia kama mara mbili nikaona kama ulivyo ona wewe mfumo waliotumia kipingi hicho wanakuja nao 2022Mimi mwenyewe japo nilikuwaga nawapenda kipindi hicho nikiwa sekondari o'level, siku hizi hawanichekeshi hata kidogo.
Ni mara chache sana nikavutiwa na vichekesho vyao.
Nini wafanye wawe level hizo ?Sasa hivi vichekesho kwenye media viko vingi.
Ushindani ni mwingi, kuna Nigerians, Ghanaian, Indians , Chinese
Kote moto , nani atazame komedi za kihuni za waropokaji
UmesomekaShida sio muda, style au nini, shida wanaonyesha vitu visivyotakiwa na watazamaji, misingi yao hapo mwanzo ilikuwa ni kuikosoa selikari kupitia vichekesho je wanaendelea? Watazamaji wanahitaji mambo yaliofichika au tetesi kuzileta bayana je wanafanya?
Tatizo la kujifanya unajua sanaUmeongea kinyume.
Msameheni ametoka Koromije juzi tuHuna ulijualo wewe, hiyo show ITV ilikuwa kwa TV yako pekeako enh?
Upo sahihi ni EATVHawajawahi kuwa ITV.