Kwanini Puza wa Tambaza alijiua?

Kwanini Puza wa Tambaza alijiua?

Je Puza asingejiuwa angekuwa mtu wa aina gani leo hii?
Angekuwa ni kiongozi mashuhuri au angekuwa jela?
Saa zingine inabidi tujiulize kuwa baada ya kifo tunaacha historia gani kwa kizazi kijacho.

Wakati Puza anahangaika na fujo kuna wanafunzi wengine ambao hawakuwa na majina pale Tambaza walikuwa wanahangaika na masomo na mungu si athumani wengine wamekuwa wanasheria, madaktari nk.

Napenda kujua hatima ya wababe wengine wa Tambaza kama akina Buchiza,Bedui, Emmanuel Mbwili, Tyson nk
Mkuu
Wewe ni Tambaza family?

Nimemkumbuka Buchiza nimesmile, tulikuwa tunamuita Kisimba "juu mnene chini mwembamba", alikuwa na physic ya kivyake kila akipiga nondo anajaza kifuani chini anaslim!

Anyway, jamaa alikuwa mtoto wa mboga saba anakaa quarters/ maflat ya Bank/ kama siyo Bima pale Kisutu/zanaki, alikuwa akitongoza mademu walikuwa wanamuogopa sababu ya ule mwili, uvaaji wa kaptura kiasi fulani ulikuwa unamexpose na kuharibu haiba yake - miguu ilikuwa mwembamba na juu mnene mno, Ngoja niishie hapo kwanza maana hatufahamu yupo wapi asije kuwa ndiye afisa anayesimamia masuala cyber crime.
 
Kuna tetesi kuwa wababe wengi wa enzi zile siku hizo wengi wameamua kuokoka na kumrudia bwana.
Mkuu wewe ni Tambaza family? Au ulikuwa unafaidi halufu ya ua la waridi?
 
Kwa wale watoto wa Tambaza 1990 to 1993 mtakuwa mnakumbuka jamaa wakuitwa Puza.Huyu alikuwa ni miongoni mwa watukutu mashuhuri wa Tambaza..Mwaka 1992 Puza alijiua kwa kujinyonga nyumbani kwao maeneo ya Riverside...Mpaka Leo bado haijajulikana nini sasa kilimsukuma Puza hadi kupelekea kujinyonga ingawa watu wengi wanasema alijinyonga kwa sababu alikuwa anakabiliwa na kesi nyingi nzito . Za mauaji tatu na kati ya hizo tatu tukio la mwisho inasemekana alimuua denti wa Zanaki kwa kipigo Kikali so akawa anatafutwa na polisi.Mdau wewe unajua vipi kuhusu kujinyonga kwa huyu jamaa
Sasa kama sababu ni hizo mbona umeuliza tena??
 
Lazima tulete nyodo. Watu hatujazaliwa nyie mko secondary leo tupo wote JF tunachati. Kuna sehemu mtakuwa mmekosea lazima naelewa nw kwanini wengi humu hamuipendi CCM.
Lazima tulete nyodo. Watu hatujazaliwa nyie mko secondary leo tupo wote JF tunachati. Kuna sehemu mtakuwa mmekosea lazima naelewa nw kwanini wengi humu hamuipendi CCM.
Mkuu acha maneno shombo kama hujielewi kaa kimya...mim mwenyewe ni rika lako lakini unaongea kama vile umepaka.twa...hawa ni wakubwa zetu..na JF ni for great thinkers....we huoni ndo umekosea kuingia thread za watu...unaanza kuongea ongea kijinga jinga,kuwa na heshima kijana,au kuona umemalza chuo umeshika vihela vya mkopo ndo unaleta dharau...watu kama nyie mnafaa kukaa na dada zenu au kule fb,IG na sNAPCHAT ndo kwenu syo hku jf....yaani umeniudhi sana ..sijawahi andika post ndefu since 2011 kama hii...yaani unaweza kunipa ban subir niishie hapa
 
Hahahah kumbe siko pekeangu
naona maruwe maruwe tu...ngoja nikianzishe uzi wa watoto waliosoma wakati Kikwete yupo madarakani,maana anaanza urais mi nipo std 1 anamaliza nimaliza kdato cha 4
horse_racing.png
horse_racing.png
horse_racing.png
 
Kumbe ndio maana hatuelewani mara nyingine.

