Mimi nilkuwa sesssion two na red lebo, but nakumbuka madarasa ya commerce yalikuwa mawaili tu U na z, mengine kma R, T, M yalikuw sayansi....nakumbuka tulikuwa streams 6 za red na 6 green ndio kumbukumbu yangu. nikumbesheni wadau...!! zaman tuliokuwa wakali wa hesabu primary ndio tulkuwa Tambaza....madem zetu wa zanaki ya tukiitana "TambaZana" . Ukikutana na mtoto wa zanaki tabasam hilo....!! ndio kipind soda ya sprite ndio imetoka miaka ya 90 na tunakuja shule na mzinga wa konyagi na kujichimbia mitaa ya mazengo kuna viduka fulani tunamix na sprite, na sigara unanunua pakt linaisha lote siku hyo hyo....
Mushi ndio alikuja kuharibu ile shule akitokea forodhani, alikuwa anakugua mpka maua wakati mwenzake Kalumuna akikuta mtaani muda wa masomo, akikushika utamsikia "turudi shulen kijana" kwa sauti ya kihaya.....
Binafsi nilishalala lock-up msimbazi mara tatu....na katika zoez la kura za waarifu wa shule nilipata kura nyngi sana ..hadi mushi aliuliza unagombea ubunge wapi??/
Tilipigwa viboko sana mpka uokozi ulifanywa na mkuu wa majeshi meja kiaro kwa kuwa mwanae ernest tulikuwa nae,,,, mwenyekiti wa bodi mama kijakazi kihelula (marehemu) alikuja kumaliza mambo.
Tambaza ndio chanzo cha maarifa kwangu......sumit juu ndio place ya kula msuba.....!!!