Kwanini Rais Magufuli alimfunga Kabendera?

Kwanini Rais Magufuli alimfunga Kabendera?

HALAFU WATANZANIA WALA HAWAKO BIZE NA KUSOMA MAJALIDA NA HIYO LUGHA ALIYO TUMIA NDIYO KABISAAA HAKUNA ATAKEYE SOMA NA HAKINA IMPACT YOYOTE KWA TANZANIA NI KAMA KIGAZETI CHA UDAKU TU
Ndio maana nasema huyo mwehu Kabendera katunga hicho kitabu hili kujipa relief sababu ya trauma aliyonayo, ndio maana kakiweka kwenye lugha ambayo wengi watakaokisoma ni diaspora na watanzania wachache wenye traumatic experience inayofanana na yake.

Yeye mwenyewe anafahamu kabisa watanzania wengi hawatakuwa na muda na kusoma chake, watanzania hata Katiba tu ya nchi Yao iliyopo kwenye lugha mama ya kiswahili hawana muda na kusoma, ndio ije iwe hicho kitabu Cha Hadithi kilichoandikwa Kwa lugha ya kibeberu?

Huyu ndani ya mwezi tu atakuwa ameshasahaulika kabisa yeye na kitabu chake.
 
Imagine alikuwa anaandika nakala za design hizo-hizo za uongo mtupu; kuichafua nchi.

Halafu kuna watu wanakwambia ndio demokrasia, hiyo.

I have always said Magufuli alikuwa soft kwa mtazamo wangu.

Watanzania anahitajika mtu wa kuingia madarakani na kuwanyoosha akili zao, thinking yetu and definition yetu ya ipo chini sana.

Watanzania wanadhani it’s ok to violate people au sijui nafasi za siasa ni birth right yake, kuiba serikalini ni haki yake and so forth of their nonsense.

Kabendera ni flag bearer tu wa permeating culture ya Tanzania hasa kwa wafanyakazi wa umma, serikalini (mawaziri) na ndani ya CCM.
Huwa Kuna mentality fulani ya kuiga na ya kinafiki ipo Kwa watanzania wengi hasa hawa middle class ambao wanajiona Wana akili na vi-exposure uchwara walivyonavyo.

Kwamba kufanya chochote au kusema chochote hata kama ni hatarishi Kwa umma ni haki yake ya kidemokrasia.

Unakuta mtu anafanya ufisadi/wizi halafu akishughulikiwa vilivyo, wanatokea watu WA kumtetea kwamba adhabu aliyopewa ni ukiukwaji WA haki.... Na blah...blah kama hizo

Imagine huyo Kabendera kipindi kile jeshi letu limefanikiwa kuthibiti kile kikundi Cha kigaidi kule Kibiti, eti akaanza kuandika makala za kuwatetea wale magaidi kwamba wameonewa sijui wamevunjiwa haki zao za kibinadamu seriously?

Yaani mtu kuisnitch serikali dhidi ya mataifa ya nje eti ndio demokrasia hiyo, SI upumbavu huo?

Haya leo hii Kuna watu wanaamini eti wale wahanga wa vyeti feki walionewa.... Yaani mtu katumia udanganyifu kujipatia ajira serikalini, wakati huo Kuna watu kibao tu wenye sifa wako mitaaan... Haya leo hii ameshtukiwa na kisha akaondolewa kazini na nafasi yake kuchukuliwa na mtu mwenye elimu na sifa hii, mara ghafla tunakuja kuambiwa eti huyo mdanganyifu alionewa na anapaswa kulipwa stahiki zake... just imagine?

Hakika watanzania wanahitaji mtu ambaye ni mara tatu ya jinsi alivyokuwa Magufuli hili akili zao ziwakae sawa.

Kuna self-entitlement ya kipumbavu mno
 
Kabendera alikuwa anatumika na watu wa nje kumhujumu Magufuli alitaka kupindua utawala wa Magu.
Mwandishi wa habari unaandika artcles 4 kwa mwezi kwenye akaunt yako unalipwa million 300. Unachomoa pesa unazitawanya kwa wakosoaji wa serikali mitandaoni. Hiyo investigative journalism kilikuwa kichaka cha money laundering alikuwa anatumika kwa kazi maalum kazi chafu.
Leo anaandika kitabu ili apate huruma ya kijamii kana kwamba watu hawamjui. Hawa mawakala wa mabeberu wamechangia sana katika kuzikwamisha serikali nyingi za Afrika.
 
