Kwanini Rais amepoteza mvuto kabla ya kutimiza siku 100?

Kwanini Rais amepoteza mvuto kabla ya kutimiza siku 100?

Nchi Nzima mwanaume alikua ni yeye tu, akisema kitu kinakua, nchi ilikua na adabu, nchi ilikua inaenda kunakostahili, dunia nzima ilitamani uongozi wake, hakuyumbishwa wala kuogopa chochote, roho inaniuma sana Jaman , Ina maana watu haya yote hawayakuona kutoka kwa magu kweli??
 
Magu alikua jembe bwana, akisema leo watu wote hakuna kuvaa nguo utaona jiji zima liko uchi[emoji23], c mtoto sio mzee, Mungu amuweke panapostahili, baba wa watu kazi aliifanya kwa kweli
Kwa udikiteta ule ulitaka wafanyeje?
Watanzania ni watu waungwana,walichagua kuwa wapole lakini mioyoni walikuwa wanabubujika machozi kwa huzuni!
 
Hii shida iko kwa wale waimba nyimbo wa Jiwe. Mama aliposema yeye na jiwe ni kitu kimoja walishangilia sana, sasa anawaonyesha kwa vitendo kuwa yeye siyo.

Awe kama jiwe aringe? Usitufananishie jiwe wetu na utopolo mxieew toka ukome
 
Kama kiongozi unatakiwa kukemea na kufokea pale inapobidi, haiwezekan kuona sehemu flan inafanya uozo then unarembesha tu sauti kama unataka kukata roho hivi unadhan kuna atakayekusikiliza? Magu he was a great leader c tukubali tu , hata kama Alikua dictator but alikua anajua anachokifanya hakuyumbishwa hovyo wala alikua hafanyi kazi kwa kufuraisha matajiri, yeye alikua busy na maskin wenzake

Mother Teresa kuingia tu madarakan, kashaanza kudemka, mara uganda, mara kenya, mara kaanza kugawa ma Benz , mara wawekezaji sasa wamepewa full support kuingia nchin bila kikwazo, come on guys really ? This is so digusting n annoying
Kiongozi hafokei watu mbele ya makamera, ni ushmba, anaotoa maagizo, maagizo yasiopofanyika anachukua hatua kama kuondoa hao wazembe n.k, ndio nchi zilizostaarabika zinaenda hivyo. viongozi wanaingia na kuongoza mtaifa makubwa na kuyapaisha kiuchumi huwaoni wakifokea watu hovyo hadharani

Samia kwenda Uganda alienda kusaini mkataba wa ujenzi wa bomba la mafuta, asingetakiwa kwenda? Magufuli baada tu ya kupata Urais hakwenda Rwanda? Samia kaenda Kenya tayari mahindi ya TZ yaliyokuwa yamekwama mpakani yameruhusiwa, ulitka akajifungie kama mzee wa chato?

Kuweka sheria nzuri kwa ajili ya uwekezaji kuna shida gani? unajua hata faida za uwekezaji au ndio jiwe kawakaririsha tu kuwa hawafai?
 
Magu alikua jembe bwana, akisema leo watu wote hakuna kuvaa nguo utaona jiji zima liko uchi[emoji23], c mtoto sio mzee, Mungu amuweke panapostahili, baba wa watu kazi aliifanya kwa kweli
Labda jiji hilo ni lile la kusadikika
 
Unaumwa na kichaa!

Na kazi iendelee!

Chato gang members tafuteni kazi za kufanya nyingine ...

Mlitaka apayuke ovyo na kuonekana kila siku kwenye mativii na matamko ya kipuuzi puuzi kama baba yenu marehem?
Mataga ndani ya siku hizo hizo 100 zikifika utawasikia tena ,hawa ni zao la kipindi cha (wenye akili wanyamazapo wapumbavu uongezeka ) kina musiba hao
 
Habari wanaJF,

Katika uwanja wa siasa kwa ngazi ya Urais tumezoea kuona Rais aliyeingia Madarakani akijizolea umaarufu na sifa kedekede pindi anaposhika hatamu ya uongozi

Kipimo cha Rais huanza ndani ya siku 100 tangu ale kiapo. Lakini imekuwa kinyume kwa Rais wa sasa amekuwa wa kawaida sana ndani ya muda mfupi.