Ningezaa kwa kuwahi kuwahi Kiswahili Swahili wewe ungekuwa mwanangu wa tatu.

Yani wewe umri wako wa sasa ni mdogo kuliko umri wangu nilivyomuona Puza mara ya mwisho Tambaza.
hata hivyo umri sio kipimo cha akili.....nadhani mimi ndo JF youngest great thinker of all time
runner.png
napita tu
 
naona maruwe maruwe tu...ngoja nikianzishe uzi wa watoto waliosoma wakati Kikwete yupo madarakani,maana anaanza urais mi nipo std 1 anamaliza nimaliza kdato cha 4
horse_racing.png
horse_racing.png
horse_racing.png
Hahaha mi wakati anaapishwa nilikuwa niko primary nakumbuka tunamuangalia kupitia TVT hahahah,
kumbe weww bado dogo I guess upo na 18 yrs
 
Hahaha mi wakati anaapishwa nilikuwa niko primary nakumbuka tunamuangalia kupitia TVT hahahah,
kumbe weww bado dogo I guess upo na 18 yrs
19 yrs,nakumbuka 2005 ndo nilianza kuona Helicopter kwa mara ya kwanza huku kwetu Kongwa Dodoma,alikuja mbowe yaan nilifurahi sana,sikujua hata jina la mgombea wa CCM nilijua Freeman Mbowe tu.
 
Mkuu acha maneno shombo kama hujielewi kaa kimya...mim mwenyewe ni rika lako lakini unaongea kama vile umepaka.twa...hawa ni wakubwa zetu..na JF ni for great thinkers....we huoni ndo umekosea kuingia thread za watu...unaanza kuongea ongea kijinga jinga,kuwa na heshima kijana,au kuona umemalza chuo umeshika vihela vya mkopo ndo unaleta dharau...watu kama nyie mnafaa kukaa na dada zenu au kule fb,IG na sNAPCHAT ndo kwenu syo hku jf....yaani umeniudhi sana ..sijawahi andika post ndefu since 2011 kama hii...yaani unaweza kunipa ban subir niishie hapa
Mkuu una upeo sana.Nyota yako imewaka.
 
Mi Tambaza family.
Nimeondoka 93 pale.
Head master wangu alikuwa Mushi kisha Busianya.
Nimekula sana wali maharage pale mesi.
Duh, umenikumbusha Busianya mzee wa Fegi na anaongea kwa pozi na kujiamini sana, na ndie aliyetangaza Msiba wa Puza, maana Puza alijiua wakati wa likizo na tulipofungua tu yeye ndiye aliyetangaza
Pamoja na hayo yote hakuwahi kuwa Head master Tambaza, alikuwa second Master , maana baada ya Mushi kuchemsha Mziki wa TSS kijiti alipewa Mtela
 
19 yrs,nakumbuka 2005 ndo nilianza kuona Helicopter kwa mara ya kwanza huku kwetu Kongwa Dodoma,alikuja mbowe yaan nilifurahi sana,sikujua hata jina la mgombea wa CCM nilijua Freeman Mbowe tu.
Hahahaha.... Basi mwana ulichelewa kuanza shule, mi nilianza na 7yrs nikamaliza juzikati na 17
 
Hahahaha.... Basi mwana ulichelewa kuanza shule, mi nilianza na 7yrs nikamaliza juzikati na 17
mimi pia nilianza nikiwa 7yrs,nikimaliza 2011,2012 nikiingia form one mwaka jana nikimaliza
 
Back
Top Bottom