Kwanini Rais mstaafu Kikwete hakupewa nafasi ya kuongea katika uzinduzi wa Kavazi la Dkt. Salim?

Kwanini Rais mstaafu Kikwete hakupewa nafasi ya kuongea katika uzinduzi wa Kavazi la Dkt. Salim?

Kuwa mtoto wa mjini siyo lazima uzaliwe mjini.! Kuwa mtoto wa mjini Kunahitaji tu, akili ya kuufahmu mji,Kona zake ,shughuli zake, mipango yake na kuwa na uwezo wa kunufaika na hata kutawala na kudhibiti fursa zote za muhimu zilizopo mjini.
Kuwa mtoto wa mjini Kunahitaji uelewa wa kila kinachoendelea mjini na kuwa na uwezo wa kunufaika na kila fursa iliyopo mjini.
Ukiwa na uwezo wa kutawala au kudhibiti fursa zilizopo mjini hapo wewe ni zaidi ya mtoto wa mjini. Kwa maelezo haya utaelewa kuwa kuzaliwa mjini na kuwa mtoto wa mjini ni vitu viwili tafauti sana.
Unaweza kuzaliwa mjini, ukakulia mjini lakini ukawa huna habari ya chochote kinachoendelea mjini , hapo utaanzaje kujiita mtoto wa mjini??!!

siyo kweli, mtoto wa mjini ni aliyezaliwa na kukulia mjini wengine wote wanaojiita watoto wa mjini huku wamezaliwa na kukulia vijijini ni wannabees…
 
Jana nilipata wasaa wa kufuatilia mubashara uzinduzi wa Kavazi la Mwanadiplomasia maarufu Dr Salim Ahmed Salim. Watu wengi walipata nafasi ya kusema machache juu ya Dr Salim wakiwepo mawaziri wastaafu na hata wengine kutoka kada mbalimbali za utumishi.

Cha ajabu uzinduzi wa Kavazi ulimalizika bila kumpa Rais mstaafu Kikwete fursa ya kuzungumza mambo adhimu kuhusu Mwanadiplomasia maarufu Dr Salim Ahmed Salim.
Ikumbukwe Kikwete aliwahi kuwa waziri wa mbo ya nje miaka 10.

Kwa vyotevyote vile lazima kakutana na kufanya kazi na Dr Salim Ahmed Salim akiwa OAU.
Pia Kikwete alikuwa mtumishi ktk chama huku Dr Salim akiwa waziri Mkuu na baadae waziri wa nchi za nje katikati ya miaka ya 1980

Wakati Kikwete akiingia bungeni Mara ya Kwanza 1988, Dr Salim alikuwa waziri wa nchi za nje. Hivyo wanafahamiana pakubwa tu, kwani Jk yeye alianza na unaibu waziri wa Nishati na Madini 1988 baada ya kuteuliwa ubunge.

Kwanini jabali hili la siasa hakuzungumza chochote juu ya Mwanadiplomasia Dr Salim?

Jana nilipata wasaa wa kufuatilia mubashara uzinduzi wa Kavazi la Mwanadiplomasia maarufu Dr Salim Ahmed Salim. Watu wengi walipata nafasi ya kusema machache juu ya Dr Salim wakiwepo mawaziri wastaafu na hata wengine kutoka kada mbalimbali za utumishi.

Cha ajabu uzinduzi wa Kavazi ulimalizika bila kumpa Rais mstaafu Kikwete fursa ya kuzungumza mambo adhimu kuhusu Mwanadiplomasia maarufu Dr Salim Ahmed Salim.
Ikumbukwe Kikwete aliwahi kuwa waziri wa mbo ya nje miaka 10.

Kwa vyotevyote vile lazima kakutana na kufanya kazi na Dr Salim Ahmed Salim akiwa OAU.
Pia Kikwete alikuwa mtumishi ktk chama huku Dr Salim akiwa waziri Mkuu na baadae waziri wa nchi za nje katikati ya miaka ya 1980

Wakati Kikwete akiingia bungeni Mara ya Kwanza 1988, Dr Salim alikuwa waziri wa nchi za nje. Hivyo wanafahamiana pakubwa tu, kwani Jk yeye alianza na unaibu waziri wa Nishati na Madini 1988 baada ya kuteuliwa ubunge.

Kwanini jabali hili la siasa hakuzungumza chochote juu ya Mwanadiplomasia Dr Salim?