Nadhani yafuatayo yamechangia yeye kupoteza mvuto kwa kasi:

- Hotuba zake zimekosa msisimko, nadhani ni kwasababu Waandishi wake wamekuwa waki-copy na kupaste hotuba zake. Kila hotuba tunasikia yale yale (Taifa kufiwa, Jinsia yake, lazima aombe epewe muda nk)

- Wizara ya Habari inamuangusha kwa 100% watu wanatamani kuona ubabaishaji unaondoka Serikalini lakini ndani ya wiki Moja Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo imetoa maboko mara mbili (1: BASATA na Wasanii, 2: Mechi ya Simba SC vs Yanga SC)

- Kuendelea kuwepo Madarakani kwa baadhi ya Watendaji ambao Wananchi tuliamini walipaswa kuondoka baada ya zama za Mwendazake kuisha. Ameondoka mmoja tu, yule aliyekuwa boss wa Manispaa ya Temeke. Lakini bado kuna wengine wengi wanapaswa kupumzishwa.

Hayo ni kwa uchache, nakushauri fanya yafuatayo kujinusuru dhidi ya chuki na visirani vya Wananchi kabla haujachelewa.

- Safisha Serikali yako, baki na watu Wenye weledi tu (mfano ni Mama wa Afya anapaswa kupumzika ametulaghai sana)

- Kama kuna wafungwa wa kisiasa basi nakusihi wape uhuru wao. Familia zao zinawapenda na kuwahitaji.

- Ile ripoti ya matumizi ya fedha Serikalini ambayo uliomba bado haijakamilika? kama tayari basi tuweke wazi na ikiwezekana watu wawajibike kama kuna makandokando

- Usijidanganye ukaendelea kugawa Mabenz ya Serikali au ya fedha za walipa Kodi. Wananchi hatuoni mantiki ya kufanya hivyo.

- Acha kuwa na hotuba zinazojirudia rudia. Siku hizi ukianza tu tunajua unakoelekea.

Au nasema uongo ndugu zangu?
Hiyo ni kazi ya ccm tumechoka.
 
Habari wanaJF,

Katika uwanja wa siasa kwa ngazi ya Urais tumezoea kuona Rais aliyeingia Madarakani akijizolea umaarufu na sifa kedekede pindi anaposhika hatamu ya uongozi

Kipimo cha Rais huanza ndani ya siku 100 tangu ale kiapo. Lakini imekuwa kinyume kwa Rais wa sasa amekuwa wa kawaida sana ndani ya muda mfupi.

Nadhani yafuatayo yamechangia yeye kupoteza mvuto kwa kasi:

- Hotuba zake zimekosa msisimko, nadhani ni kwasababu Waandishi wake wamekuwa waki-copy na kupaste hotuba zake. Kila hotuba tunasikia yale yale (Taifa kufiwa, Jinsia yake, lazima aombe epewe muda nk)

- Wizara ya Habari inamuangusha kwa 100% watu wanatamani kuona ubabaishaji unaondoka Serikalini lakini ndani ya wiki Moja Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo imetoa maboko mara mbili (1: BASATA na Wasanii, 2: Mechi ya Simba SC vs Yanga SC)

- Kuendelea kuwepo Madarakani kwa baadhi ya Watendaji ambao Wananchi tuliamini walipaswa kuondoka baada ya zama za Mwendazake kuisha. Ameondoka mmoja tu, yule aliyekuwa boss wa Manispaa ya Temeke. Lakini bado kuna wengine wengi wanapaswa kupumzishwa.

Hayo ni kwa uchache, nakushauri fanya yafuatayo kujinusuru dhidi ya chuki na visirani vya Wananchi kabla haujachelewa.

- Safisha Serikali yako, baki na watu Wenye weledi tu (mfano ni Mama wa Afya anapaswa kupumzika ametulaghai sana)

- Kama kuna wafungwa wa kisiasa basi nakusihi wape uhuru wao. Familia zao zinawapenda na kuwahitaji.

- Ile ripoti ya matumizi ya fedha Serikalini ambayo uliomba bado haijakamilika? kama tayari basi tuweke wazi na ikiwezekana watu wawajibike kama kuna makandokando

- Usijidanganye ukaendelea kugawa Mabenz ya Serikali au ya fedha za walipa Kodi. Wananchi hatuoni mantiki ya kufanya hivyo.

- Acha kuwa na hotuba zinazojirudia rudia. Siku hizi ukianza tu tunajua unakoelekea.

Au nasema uongo ndugu zangu?
Kinachomuangusha ni kutoa maagizo ambayo hayatekelezwi. Alianza na vifurushi vya simu akafeli, wizara ya fedha hailipi kwa wakati kama walivyoagizwa, bot hatujasikia kitu....
 
Ukiona mama amepoteza mvuto ujue umeanza kuachwa mbali sana ongeza spidi otherwise utakuwa mnyonge mpaka ufe na kizazi chako kitakulaumu sana.