Inasikitisha sana mkuu, ukiwa mzalendo kwa hii nchi unakua vitani na unaowatetea, ndio maana wengine wameona wale maisha na watoto wao kimya kimya
Anaowatetea walimwelewa sana, wajaribu kumtukana insta walipojaa waone moto wao.

Ni genge tu la mafisadi wachache.
 
Kibendera kaandika kitabu Kwa ajili ya maslahi yake binafsi ya kufedha, pamoja na kujipa relief kutokana na uchungu alionao baada ya kuenyeshwa sana na serikali ya Magufuli uliompelekea kupoteza mzazi....!!

Na kafanya hivyo sababu Kuna wenzake wengi sana ambao bado wana uchungu kama yeye na wanahitaji relief ambapo wataipata kwa kumpa support ya kununua na kukisoma hicho kitabu.

Ila Kwa bahati mbaya kwao hakuna chochote kitakachabadili image na mitazamo waliyonayo watanzania kuhusu Magufuli.

Eti ameona aandike Kwa lugha ya kigeni kabisa hahahhaha..!!
Mkuu kawaandikia wazungu sisi Wananchi hakituusu
 
I wish ungekuwa wewe ukawekwa ndani mpaka Mama yako akaiomba Serikali ikuachie kwa sababu wewe ndiye Masada wake pekee lakini ikaziba masikio nadhani hapo ndipo ingependeza sana. Hata hayo mawazo ya kubwabwaja yangekutoka!!
Kwani wafungwa na watuhumiwa walioko mahabusu kama yeye hawana wazazi ina maana Mama yake ni muhimu kuliko watuhumiwa wote waliioko magerezani?
 
Kwani wafungwa na watuhumiwa walioko mahabusu kama yeye hawana wazazi ina maana Mama yake ni muhimu kuliko watuhumiwa wote waliioko magerezani?
Msharaha ni hapa hapa tu!! Unavuna ulichopanda ndicho utavuna!! Hivi wewe unafikiri shida yangu ndiyo yako? Walijua wamemkomoa lakini hawakujua kuwa Mungu Fundi!!
 
Nani kalishwa matango pori zaidi ya wajinga na wapumbavu kama wewe ambao mnaamini maandishi ya huyo Kabendera yasiokuwa na substantial evidence ya aina yoyote?

Kwa akili yako mbovu ilivyo leo hii huyo Kabendera hata akisema Magufuli alimbaka mama yako mzazi bila uthibitisho wowote utamuamini kutoka na chuki ulizonazo Kwa Magufuli plus Imani kubwa uliyonayo Kwa Kabendera sio?

Mjinga kabisa wewe,
Wazee wa mihemko, hivi wanazi wa Magu mna matatizo gani?
Kwanini mkiishiwa hoja au huyo mungumtu wenu akisemwa vibaya mnakasirika na matusi juu??

Sisi uthibitisho wa kua mwendazake alitaka kula tunda kimasikhara kama rikiboy tunao, ni kitabu cha jamaa yetu alie ughaibuni, ukituuliza tutaquote tu.

Bwabwaja ubwabwajavyo ila mwendazake alitaka kuzagamua kinguvu, KWISHA.
 
Watu kama huyo Kabendera kuachwa waendelee kuwa hai ilikuwa ni mistake, hapo ndio Huwa namkubali PK Huwa anajua sana kudeal na watu WA aina hii ambao ni threat Kwa usalama WA taifa.... Ana bahati sana JPM hakuwa na uhodari WA kimafia kama Kagame, huyu asingekuwa hai kutuandikia huu ushuzi ambao hauna manufaa yoyote zaidi ya kupoza hasira zake na za wengine ambao Wana makovu kama yeye.

