Kwanini orodha ya wabunge mashoga inafichwa?

Na hapa jf wapimwe. Liwe kundi special na list iwekwe hapa hapa.
Ha haaa ndo tutawajua wanafiki wanaokomaa kupinga Kumbe nao marinda hawana[emoji3][emoji3]
Tobaaaaaa JF mbna wengi walipoteza ubingwaa,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usione kelele hizi wengi wanajistukia tyuuh.
 
[emoji38][emoji38]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na hapa jf wapimwe. Liwe kundi special na list iwekwe hapa hapa.
Ha haaa ndo tutawajua wanafiki wanaokomaa kupinga Kumbe nao marinda hawana๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
Kweli kabisa. Ukiona mwanaJF yeyote anapinga upimwaji, huyo ni wa kumtilia mashaka ๐Ÿ˜€ ๐Ÿ˜€ ๐Ÿ˜€
 
Hata hivyo hao Wabunge wakiwa machoko,itatuongezea nini?
Itatuongezea aibu ya kitaifa kwa kuwa wabunge ni wawakilishi wa wananchi hawapaswi kuwa hivyo mkuu au wewe unaona sawa tu?
 
Huo utakuwa ni uonevu wangepima na Mabasha pia yaani mabwana wa hao Mabwabwa . Wote waondolewe. Jee ni wale Iron ladies wanaowapanda wenzao?
Mkuu unaambiwa kwamba hii ni vita ya mmasai na mkurya. Kila jiwe lazima lipinduliwe. Hakuna mtu atakayebaki bila kupimwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