Ili aanze kuzunguka mbuyu wakati watu wanajua aliyesema Dr. Salim sio mtanzania na hizbu ni nani? Mwalimu Nyerere, Mwenyezi Mungu ampe pumziko la amani. Hakuwa ana bahatisha.
Kati ya "Lulu" njema za Tanzania, ambazo alizilinda kwa maarifa na nguvu zake zote ni Dr. Salimu. Wakati ule Dr. Salimu alipokuwa kijana, kama angeachwa akae kule na wale wana mapinduzi, sidhani kama angefika alipofika.
Huyu ni mzalendo wa kweli. Ni Mtanzania haswa. Na anastahili kupewa nafasi yake sababu ya matendo yake. Sio ujanja ujanja, rushwa na maadili mabovu ya uongozi ambayo wengine wengi wanafikiri wanapoyafanya, watanzania hawayaoni.
Ipo siku kila mtu atavuna anayopanda. Kwangu mimi, Salute Dr. Salim Ahmed salim kwa yote uliyoitendea ardhi yetu ya Tanzania.
Mwenye macho haambiwi ona...na mwenye masikio haambiwi sikia...muda utaendelea kutenga pumba na mchele.
 
Jana nilipata wasaa wa kufuatilia mubashara uzinduzi wa Kavazi la Mwanadiplomasia maarufu Dr Salim Ahmed Salim. Watu wengi walipata nafasi ya kusema machache juu ya Dr Salim wakiwepo mawaziri wastaafu na hata wengine kutoka kada mbalimbali za utumishi.

Cha ajabu uzinduzi wa Kavazi ulimalizika bila kumpa Rais mstaafu Kikwete fursa ya kuzungumza mambo adhimu kuhusu Mwanadiplomasia maarufu Dr Salim Ahmed Salim.
Ikumbukwe Kikwete aliwahi kuwa waziri wa mbo ya nje miaka 10.

Kwa vyotevyote vile lazima kakutana na kufanya kazi na Dr Salim Ahmed Salim akiwa OAU.
Pia Kikwete alikuwa mtumishi ktk chama huku Dr Salim akiwa waziri Mkuu na baadae waziri wa nchi za nje katikati ya miaka ya 1980

Wakati Kikwete akiingia bungeni Mara ya Kwanza 1988, Dr Salim alikuwa waziri wa nchi za nje. Hivyo wanafahamiana pakubwa tu, kwani Jk yeye alianza na unaibu waziri wa Nishati na Madini 1988 baada ya kuteuliwa ubunge.

Kwanini jabali hili la siasa hakuzungumza chochote juu ya Mwanadiplomasia Dr Salim?
Alishiriki kumfanyia fitina kuteuliwa kuwa rais wa Jamhuri ya muungano, 2004/2005! Walimpa majina yote mabaya,hizbu, nk,
Hii nchi Ina bahati mbaya Sana, watu Bora huwa hawapati nafasi ya kuwa viongozi wakubwa,
Samia hafai hata kuongoza wilaya, Leo ni Rais!
Biteko na PhD yake ya kuunga Leo, ni deputy PM, hv kwa akili nzuri kabisa, unamchagua vipi biteko, unamuacha vipi Antony Mtaka? Biteko kawekwa pale ili sukuma voting block, ivutiwe, nothing else,
Ma CCM yanachojari ni kukaa madarakani tu.
 
Dua ya kuku haimpati mwewe. Bila kujali katumia njia gani mafanikio aliyoyapata wewe na wajukuu zako hamtayafikia. Toka kajitafutie riziki yako ama mambo ya siasa yana wenyewe. Wanasiasa woteee ! Nasema wote waliopita na waliopo wa chama tawala na pia wapinzani kwa kuwa ni wanasiasa woteee!! Uwaonavyo sivyo walivyo!!,uwafikiriavyo sivyo walivyo, ila wao wapo kama walivyo. Ni watu wanaotangaza kwa nguvu zote kile wanachotaka watu wakiamini hata kama kitu chenyewe wao hawakiamini lakini kama kinawapa maslahi watajifanya wanakiamini. Kwaufupi WANASIASA WOTE NI WAIGIZAJI.
Ha ha ha! Unadhani anamafanikio gani kunishinda? Au unadhani wote tulio humu jamii forum ni waganga njaa. Tuliza akili jamii forum ni watu wa kila aina, kiuchumi, kisiasa, na kijamii. Hujui ukoo wangu wala hunijui.
 