Eti investigative journalist halafu unaishia kuichunguza serikali Kwa manufaa ya watu WA nje, si ni uhaini huo? Kwanini asingechunguza kuhusu makinikia na uporaji WA rasilimali zingine lukuki unaofanywa nchini kwetu ambao wananchi wengi hatuujui? Yaani unaichunguza serikali kisha unashirikiana na magaidi yanayotishia kuangusha utawala, halafu ukishughulikiwa, umeonewa... Mbaya Zaid Kuna wapumbavu wanamuunga mkono, inatia hasira sana
Kuna watu wachache wa ajabu sana Tanzania waliathirika na aliyoyafanya Magufuli kama haya chini. Walikuwa wanufaika wa mfumo uliokuwa umejaa rushwa, wizi, ufisadi, uonevu, kujuana, upendeleo, kutojalina kila aina ya uchafu.

JPM kakomesha ugaidi Watanzania wote waishi kwa amani. Webgine waweze kumtukana hapa JF, kufanya kazi zao, kuendelea na biashara zao, mambo yao. Huo ndio uhuru wenyewe, ndio huko kusimamia haki za binadamu wote.

Kawapa elimu bure.
Kawapa umeme, maji ya kuaminika sasa hivi hivi vinashindikana tena kwa bei nafuu.

Kafukuza vyeti feki mtu alikuwa anaweza kujiita mhasibu,engineer, muuguzi kwa kutumia vyeti feki. Madhara yake ni makubwa sana.

Wafanyakazi hewa hawapo tena serikali imeokoa mabilioni ya pesa iliyokuwa inaenda kwa vigogo kwenda kwenye mambo ya msingi. Hao vigogo hawawezi kumpenda.

Kapambana tupate sheria mpya kulinda rasilimali zetu, zitunufaishe, kama sheria za madini vizazi na vizazi vijavyo.

Alipunguza rushwa na kuongeza nidhamu serikalini na alipunguza matumizi yasiyo ya lazima.

Alihakikisha mfumuko wa bei unathibitiwa. Vitu havipandi ovyo.

Amejenga masoko, shule, hospitali, barabara, SGR, Bwawa la umeme, madaraja, interchange,vituo vya usafiri hivi vyote kusaidia kuliinua taifa hili maskini.

Vyote hivyo alifanya bila kuongeza kodi, tozo.

Muhimu zaidi amejaribu kubadilisha mentality la hili taifa, kuwaambia Watanzania nyie sio maskini, mna rasilimali za kutosha, muhimu kuzitumia vizuri akaonyesha mfano kwa vitendo.

Ndio alikuwa mtetezi mkubwa wa haki za kibinadamu na uhuru kwa Watanzania wote. Wapate haki zao za msingi, haki za kuishi, haki ya elimu, afya, kazi, biashara, amani, nk.
 
Kuna watu wachache wa ajabu sana Tanzania waliathirika na aliyoyafanya Magufuli kama haya chini. Walikuwa wanufaika wa mfumo uliokuwa umejaa rushwa, wizi, ufisadi, uonevu, kujuana, upendeleo, kutojalina kila aina ya uchafu.

JPM kakomesha ugaidi Watanzania wote waishi kwa amani. Webgine waweze kumtukana hapa JF, kufanya kazi zao, kuendelea na biashara zao, mambo yao. Huo ndio uhuru wenyewe, ndio huko kusimamia haki za binadamu wote.

Kawapa elimu bure.
Kawapa umeme, maji ya kuaminika sasa hivi hivi vinashindikana tena kwa bei nafuu.

Kafukuza vyeti feki mtu alikuwa anaweza kujiita mhasibu,engineer, muuguzi kwa kutumia vyeti feki. Madhara yake ni makubwa sana.

Wafanyakazi hewa hawapo tena serikali imeokoa mabilioni ya pesa iliyokuwa inaenda kwa vigogo kwenda kwenye mambo ya msingi. Hao vigogo hawawezi kumpenda.

Kapambana tupate sheria mpya kulinda rasilimali zetu, zitunufaishe, kama sheria za madini vizazi na vizazi vijavyo.

Alipunguza rushwa na kuongeza nidhamu serikalini na alipunguza matumizi yasiyo ya lazima.

