Kwanini Rais Magufuli alimfunga Kabendera?

Kwanini Rais Magufuli alimfunga Kabendera?


View attachment 3192819


Shida ya watanzania ni kudandia mambo, hivi unadhani kweli Kabendera alipata shida kwa sababu ya nakala za ujinga alioongea kwenye interview yake ya kuuza kitabu.

Au unaamini kweli hadithi zake za watu kutekwa sijui kuwa na ushahidi.

Kabendera alikuwa anaichafua nchi na kuwaambia wawekezaji wa kimataifa Tanzania sio sehemu salama ya kuwekeza akishirikiana na mafisadi kuichafua nchi.

Unadhani huyo Kabendera ni mtu wa maana kweli au alionewa na machozi yake ya mamba.

If anything Magufuli alimuonea huruma na kumtoa tu, ugomvi wake ulikuwa na usalama wa taifa.

Akitokea mwandishi mwingine zama hizi za Samia na kufanya aliyokuwa anafanya Kabendera atapewa treatment zilezile.

Ni kwamba mafisadi yanatudharau tu, maana yanaamua wao namna ya ku shape narrative kwa mambo yanayofanana (huyu mpe, huyu muache).

Zama za Magufuli walikuwa wanatengeneza mazingira ya kumu-attack, wanaenda chukua maiti mochwari zisizo na ndugu na kutupa baharini.

Ili umpinge Magufuli nafuu uwe sasa hivi unanufaika vinginevyo, ni mpumbavu wa hali ya juu kusikiliza hizi hadithi za majizi.

Kabisa unaamini Kabendera ujinga wake alikuwa anaandikia audience ya Tanzania, yeye alikuwa anaichafua serikali nje ya nchi.

Unadhani alichoongea kwenye interview yake ni genuine, zaidi ya machozi ya mamba tu; msaliti mkubwa yule.

Alistahili kila kilichompata kwa matendo yake. Hao watu sio wazuri wana kundi la kuwalipa tu la ku-shape narrative kwenye social media.
siyo kweli, kama hamutaki kukosolewa basi msimame kwenye haki
 
Madaraka hayadumu ,tutende haki ,kibongo bongo rais ukishapiga miaka 10 unakuwa bilionea hadi unakufa ,yannini kuua wakosoaji ,wapinzani? Rais una vyombo vyote vya ulinzi na usalama unamuogopa Chaula kwa kuchoma karatasi? Unamuogopa Sativa? Unamuogopa Soka?
 
Hakuna kitabu pale lile gazeti la udaku ni kwa ajiri ya wajinga wajinga tu.

Kamwe huwezi msema jpm vibaya tukakuelewa hata kama alikufumua marinda bado hatutakuelewa. Sisi wazarendo tulikuwa tunaona kwa macho yetu vitendo tu tena matendo mema tukuka kabisa
Magufuli kuwa dikteta sio la kusingisiwa angalia tu, utawala wake nchi alivyoifosi? ilikua fujo tupu kila sehemu.
 
Kibendera kaandika kitabu Kwa ajili ya maslahi yake binafsi ya kufedha, pamoja na kujipa relief kutokana na uchungu alionao baada ya kuenyeshwa sana na serikali ya Magufuli uliompelekea kupoteza mzazi....!!

Na kafanya hivyo sababu Kuna wenzake wengi sana ambao bado wana uchungu kama yeye na wanahitaji relief ambapo wataipata kwa kumpa support ya kununua na kukisoma hicho kitabu.

Ila Kwa bahati mbaya kwao hakuna chochote kitakachabadili image na mitazamo waliyonayo watanzania kuhusu Magufuli.

Eti ameona aandike Kwa lugha ya kigeni kabisa hahahhaha..!!
Kapoteza muda mwingiii sana hajui ukiwa raia no.1 hayo ni kawaidà sanaaa
 
Kibendera kaandika kitabu Kwa ajili ya maslahi yake binafsi ya kufedha, pamoja na kujipa relief kutokana na uchungu alionao baada ya kuenyeshwa sana na serikali ya Magufuli uliompelekea kupoteza mzazi....!!

Na kafanya hivyo sababu Kuna wenzake wengi sana ambao bado wana uchungu kama yeye na wanahitaji relief ambapo wataipata kwa kumpa support ya kununua na kukisoma hicho kitabu.

Ila Kwa bahati mbaya kwao hakuna chochote kitakachabadili image na mitazamo waliyonayo watanzania kuhusu Magufuli.

Eti ameona aandike Kwa lugha ya kigeni kabisa hahahhaha..!!
Magufuli alikuwa kichaa. Muone hapa kwenye majabali amejilaza kama kenge anaota jua.
Screenshot_20250106_060434_Samsung Internet.jpg
 
Kabendera alikuwa anatumika na watu wa nje kumhujumu Magufuli alitaka kupindua utawala wa Magu.
Mwandishi wa habari unaandika artcles 4 kwa mwezi kwenye akaunt yako unalipwa million 300. Unachomoa pesa unazitawanya kwa wakosoaji wa serikali mitandaoni. Hiyo investigative journalism kilikuwa kichaka cha money laundering alikuwa anatumika kwa kazi maalum kazi chafu.
Hiyo ni longolongo tu. Leta majina ya hao alikuwa anawagawia hela hapa
 
Ndugu wanajamvi,

Tumesikia kuhusu kitabu kipya cha Erick Kabendera kinachoitwa "In the Name of the President: The Memoirs of a Jailed Journalist". Kabendera amefunguka kwa kina juu ya utawala wa Magufuli na madai ya udikteta. Hii inatufanya tujiulize maswali mengi kuhusu sababu halisi za kufungwa kwake.

