Wewe huna habari wala kutaka kujua, sasa kama hutaki kujifunza unatushauri nini kwa hiliUkiijua wewe inatosha...
Swala sio watu kuwepo mbona una ugumu kuelewa vitu vidogo tu, polisi wamepigiwa simu kuna marehemu walichokikuta si ni lazima watolee ufafanuzi na taarifa walichokikuta paleWananchi wote wa Tanzania walikuwepo hapo hotelini?...
Busara huwa haihitaji mtu awe amesoma sana ili kujua hili halikuwa sahihiWewe huna habari wala kutaka kujua, sasa kama hutaki kujifunza unatushauri nini kwa hili
Mtoto wa ndugu yangu alifia Hostel mwaka jana, mbona Polisi hawakuwaambia watanzania?Swala sio watu kuwepo mbona una ugumu kuelewa vitu vidogo tu, polisi wamepigiwa simu kuna marehemu walichokikuta si ni lazima watolee ufafanuzi na taarifa walichokikuta pale
Hahahahaaa eti niache bangi. Hii ni dalili tosha kuwa mjadala umekushinda na sasa unaanza matusi...mdogo wnagu hebu jaribu kuwaza ki Profesional acha bangi
Je mdogo wako ni famous au alishawa tumikia hili taifa hebu nijibu hilo kwanzaMtoto wa ndugu yangu alifia Hostel mwaka jana, mbona Polisi hawakuwaambia watanzania?
Mbona kuna baadhi ya taarifa huwa hamzisemi?Hakuna sheria ya hivyo, hakuna kanuni inayolinda kutoa taarifa za mauaji otherwise swala lipo mahakamani kuficha uchunguzi
Tena na maandishi ya polisi ina maana kuna askari aliyachapa kwenye social media, so unprofessional na unethicalTatizo mitandao ya kijamii, habari zinasambaa kama umeme.
Mzee David Makerege alikuwa ana umaarufu gani kabla ya kufia hotelini?Je mdogo wako ni famous au alishawa tumikia hili taifa hebu nijibu hilo kwanza
Mzee mstaafu wa miaka 80 wanaidhalilisha familia yake kabisa aisee. Sad indeed.Tatizo ni weledi, hili swala polisi wangeweza ku deal nalo bila kulianika kwenye vyombo vya habari na kulifanya kubwa.
Kama hiyo haitoshi mpaka chumba husika #22 hapo Mbezi garden kimetajwa pia kwenye ripotiHata kibiashara pia jina la hotel or logde linaharibiwa kiasi navyoona. Kuwa lodge ile kuna mtu alifia ndani. Haijakaa poa, sio?
Wafanye uchunguzi kimya kimya then ripoti wapatiwe viongozi wa familia, najua mitandao ipo lakini kasi ya kusambaa habari haiwezi kufananishwa na habari official kwenye press release ya RPC
Badala ya kuungama wanaleta ubishi usio na faida. Wakumbuke wao pia wanao wazee wastaafu na ipo siku yatawakutaTena na maandishi ya polisi ina maana kuna askari aliyachapa kwenye social media, so unprofessional na unethical
Ni binadamu gani asiye na dhambi?...Angekutwa na mzee mwenzake huenda wangemhifadhi! Swala ni wazee kuparamia umri mdogo! Nakumbuka mama Terry alizungumza sana kuhusu hili jambo ila siku hizi kakaa kimya.
Kuna mtu hachepuki lakini anakula rushwa. Hii sio dhambi?Hivi ni lazima uchepuke ndiyo uwe mwanaume una umri gani kijana, hivi pia ni lazima wote tuchepuka ili kuendana na hoja zako, sio lazima kila mtu achepuke haijakua kanuni, wazee umri umewatupa watulie na wake zao, kama hana mke basi atafute wa size zao, ni sawa sawa na wewe kumendea watoto wa primary that's not fair
Umaarufu wake unakuja umri wake na pisi aliokutwa nayo, mkuu vipi mbona its obviousMzee David Makerege alikuwa ana umaarufu gani kabla ya kufia hotelini?
Angekuwa ni ndugu yako wa karibu usingesema maneno hayaPamoja na kumdhalilisha ni fundisho kwa jamii
Angalau wakitangaza hivi wazee wenzie ambao nin wakware wataogopa kwenda maeneo hayo lipo some hapoTatizo ni weledi, hili swala polisi wangeweza ku deal nalo bila kulianika kwenye vyombo vya habari na kulifanya kubwa.
Alikuwa ana umaarufu gani kabla ya kufia hotelini?Umaarufu wake unakuja umri wake na pisi aliokutwa nayo, mkuu vipi mbona its obvious
Zote ni dhambi ila haina justifications kwa kile unachotaka kufanya utetezi kwenye hiloKuna mtu hachepuki lakini anakula rushwa. Hii sio dhambi?