Patience123
JF-Expert Member
- Mar 10, 2013
- 5,092
- 8,784
Shkamoo Kiranga.Kumbe ndio maana hatuelewani mara nyingine.
Ningezaa kwa kuwahi kuwahi Kiswahili Swahili wewe ungekuwa mwanangu wa tatu.
Yani wewe umri wako wa sasa ni mdogo kuliko umri wangu nilivyomuona Puza mara ya mwisho Tambaza.