Jephta2003
JF-Expert Member
- Feb 27, 2008
- 6,590
- 6,355
Na vits yake ya mkopoHuu muzik sio wake mwambie aende fb akapost picha yupo beach!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na vits yake ya mkopoHuu muzik sio wake mwambie aende fb akapost picha yupo beach!
Hapa JF kuna jamaa niliandikiana nay PM kumbe ni DR wa muhimbili ..Siku zote huwa nawaambia hawa watoto humu hatujuani kwa sababu ya hizi I'D zetu. Ila tukishaingia huko PM na kutambulishana tunabaki kushangaana. Respect kila ID unayokutana nayo humu.
Daah JF raha sana... Asanteni kiranga na vichwa vingine kwenye huu uzi...Puza Fala,
Mwenyewe ndivyo alivyokuwa akijiita Tambaza na masela wake ndivyo tulivyomuita.
Puza alikuwa na split personality, moja boonge la mtemi halafu nyingine bonge la mtu wa kawaida hivi, kama fala, basi ukimkuta kakaa nyuma kule mesi na machizi kanyong'onyea anasikiliza story ukimwambia "Puza Fala" na yeye utamsikia "niambie kichaa wangu". Hapo kila mtu ana "Nom de Guerra". Jina la vita. Kuna Msoviet, Bedui. Mpalestina. Tyson. Buchiza. Carlos. Bokassa. Abacha. Mkonda, duuh, machizi kibao nawasahau majina wengine.Miaka 26 sasa.
Ila siku moja Puza alijichanganya anga za Herman, form one. Herman alimrusha Puza makata mbele ya darasa sitasahau mpaka leo. Puza alichezea kichapo bila kutegemea halafu ile issue ikawa imeishia pale pale kama haijatokea. Halafu ukimuangalia Herman mwenyewe aliyemchapa Puza kam mtoto mtoto tu hana jina wala mwili.
Nikasema kila mtemi ana mtemi wake.
Mliletwa Karatu sec mkaibua issue kwa kumtwanga mwalimu baada ya kumfumania akimgegeda demu kwenye kichaka. Kilichofuata vijana wote waliotoka Tambaza mkamriwa kufungua matranka na wakakuta barua za mademu na maboyfriends.Ha ha ha kitambo Sana daah...nakumbuka uuzwaji wa kiwanja cha mpira kutoka Tambaza kwenda muhimbili Primaly..mkaguzi wa Elimu sec Alexzander Ndeki akaja mkutanoni akamwaga data...,namkumbuka,Puza,Sagapower,Vimto..... Makamu WA shule Mr Wajimira,yule mzee aliyekuwa mkuu WA shule jina nimemsahau....baada ya fujo na Azania 1994,form wote tukasimamishwa shule mwaka nzima...mwaka uliofuata tukaperekwa shule za mikoani,...form one yetu ya 1993 ilikuwa na watu wakorofi Sana...
Duh, bonge la memory, kipindi hicho Makonda wakiona Kaptula ya khaki wala hawasumbuki kuwazuia wanafunzi, kuna basi za Ubungo zile "Shella Beach" lile bench la nyuma lilikuwa special kwa wana TambazaPuza Fala,
Mwenyewe ndivyo alivyokuwa akijiita Tambaza na masela wake ndivyo tulivyomuita.
Puza alikuwa na split personality, moja boonge la mtemi halafu nyingine bonge la mtu wa kawaida hivi, kama fala, basi ukimkuta kakaa nyuma kule mesi na machizi kanyong'onyea anasikiliza story ukimwambia "Puza Fala" na yeye utamsikia "niambie kichaa wangu". Hapo kila mtu ana "Nom de Guerra". Jina la vita. Kuna Msoviet, Bedui. Mpalestina. Tyson. Buchiza. Carlos. Bokassa. Abacha. Mkonda, duuh, machizi kibao nawasahau majina wengine.Miaka 26 sasa.
Ila siku moja Puza alijichanganya anga za Herman, form one. Herman alimrusha Puza makata mbele ya darasa sitasahau mpaka leo. Puza alichezea kichapo bila kutegemea halafu ile issue ikawa imeishia pale pale kama haijatokea. Halafu ukimuangalia Herman mwenyewe aliyemchapa Puza kam mtoto mtoto tu hana jina wala mwili.
Nikasema kila mtemi ana mtemi wake.