Nchi imefunguliwa, fursa zinaletwa, wewe umebaki kuwaza vicoba shauri yako. Tafuta fursa, mabenki yameanza kukopesha upya sasa, miradi inaanza kurudi, private sector imeanza kurudishwa kwenye uchumi na inarudisha confidence kwa wawekezaji na financiers wewe unabaki kuangalia tu unavyoachwa.

Mlizoea kila kitu kifanywe na serikali,. Wadau wa uchumi wa nchi wapo wengi sana Ila kuna Shana iliyojengeka tu kwamba uchumi unaendeshwa na serikali hapo ndipo tulipokaribisha umasikini unaotucost sana mpaka mmeamua kuridhika na jina la wanyonge.

Amka changamkia fursa la sivyo utaachwa kweli na utapotea kwenye ramani.
 
Ngoja nibebe mzingo wa kumpigania rais wangu kila baya mtakalosema naligeuza nzuri hata kama linaniumiza hata mfanyaje kwa sasa ndio mke aliyechaguliwa na baba yetu (Tanzania) atulee hivyo ukubali usikubali ndo mama aliyekuwepo hivyo mwacheni apige kazi.
by the way siku mia kitu gani wewe unakumbuka siku mia za kuzaliwa kwako ulifanya nini?
au kila baada ya siku mia unaweza kutupa mabadiliko yako?
hata hivyo saa ni kwa wazungu zaidi ndo maana hakuna kiwanda cha saa afrika ila kulikuwa na mafundi saa ambazo zilikuwa zinaharibika kwa kuwa waafrika hawajui kuzitumia na baada ya waafrika kuacha kuvaa saa mafundi saa wengi wamekuwa mafundi simu kwa kuwa tatizo ni lilelile lililokuwa kwenye saa.
mpeni muda tafadhari na tufikirie ni kwa kiasi gani tunaweza kumsaidia na sio kumwangamiza hii nafasi sio ndogo inawapotoshaji wengi kuliko waongoza njia.
 
Habari wanaJF,

Katika uwanja wa siasa kwa ngazi ya Urais tumezoea kuona Rais aliyeingia Madarakani akijizolea umaarufu na sifa kedekede pindi anaposhika hatamu ya uongozi

Kipimo cha Rais huanza ndani ya siku 100 tangu ale kiapo. Lakini imekuwa kinyume kwa Rais wa sasa amekuwa wa kawaida sana ndani ya muda mfupi.

Nadhani yafuatayo yamechangia yeye kupoteza mvuto kwa kasi:

- Hotuba zake zimekosa msisimko, nadhani ni kwasababu Waandishi wake wamekuwa waki-copy na kupaste hotuba zake. Kila hotuba tunasikia yale yale (Taifa kufiwa, Jinsia yake, lazima aombe epewe muda nk)

- Wizara ya Habari inamuangusha kwa 100% watu wanatamani kuona ubabaishaji unaondoka Serikalini lakini ndani ya wiki Moja Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo imetoa maboko mara mbili (1: BASATA na Wasanii, 2: Mechi ya Simba SC vs Yanga SC)

- Kuendelea kuwepo Madarakani kwa baadhi ya Watendaji ambao Wananchi tuliamini walipaswa kuondoka baada ya zama za Mwendazake kuisha. Ameondoka mmoja tu, yule aliyekuwa boss wa Manispaa ya Temeke. Lakini bado kuna wengine wengi wanapaswa kupumzishwa.

Hayo ni kwa uchache, nakushauri fanya yafuatayo kujinusuru dhidi ya chuki na visirani vya Wananchi kabla haujachelewa.

- Safisha Serikali yako, baki na watu Wenye weledi tu (mfano ni Mama wa Afya anapaswa kupumzika ametulaghai sana)

- Kama kuna wafungwa wa kisiasa basi nakusihi wape uhuru wao. Familia zao zinawapenda na kuwahitaji.

- Ile ripoti ya matumizi ya fedha Serikalini ambayo uliomba bado haijakamilika? kama tayari basi tuweke wazi na ikiwezekana watu wawajibike kama kuna makandokando

- Usijidanganye ukaendelea kugawa Mabenz ya Serikali au ya fedha za walipa Kodi. Wananchi hatuoni mantiki ya kufanya hivyo.

- Acha kuwa na hotuba zinazojirudia rudia. Siku hizi ukianza tu tunajua unakoelekea.

Au nasema uongo ndugu zangu?
Amepoteza mvuto kwa wasiojulikana,sukuma gang na chatorism empire.
 
Back
Top Bottom