Alihakikisha mfumuko wa bei unathibitiwa. Vitu havipandi ovyo.

Amejenga masoko, shule, hospitali, barabara, SGR, Bwawa la umeme, madaraja, interchange,vituo vya usafiri hivi vyote kusaidia kuliinua taifa hili maskini.

Vyote hivyo alifanya bila kuongeza kodi, tozo.

Muhimu zaidi amejaribu kubadilisha mentality la hili taifa, kuwaambia Watanzania nyie sio maskini, mna rasilimali za kutosha, muhimu kuzitumia vizuri akaonyesha mfano kwa vitendo.

Ndio alikuwa mtetezi mkubwa wa haki za kibinadamu na uhuru kwa Watanzania wote. Wapate haki zao za msingi, haki za kuishi, haki ya elimu, afya, kazi, biashara, amani, nk.
Afanye mambo yote lakini kudhilumu haki za watu,Kuteka watu,kuua watu na wengine kuokotwa coco-Beach hiyo si sawa kabisa!!
 
Afanye mambo yote lakini kudhilumu haki za watu,Kuteka watu,kuua watu na wengine kuokotwa coco-Beach hiyo si sawa kabisa!!
Ungekuwa wewe ungedili vipi na magaidi Mkuranga, Kibiti Rufiji, Lindi, Mtwara, Ruvuma? baadaye kidogo wangefika Dar kama wangechekewa.

Hawa walikuwa wanaua watu wengi tu bila kujali haki zao za kuishi, uhuru wao kufanya kazi, biashara, mamno yao.

Unaona JWTZ, JPM, usalama, polisi walikosea, Tupe mkakati wako?
 
Hàya majibu ànayo Pascal Mayalla , ilisemekana ndo alimchoma kabendera kwa Magufuli. Hii ni inasemekana mimi sina uhakika.
Huyu jamaa alikuwa ànatumia feki I'd huko "gazetini" kuandika màmbo ya "kuçhafua nchi"! Mayalla akamweka wazi kwa home boy wake.
Angalieni msimchonganishe wakili Pascal Mayalla na familia ya Kabendera!
 
Kabendera alikuwa anatumika na watu wa nje kumhujumu Magufuli alitaka kupindua utawala wa Magu.
Mwandishi wa habari unaandika artcles 4 kwa mwezi kwenye akaunt yako unalipwa million 300. Unachomoa pesa unazitawanya kwa wakosoaji wa serikali mitandaoni. Hiyo investigative journalism kilikuwa kichaka cha money laundering alikuwa anatumika kwa kazi maalum kazi chafu.
Hebu fafanua zaidi mkuu!
 
Ungekuwa wewe ungedili vipi na magaidi Mkuranga, Kibiti Rufiji, Lindi, Mtwara, Ruvuma? baadaye kidogo wangefika Dar kama wangechekewa.

Hawa walikuwa wanaua watu wengi tu bila kujali haki zao za kuishi, uhuru wao kufanya kazi, biashara, mamno yao.

Unaona JWTZ, JPM, usalama, polisi walikosea, Tupe mkakati wako?
Hao waliokuwa wanatekwa na kupotezwa na wengine kuokotwa kwenye fukwe za coco Beach walikuwa Magaidi?
 
Kibendera kaandika kitabu Kwa ajili ya maslahi yake binafsi ya kufedha, pamoja na kujipa relief kutokana na uchungu alionao baada ya kuenyeshwa sana na serikali ya Magufuli uliompelekea kupoteza mzazi....!!

Na kafanya hivyo sababu Kuna wenzake wengi sana ambao bado wana uchungu kama yeye na wanahitaji relief ambapo wataipata kwa kumpa support ya kununua na kukisoma hicho kitabu.

Ila Kwa bahati mbaya kwao hakuna chochote kitakachabadili image na mitazamo waliyonayo watanzania kuhusu Magufuli.

Eti ameona aandike Kwa lugha ya kigeni kabisa hahahhaha..!!
Watanzania gani boss, hao ambaoa magufuli hakuwa ma imani nao hadi ikabidi anajisi uchaguzi wa 2020?
 
Back
Top Bottom