Kwanini private candidates wengi huwa wanafeli (hawapati matokeo mazuri kama ya school candidates?

Kwanini private candidates wengi huwa wanafeli (hawapati matokeo mazuri kama ya school candidates?

Hii stori alituhadithia mwalimu wetu.

Ni nje ya mada.

Jamaa alikua 6 mpenzi wake hapo kijijini alikua form 5.

Ticha alivyopiga pepa ya 6 akapata divishen 2, yeye maisha yake yote ilikua lengo asome law UDSM. Basi akamuambia mchumba kwamba bwana eeh nina 2 ngoja nianze maombi.

Mpenzi akamwambia usiende sasa hivi. Nisubiri na mimi ili twende chuo kwa pamoja. Ticha kwa kuona hana sababu ya msingi ya kumuambia mzee wake juu ya yeye kutofanya maombi mwaka huo akarudi home kajinunisha akamuambia mzee wake "Bwana mi hii 2 sijaridhika nayo inadhalilisha ukoo"

Akaendelea "Ninaomba uniruhusu niresit"

Baba mtu hakuongeza neno mipango ikafanywa so ticha mwaka huo akapiga pepa na mpenzi wake.

Matokeo yakatoka ticha ana 3, mpenzi ana 1. Ticha akamuomba mdada amsubirie afanye clearancdada akagoma akajiendea UDSM ticha akaenda UDOM kusomea ualimu wa Kiswahili na ndiyo tukakutana hapo TMK
Dah,sio poa
 
Mtaongea yote Hila usahishaji wa PC unautofauti mkubwa mnoo na school candidate PC wengi wanavitu kichwa I Hila likija swala la matokeo kupiga zero ni kugusa tu
 
JAMANI NDUGU ZANGUNI MWENYE PDF YA MAJINA YA POST ZA KIDATO CHA TANO NAOMBA PLEASE
Hizo ndugu asaivi awatoi kwa pdf zinatoka kama vile uonavyo matokeo ya kidato Cha 4 au 6 zikitoka utazikuta kwa page ya tamisemi
 
Habari wana JF.

Kuna mwalimu mmoja mstaafu nilimsikia akisema private candidates mara nyingi huwa hawafanyi vizuri kwa kuwa alama zao za mitihani hugawanya nusu kwa kuwa wao huwa hawana assessments za darasani na majaribio kama school candidates.

Ama kwa upande wa school candidates wao yale majaribio na mitihani ya kipindi chote cha masomo huwa yanawabeba kwenye mtihani wa mwisho.

Je, kuna ukweli wowote juu ya hili? Msaada went great thinkers.
PC hapa na sijawai pata chini ya Division one o-level na A-level.

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Hii stori alituhadithia mwalimu wetu.

Ni nje ya mada.

Jamaa alikua 6 mpenzi wake hapo kijijini alikua form 5.

Ticha alivyopiga pepa ya 6 akapata divishen 2, yeye maisha yake yote ilikua lengo asome law UDSM. Basi akamuambia mchumba kwamba bwana eeh nina 2 ngoja nianze maombi.

Mpenzi akamwambia usiende sasa hivi. Nisubiri na mimi ili twende chuo kwa pamoja. Ticha kwa kuona hana sababu ya msingi ya kumuambia mzee wake juu ya yeye kutofanya maombi mwaka huo akarudi home kajinunisha akamuambia mzee wake "Bwana mi hii 2 sijaridhika nayo inadhalilisha ukoo"

Akaendelea "Ninaomba uniruhusu niresit"

Baba mtu hakuongeza neno mipango ikafanywa so ticha mwaka huo akapiga pepa na mpenzi wake.

Matokeo yakatoka ticha ana 3, mpenzi ana 1. Ticha akamuomba mdada amsubirie afanye clearancdada akagoma akajiendea UDSM ticha akaenda UDOM kusomea ualimu wa Kiswahili na ndiyo tukakutana hapo TMK
Story yako ni chai ama ya kutunga, na kama huyo ticha wenu ndo aliwahadithia basi alkua anafurahisha darasa muda uende..

Kama huyo tucha alirudia mtihani maana yke alkua na two seatings, ya kwanza alopata two na yapili alopata 3 so kwny kuomba chuo angeomba vp kwa kutumia second seating ilhali first seating amefanya vizur..

