Kwanini Rais amepoteza mvuto kabla ya kutimiza siku 100?


Usimfananishe jiwe na Mother Teresa , jina lake tu lenyewe lilikua ni tishio, JIWE they didn’t call him for nothing , he was unshakable, alikua ni kiongozi wa aina yake, kumfananisha na vituko vingine ni kumkosea heshima... ebu kaa kwa kutulia
 
Mwendazake alikuwa anazindua viwanda vingi tu vilivyoachwa na Kikwete. Jamaa alikuwa muongo na mshipa wa aibu alikuwa hana.
 
Tumepigwa niaminini mimi

Kwani hawajui si wanajifanya tu kupoteza aibu zao, maana walijua huyu atakua kiboko ya magu kumbe gegedu so itabid tu wamsifie kiunafik ila ukweli wanaujua kuwa tumepigwa hamna kitu hapa
 
Amekosa mvuto kwako.watu tulikuwa hatupandi madaraja sasa tunapanda,ajira zilisimama jana kaachia,vitisho ilikuwa kawaida ya awamu iliyopita sasa tumaini na amani vimerejea,wewe unaishi wapi aisee.
 
Ile hali ameshika atama kwa kuteuliwa sio kuchaguliwa, wacha afanye aonavyo ni sawa.
 
Unaumwa na kichaa!

Na kazi iendelee!

Chato gang members tafuteni kazi za kufanya nyingine ...

Mlitaka apayuke ovyo na kuonekana kila siku kwenye mativii na matamko ya kipuuzi puuzi kama baba yenu marehem?

C mkubali tu tumepigwa, nchi haina mvuto tena kama zaman , Ipo ipo tu kama hamna raisi
 
Wewe mama ondoka huko kwenye mavyama. Sasahivi nchi imeshikwa na dereva asiyetaka aina hiyo ya makelele. Subiri uone na kama hujabadirika kisaikolojia, utaumia sana. Soon anakwenda kufanya yasiyowapendeza wana CCM, anamtazamo wa kitaifa huyu.

Jifunze kuelewa na kukubali kwamba Chama cha mapindunzi ndio chamadola ila usisahau ile kauli mbiu ya serikali yake kwamba Maendeleo hayana vyama

Siku Ukiweza kuelewa hapo utanishukuru sana
 
Hotuba za mama ni tamu sana
 

Kama kiongozi unatakiwa kukemea na kufokea pale inapobidi, haiwezekan kuona sehemu flan inafanya uozo then unarembesha tu sauti kama unataka kukata roho hivi unadhan kuna atakayekusikiliza? Magu he was a great leader c tukubali tu , hata kama Alikua dictator but alikua anajua anachokifanya hakuyumbishwa hovyo wala alikua hafanyi kazi kwa kufuraisha matajiri, yeye alikua busy na maskin wenzake

Mother Teresa kuingia tu madarakan, kashaanza kudemka, mara uganda, mara kenya, mara kaanza kugawa ma Benz , mara wawekezaji sasa wamepewa full support kuingia nchin bila kikwazo, come on guys really ? This is so digusting n annoying
 
C mkubali tu tumepigwa, nchi haina mvuto tena kama zaman , Ipo ipo tu kama hamna raisi

Cuzo hawa watu hajielewi ila walichokitaka nusunusu watakipata kwa ukamilifu.... na watakiri kwa vinywa vyao
 

Magu alikua jembe bwana, akisema leo watu wote hakuna kuvaa nguo utaona jiji zima liko uchi[emoji23], c mtoto sio mzee, Mungu amuweke panapostahili, baba wa watu kazi aliifanya kwa kweli
 
Kwetu sisi wapiga kura hajakosa mvuto na ndio kwanza ana melemeta
Hii shida iko kwa wale waimba nyimbo wa Jiwe. Mama aliposema yeye na jiwe ni kitu kimoja walishangilia sana, sasa anawaonyesha kwa vitendo kuwa yeye siyo.
 
Magu alikua jembe bwana, akisema leo watu wote hakuna kuvaa nguo utaona jiji zima liko uchi[emoji23], c mtoto sio mzee, Mungu amuweke panapostahili, baba wa watu kazi aliifanya kwa kweli
Mungu fundi aiseee,mimi ni jiweeeee siogopiiiii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…