Kumbe ndio maana hatuelewani mara nyingine.nimezaliwa miaka 7 baada ya Puza kujiua,naombeni nipite tu![]()
Mkuu wa shule unamuongelea Julius Mushi? Au nyie mlikuta Mushi kashaondoka?Ha ha ha kitambo Sana daah...nakumbuka uuzwaji wa kiwanja cha mpira kutoka Tambaza kwenda muhimbili Primaly..mkaguzi wa Elimu sec Alexzander Ndeki akaja mkutanoni akamwaga data...,namkumbuka,Puza,Sagapower,Vimto..... Makamu WA shule Mr Wajimira,yule mzee aliyekuwa mkuu WA shule jina nimemsahau....baada ya fujo na Azania 1994,form wote tukasimamishwa shule mwaka nzima...mwaka uliofuata tukaperekwa shule za mikoani,...form one yetu ya 1993 ilikuwa na watu wakorofi Sana...
Waungwana huyu sio yule MPIGA MSULI wa chuo cha ushirika moshi aliyekimbiaga ID yake hapa?,maana anavyokomalia vitu visivyo muhusu ni kama yeye amekuja kivingine na ID nyingine,huyu wa kupuuzwa tu,tueendelee na yetuNdio umeandika nini sasa. Social Media zina Umri wake ukishaona umegonga forty six na upo humu jua upstairs hauko vizuri. Wamama watu wazima wakivaa vimini au wababu waakipiga mlegezo na kutinga club mnaona mmomonyoko wa Maadili ila vizee kuja kushindana na vijana humu mnaona poa tuu. Busara zinahitajika kwenye familia yenu umri wa kujenga nchi umeshawapita tulieni majumbani na muwafundishe watoto na wajukuu zenu wasijekupotea kama mlivyopotea nyinyi
we mkorofiImekuchoma nini? Asilimia kubwa ya hao waliokuwa secondary miaka ya 80 wanapiga kelele kuwa maisha magumu serikali imewaletea umaskini. We jaribu kufuatilia comments zao uone.
Kama ulianza miaka ya 80 ulikuwa secondary na upo humu JF jua we ni maskini. Na hauwezi tena kuwa kama bill gates huu ni muda wetu sisi tuliozaliwa miaka hiyo nyie mkiwa secondary
Hahahah kumbe siko pekeangu
Naskia scorpion ni mdogo wakeAlijiua mwenyewe..ila sababu ndo haijulikani...jamaa alikuwa mtemi sana..kaanza kuonyesha utemi toka yuko form one anadindishiana na form four
Msalimie sana,sonda boy yupo mjini hapa nipo nae kundi la whatsapp tambaza 1988-1991
Mkuu Kiranga,Mkuu wa shule unamuongelea Julius Mushi? Au nyie mlikuta Mushi kashaondoka?
Nasikia Julius Mushi alifariki.
Mzee anakwambia "You should never let me catch you without a good book".
Mr. Julius Mushi ukimwambia Tambaza wamefanya fujo wameua watu yeye anakugeuzia kibao, anakwambia "mimi wa kwangu walioumizwa wangapi na wako wapi?"
Nilivyomsikia anasema hivyo tu nikamsamehe unoko wake woote mshua yule. Alikuwa anakunja uso kama ananyonya limao, Mushi hacheki hata siku moja alivyo mkuda.
Mi naikumbuka Tambaza ya wapiga kitabu cha nguvu.Hayo mengine ya ubabe na kutifuana na makondakta na polisi hayakuwa na tija sana.Mkuu Kiranga,
kwa kiasi kikubwa ndiye aliyeharibu spirit ya Tambaza, mimi nimekuwa pale chini ya Head Master Kalumuna na baadaye Mwl Julius Mushi (RIP)
Baada ya Kalumuna kuhamishiwa Makongo tukaletewa Mushi. - akitokea Forodhani Secondary, kwa mara ya kwanza tukaanza kushuhudia suspension na kufukuzwa wanafunzi shuleni, na wazazi kuitwa tukaanza kuchapwa parade na wazazi mbele ya shule.
Nakumbuka kipindi cha Kalumuna, mwanafunzi wake alikuwa hakamatwi kijinga na polisi/ vyombo vya usalama , iwapo itatokea mwanafunzi kakinukisha huko mtaani kwa kondakta atafika polisi atahoji huyu mwanafunzi alifanya hilo tukio saa ngapi? Akiambiwa ni say saa 4 atajibu hapana muda huo mwanafunzi wangu alikuwa darasani, na kesi inaishia hapo.
Upo sahihi, Tambaza ilikuwa na sura mbili, hio unayoikumbuka wewe na hii tunaijadiri sasa.Mi nawakumbuka Tambaza ya wapiga kitabu cha nguvu.Hayo mengine ya ubabe na kutifuana na makondakta na polisi hayakuwa na tija sana.
Kuna tetesi kuwa wababe wengi wa enzi zile siku hizi wengi wameamua kuokoka na kumrudia bwana.Upo sahihi, Tambaza ilikuwa na sura mbili, hio unayoikumbuka wewe na hii tunaijadiri sasa.
Huo ubabe wao ulikuwa unafanywa na hao hao wapiga kitabu.