Ili aanze kuzunguka mbuyu wakati watu wanajua aliyesema Dr. Salim sio mtanzania na hizbu ni nani? Mwalimu Nyerere, Mwenyezi Mungu ampe pumziko la amani. Hakuwa ana bahatisha.
Kati ya "Lulu" njema za Tanzania, ambazo alizilinda kwa maarifa na nguvu zake zote ni Dr. Salimu. Wakati ule Dr. Salimu alipokuwa kijana, kama angeachwa akae kule na wale wana mapinduzi, sidhani kama angefika alipofika.
Huyu ni mzalendo wa kweli. Ni Mtanzania haswa. Na anastahili kupewa nafasi yake sababu ya matendo yake. Sio ujanja ujanja, rushwa na maadili mabovu ya uongozi ambayo wengine wengi wanafikiri wanapoyafanya, watanzania hawayaoni.
Ipo siku kila mtu atavuna anayopanda. Kwangu mimi, Salute Dr. Salim Ahmed salim kwa yote uliyoitendea ardhi yetu ya Tanzania.
Mwenye macho haambiwi ona...na mwenye masikio haambiwi sikia...muda utaendelea kutenga pumba na mchele.
Umesababisha nimuonee huruma Dr Salim
 
..kama dr. Salim angelikua rais kuanzia mwaka ule mkwere amekua rais (2005)..leo ingekua kama singapore......walimfanyia fitma kubwa salim....kwa kumuita si mtanzania...mara mwarabu....waswahili bana....leo tuko hapa ndio wanajifanya kumuenzi Salim...walikua wapi miaka hiyo?..unafiki tu...
 
Protocol ya kawaida sana
Nadhani asingekuwa na la kusema zaidi ya kumuomba radhi Salim kwa maneno ya hovyo waliombaka kupitia wantandao wakiongozwa na kichwa cheupe, kwa ahadi ya kuachiwa kijiti baada ya mbio kumalizika.
Wakati fulani ni bora sana kunyamaza ili yaliyotokea yasikumbukwe.
 
Nadhani asingekuwa na la kusema zaidi ya kumuomba radhi Salim kwa maneno ya hovyo waliombaka kupitia wantandao wakiongozwa na kichwa cheupe, kwa ahadi ya kuachiwa kijiti baada ya mbio kumalizika.
Wakati fulani ni bora sana kunyamaza ili yaliyotokea yasikumbukwe.
Cha ajabu kichwa cheupe hakuachiwa huo Urais
 
Nilijua huwezi tia neno sababu maslahi kugongana

Ni wazi usio na shaka kundi la mtandao walimchafua Sana DR SALIM
Hata ndugu yetu Zitto aligusia jinsi Salim alivyochafuliwa lakini hakwenda mbali kuogopa kumgusa godfather wake!

Ingekuwa aliyemchafua ni labda JPM sasa, zingeandikwa makala za kila aina wakiwemo rafiki zake waandishi.
 
Vijana mnapenda miteremko ndio maana mnalia lia sijui dr.Salim alifanyiwa figisu niwakumbushe mamlaka hajawahi kuja kirahisi rahisi duniani kote.Nyie mnaona akina Putin wanaua wanaenda kinyume nao au kuwa challenge Bure.Figisu kwenye siasa kawaida sana.Acheni kulia lia
Watoto wadogo hawawezi kukuelewa master

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Waliomkataa Dr SAS ni Wazanzibar ndani ya NEC kwa tuhuma ni Hizbu

JK na mtandao wana shea yao. Siri ambazo TISS Wamekataa isiwekwe wazi ni hii, ili kumsitiri Jakaya na kundi lake

JokaKuu Pascal Mayalla

..alianza Mzee Mwinyi mwaka 1995.

..Maalim Seif na Salim Salim walimtonya Mzee Mwinyi kwamba akipendekezwa akatae na kubakia Raisi wa Zanzibar, ili njia iwe nyeupe kwa Salim Salim.

..Kufika kwenye kikao Mzee Mwinyi akawageuka wenzake, na kilichobaki sasa ni historia.
 
Kikwete na Salimu walijengeana bifu uchaguzi mkuu 2005 kambi ya Kikwete ikidai Salimu alikuwa Mwarabu akiwa na ndugu Majenerali huko Uarabuni ambao angeweza kuwatumia usalama wa Tanzania kupitia Zanzibar. Kampeni hiyo mbaya iliongozwa na RA na Mhariri mmoja wa gazeti moja la weekly hapa nchini aliyekuja kuteiliwa Msemaji wa Ikulu. Kama ILIKUWA hivyo kwa Salim, mbona JK hajarudia Hilo kwa SSH ambaye Ana wajomba na ndugu tele huko?

Kweli siasa Ni mchezo mchafu, unaotesa Wananchi na nchi!
 
Back
Top Bottom