Nb. Ukirudia pepa haimanishi matokeo yako ya first seating yanafutwa
 
Story yako ni chai ama ya kutunga, na kama huyo ticha wenu ndo aliwahadithia basi alkua anafurahisha darasa muda uende..

Kama huyo tucha alirudia mtihani maana yke alkua na two seatings, ya kwanza alopata two na yapili alopata 3 so kwny kuomba chuo angeomba vp kwa kutumia second seating ilhali first seating amefanya vizur..

Nb. Ukirudia pepa haimanishi matokeo yako ya first seating yanafutwa
Mimi sijawahi kua PC sijawahi prove alichohadithia
 
Yeah alikuwa anasoma, alikuwa anavunja sana hizo Physics na Pure Maths kuliko walimu, yaani kuna kipindi mwalimu akichemka akashindwa kueleweka jamaa anamsaidia mwalimu kwa wepesi kabisa [emoji23][emoji23].

Walimu wote walikuwa wanamheshimu mwamba, pia yeye licha ya kuwa na uwezo mkubwa wa darasani na mkubwa ki umri kuliko hata walimu wengi ndo alikuwa mwanafunzi mwenye nidhamu.

Ki uhalisia kwa uwezo wake mwamba alitakiwa kupata 1.3 ila ndo hivyo aliapata 1.9 (CCC) Lkn huwa hatuachi kushangaa kwa sababu mimi sijawahi kuona PC kapiga Div One tena ya Science, tena zile enzi zetu(kipindi cha analogy [emoji23][emoji23])

Bila shaka kuna kitu ambacho NECTA wanakijua na sisi hatukijui kuhusu PC
Kuna PC wapo wanafahuru sana. Mm nilipita huko na tulitusua
 
Lakini ukiangalia matokeo ya PC kwa miaka hii ya karibuni ni wanafaulu sana. Division 1 zipo, but sijawahi kuona ya 7 kwa O level na 3 kwa Advance.
 
Iko hivi PC wengi wanazinigua mitihani ya NECTA kutokana wanakuwa wanasoma bila usimamizi mkali na mkazo kama walivyokuwa hawa school candidate..

Unakuta PC anapepa la NECTA lakini ile pressure ya NECTA anakuwa hana kutokana yupo mzingira ya mtaani pia PC wengi wanakuwa wansoma huku wanafanya mishe mbali mbali kitaa at the end anakosa muda wa kupitia

Pia PC wengine unakuta kamaliza NECTA form 2010 hafu unakuja kurisit 2022 hapo kutoboa ni ngumu coz teyeri umri ushakutupa mkono unakuwa na mambo mengi na mambo mengi unakuwa umesahau ni kama unaanza upya.Kurisit hutakiwi kuzidisha miaka 3 tangu umalize shule


Ukifatilia matokeo mengi ya PC (rissiters) wengi huwa wanakimbia kabisa pepa hawafanyi maana anaona pepa limefika hafu kichwani mweupe so anaamua kunyuti na hakuna mtu atamuuliza ili mradi alishawalipa NECTA chao na kituo washachukua pesa yake so ni yeye apige pepa(kutetea pesa yake ) au laaah.

Binafsi naamini PC akipata mazingira ya kusoma under pressure NECTA anapasua bila stress so mtu kama unaresit ni vema ukaenda na shule kabisa yahn uwe mwanafunzi kwa huo mwaka unaopiga pepa
Umeongea kitu cha msingi sanaa.
 
Kwa uzoefu wangu Kama PC O-level to Advance

Niseme tu ukiwa Pc kweli ni ngumu Kupata A , hii utokana na Maandalizi maana Pc wengi Kama unavyojua hawana background nzuri ya Lugha ya kingereza na kuwa na mambo Mengi ya kiutu uzima so focus inakuaga ndogo kwao Katika kusoma.


Hapa Tanzania wanafunzi wengi wanaopata matokeo mabaya wengi hawana msingi mzuri wa lugha ya kingereza , unakuta PC kasoma vitu vingi Sana lakini siku ya mtihani anashindwa kukielewa swali anaenda out of points

Wengi pc niliofanya nao mtihani walikuwa wanasoma Sana lakini siku ya mtihani wengi walikwama Katika kashindwa kujua swali linamaanisha Nini , uchawi upo Katika lugha ya kingereza
 
Private Candidate ni kama Mwanachuo anaefanya kazi huku anasoma.
 
Back
Top Bottom