Ni wazi kuwa Kabendera alikuwa mwandishi wa habari shupavu, lakini je, hatua za kumkamata na kumfungia zilikuwa za haki? Au zilikuwa juhudi za kumnyamazisha kwa sababu ya uandishi wake?

Kwa vile tunafahamu kwamba baadhi ya wanachama wetu hapa ni wafanyakazi wa idara za usalama, jeshi, na ulinzi, wafanyakazi wa ikulu na watumishi wa inner circle tunapenda kupata mitazamo yenu juu ya suala hili:

1. Je, ni nini hasa kilichosababisha Kabendera kuonekana tishio kwa utawala wa Magufuli?

2. Kuna ukweli wowote katika madai kuwa utawala huo ulitumia nguvu za dola kuzima uhuru wa vyombo vya habari?

3. Kwa maoni yenu, je, kufungwa kwa Kabendera kulikuwa na athari gani kwa tasnia ya uandishi wa habari na uhuru wa kujieleza nchini Tanzania?

4. Kwa nini utawala wa Magufuli ulikuwa na wasiwasi mkubwa juu ya waandishi wa habari huru kama Kabendera?

Tunaomba mjadala huu uwe wa kistaarabu, wa kina, na wa kuheshimu maoni tofauti. Ikiwezekana, tusaidiane kupata ukweli ili kuangazia mustakabali wa uhuru wa vyombo vya habari nchini mwetu. Jambo zuri ni kwmaba mzee hayupo tena kwa sababu kipindi cha utawala wake hadi hili jukwaa la siasa lilikuwa compromised. Niliwahi kupost threads zenye hoja na zilifutwa na maadmin bila sababu hali hii ikasababisha nilichukie sana hili jukwaa la siasa.

Karibuni kwa mjadala.

View attachment 3191541
Kidogo apigwe risasi akatupwe mto tufiji kama alivyomfanyia ben saanae
 
Makosa ya Kabendera ni Kama ya baba yake Kabendera Shinan alipobanwa na SERIKALI ya Mkapa akaamua kujiua Ziwa Victoria Mwaka 2000,

Alionekana kutumiwa na majirani na bbc kufifisha Juhudi za Mkapa !

Mzee Kabendera ni Mnyarwanda aliyeishi katoMa bukoba , hata msiba wake Rwanda Ulitikisa aliacha baadhi ya ndugu zake Erik huko Rwanda


View attachment 3193545View attachment 3193546View attachment 3193547View attachment 3193548
Like father, like son. Maji hufuata mkondo. Usaliti upo kwenye DNA yao, Ukoo, familia yote hawaoni shida kuiuza Tanzania nchi iliyowapokea na kuwasaidia kama wakimbizi.

Nchi ilikuwa inapambana na magaidi. Wananchi wa kawaida, Familia, polisi, viongozi wanauliwa ovyo kila siku, watu wanataka kusimamisha himaya yao yenye misimamo mikali ndani ya nchi kama walivyofanikiwa Msumbiji walipokimbilia. Shughuli nyingi zilianza kusimamia. Anakuja mtu anaanza kuwatetea akisahau kutetea waathirika, wahanga wa ugaidi.

Rais anaamua kuweka mambo sawa, Kabendera anaanza kutetea haki za magaidi, nchi iwekewe vikwazo, wawekaji wasije, uchunguzi wa haki za magaidi wakati huo huo hana habari na haki za wananchi wa kawaida wanaouwawa kila siku.

Wengi wanaomuona shujaa na kumsifia hapa sasa hivi wangekuwa wakimbizi, wakishindwa kuishi kwa amani, kufanya shughuli zao za kiuchumi, kuandika hapa JF kama JPM asingewanyoosha wahusika wote na huyu shujaa wao bila kupepesa macho.
 
Magufuli alikuwa kichaa. Muone hapa kwenye majabali amejilaza kama kenge anaota jua.
View attachment 3193836
Kwamba Magufuli alitaka kumtombaa mama yako Samia, na wewe unakubaliana na hili??

Nashangaa sana nyie machawa WA Samia kukifurahia hicho kitabu Cha Kibendera na wakati kimemdhalilisha zaidi Mama yenu kuliko hata Magufuli, haya mwambieni mama yenu afanye kuclear kuhusu hizo tuhuma nzito, maana yeye Bado Yuko hai na mpaka Sasa hivi naamini tayari amefikishiwa taarifa.... Asipoongea chochote tutaamini kweli tunaongozwa na mtu ambaye ni victim WA sexual harassment, ambaye kimsingi alistahili kuwa sober badala ya Ikulu.

Nyie machawa WA Samia akili zenu ni ndogo sana kama Tako la sisimizi
 
Like father, like son. Maji hufuata mkondo. Usaliti upo kwenye DNA yao, Ukoo, familia yote hawaoni shida kuiuza Tanzania nchi iliyowapokea na kuwasaidia kama wakimbizi.

Nchi ilikuwa inapambana na magaidi. Wananchi wa kawaida, Familia, polisi, viongozi wanauliwa ovyo kila siku, watu wanataka kusimamisha himaya yao yenye misimamo mikali ndani ya nchi kama walivyofanikiwa Msumbiji walipokimbilia. Shughuli nyingi zilianza kusimamia. Anakuja mtu anaanza kuwatetea akisahau kutetea waathirika, wahanga wa ugaidi.

Rais anaamua kuweka mambo sawa, Kabendera anaanza kutetea haki za magaidi, nchi iwekewe vikwazo, wawekaji wasije, uchunguzi wa haki za magaidi wakati huo huo hana habari na haki za wananchi wa kawaida wanaouwawa kila siku.

Wengi wanaomuona shujaa na kumsifia hapa sasa hivi wangekuwa wakimbizi, wakishindwa kuishi kwa amani, kufanya shughuli zao za kiuchumi, kuandika hapa JF kama JPM asingewanyoosha wahusika wote na huyu shujaa wao bila kupepesa macho.
Mpaka Sasa hivi ni dhairi kabisa huyo Kibendera sijui Kabendera ni aina ya waafrika ambao Wana mchango mkubwa sana kwenye machafuko yanayoendelea kwenye bara hili la Africa.

Siku zote adui hawezi akakudhuru pasipokupata support yoyote kutoka Kwa mwanafamilia Mmoja wapo anayetoka humo humo ndani kwako.

Machafuko na vikundi vya kigaidi tunavyoviona hapa Africa, waanzilishi au waliofanya vikastawi ni waafrika wenyewe hasa hawa waandish WA habari uchwara wanaojiita investigative journalists.

Ulienda kule Nigeria Kuna mtu Amed Salkida huyu ni mwandishi WA habari ambaye aliwahi kufanya kazi Ikulu enzi za raisi Olisegun Obasanjo, mwishoni mwa mwaka 2015 ilikuja kubainika kwamba anashirikiana bega Kwa bega na kundi la Boko Haram, ina maana mipangi yote ya serikali jamaa ndio alikuwa anaipenyeza enzi hizo Boko Haram inajiimarisha kule kwenye jimbo la Bono na kutengeneza himaya Yao.

So endapo kama Magufuli asingesimama kidete kipindi kile basi upo uwezekano mkubwa sana leo hii Kibiti isingekuwa na bandera ya Tanzania kabisa, na badala yake ingekuwa ni himaya ya magaidi ambayo yangeweza kutusumbua kizazi hadi kizazi, yaani Kwa ufupi na sisi tungekuwa na maboko Haram hapa nchini.

Wakati huo watu kama akina Kabendera ambao ndio chanzo Cha kustawi Kwa magaidi hayo familia zao hazipo nchini..

Kwa hiyo watu kama huyo Kibendera/Kabendera kishughulikiwa na serikali ya Magufuli ilikuwa ni Moja ya maamuzi Bora kabisa kufanyika wakati ule.

Sahihi kabisa, Hawa wanaomshabikia Kibendera/Kabendera leo hii, hawajui kwamba kazi anayoifanya ni sawa na Ile aliyoifanya Amed Salkida WA Nigeria...
 
Angekuwa hai bado kitabu kingetoka tu kwa maana kwa namna alivyoua na kuteka raia hakuna namna angekwepa hii aibu.
Ben saanane kafa mwaka 2016/2017 Magufuli kafa 2021... Miaka 4/5 baadae, alikuwa wapi Ile miaka 4 kutoa hicho kitabu ambapo ndio ingeleta mantiki zaidi na watu wangemuamini???

Nini kimenfanya aje akitoe leo hii ambapo muhusika hayupo na ameshasahaulika???

Makovu yenu ya kihisia hayawezi kuponywa na hizo hekaya za kutunga... Bado mtaendelea kuumizwa tu marehemu mpaka kufa kwenu.
 
😂😂😂 Magu alijitoa muhanga???
Na wewe ukamuamini kua kajitoa muhanga..
Ccm ni walewale tu wafata ilani yao ambayo hawaifati.
Unafikiri kuchokonoa Ile mkataba ya kinyonyaji ya madini ni jambo rahisi ehee?? Unafikiri kila kiongozi WA kiafrika ana ujasiri wa kuwatikisa imperialists kama alivyokuwa anafanya Magu??

Hapa hatuongelei wizi na ulafi wa mafisadi ya ccm ambao ndio maadui wake wakubwa mpaka leo...!!

Huwezi ukaona risk taking aliyoifanya Magu enzi za uhai wake kama wewe ulikuwa ni mlamba makalio WA mafisadi na majizi ya rasilimali za taifa.
 
Back
Top Bottom