Kwanini Rais mstaafu Kikwete hakupewa nafasi ya kuongea katika uzinduzi wa Kavazi la Dkt. Salim?

Kwanini Rais mstaafu Kikwete hakupewa nafasi ya kuongea katika uzinduzi wa Kavazi la Dkt. Salim?

..alianza Mzee Mwinyi mwaka 1995.

..Maalim Seif na Salim Salim walimtonya Mzee Mwinyi kwamba akipendekezwa akatae na kubakia Raisi wa Zanzibar, ili njia iwe nyeupe kwa Salim Salim.

..Kufika kwenye kikao Mzee Mwinyi akawageuka wenzake, na kilichobaki sasa ni histori
Mwingine anayeishi kwa uchungu wa kusalitiwa ni Dr G Bilal. Huyu alikuwa Waziri kiongozi kama Vuai
Wazanzibar wakamsaliti ndani ya NEC. Alipewa u VP kumpooza lakini alistaafu kwa uchungu na anaishi nao.

kuvurugika kwa Bunge la Katiba sehemu kubwa sana ni kutokana na usaliti wa Wazanzibar.
 
Mwingine anayeishi kwa uchungu wa kusalitiwa ni Dr G Bilal. Huyu alikuwa Waziri kiongozi kama Vuai
Wazanzibar wakamsaliti ndani ya NEC. Alipewa u VP kumpooza lakini alistaafu kwa uchungu na anaishi nao.

kuvurugika kwa Bunge la Katiba sehemu kubwa sana ni kutokana na usaliti wa Wazanzibar.
Kwani Urais wa Zanzibar na Makamu Rais JMT, Nani mkubwa? Uchungu wa nini Sasa?
 
Kwani Urais wa Zanzibar na Makamu Rais JMT, Nani mkubwa? Uchungu wa nini Sasa?
VP wa JMT ni Ceremonial , kufungua makongamano, kupokea ndege, kuwakilisha katika mazishi n.k. VP ana ripoti kwa Rais wa JMT. Yupo tu akisubiri 'ikiwa kutatokea ajali' kama ilivyotokea lakini hana nguvu za kiutendaji

Rais wa Zanzibar ana eneo na mamlaka. Kwa katiba ya 1977 Rais wa Zanzibar ana 'ripoti' kwa Rais wa JMT kwa baadhi ya mambo lakini ana mamlaka yenye nguvu kuliko VP.
Mfano, Karume alibadilisha na kusaini katiba ya Zanzibar 1984 toleo 2010 hata pale ilipokiuka katiba ya JMT

Nakuelewa !ni hivi, kiprotokali VP ni Mkubwa, kiutendaji Rais wa Zanzibar ana 'voting block na LIMITED instruments of power''. VP wa JMT hana vitu hivyo.

Kuna vurugu na figusu na kila aina ya ubovu wa Katiba ya 1977. Tunahitaji Katiba Mpya na muundo mpya wa Muungano kama unatakiwa kuwepo.
 
VP wa JMT ni Ceremonial , kufungua makongamano, kupokea ndege, kuwakilisha katika mazishi n.k. VP ana ripoti kwa Rais wa JMT. Yupo tu akisubiri 'ikiwa kutatokea ajali' kama ilivyotokea lakini hana nguvu za kiutendaji

Rais wa Zanzibar ana eneo na mamlaka. Kwa katiba ya 1977 Rais wa Zanzibar ana 'ripoti' kwa Rais wa JMT kwa baadhi ya mambo lakini ana mamlaka yenye nguvu kuliko VP.
Mfano, Karume alibadilisha na kusaini katiba ya Zanzibar 1984 toleo 2010 hata pale ilipokiuka katiba ya JMT

Nakuelewa !ni hivi, kiprotokali VP ni Mkubwa, kiutendaji Rais wa Zanzibar ana 'voting block na LIMITED instruments of power''. VP wa JMT hana vitu hivyo.

Kuna vurugu na figusu na kila aina ya ubovu wa Katiba ya 1977. Tunahitaji Katiba Mpya na muundo mpya wa Muungano kama unatakiwa kuwepo.
Ndiyo maana kumbe Bilal ana maumivu hadi leo? Ila wazanzibar wanajua kuumizana. Sipati picha ingekuwa nchi huru.
 
VP wa JMT ni Ceremonial , kufungua makongamano, kupokea ndege, kuwakilisha katika mazishi n.k. VP ana ripoti kwa Rais wa JMT. Yupo tu akisubiri 'ikiwa kutatokea ajali' kama ilivyotokea lakini hana nguvu za kiutendaji

Rais wa Zanzibar ana eneo na mamlaka. Kwa katiba ya 1977 Rais wa Zanzibar ana 'ripoti' kwa Rais wa JMT kwa baadhi ya mambo lakini ana mamlaka yenye nguvu kuliko VP.
Mfano, Karume alibadilisha na kusaini katiba ya Zanzibar 1984 toleo 2010 hata pale ilipokiuka katiba ya JMT

Nakuelewa !ni hivi, kiprotokali VP ni Mkubwa, kiutendaji Rais wa Zanzibar ana 'voting block na LIMITED instruments of power''. VP wa JMT hana vitu hivyo.

Kuna vurugu na figusu na kila aina ya ubovu wa Katiba ya 1977. Tunahitaji Katiba Mpya na muundo mpya wa Muungano kama unatakiwa kuwepo.
Ndiyo maana kumbe Bilal ana maumivu hadi leo? Ila wazanzibar wanajua kuumizana. Sipati picha ingekuwa nchi huru
 
Jana nilipata wasaa wa kufuatilia mubashara uzinduzi wa Kavazi la Mwanadiplomasia maarufu Dr Salim Ahmed Salim. Watu wengi walipata nafasi ya kusema machache juu ya Dr Salim wakiwepo mawaziri wastaafu na hata wengine kutoka kada mbalimbali za utumishi.

Cha ajabu uzinduzi wa Kavazi ulimalizika bila kumpa Rais mstaafu Kikwete fursa ya kuzungumza mambo adhimu kuhusu Mwanadiplomasia maarufu Dr Salim Ahmed Salim.
Ikumbukwe Kikwete aliwahi kuwa waziri wa mbo ya nje miaka 10.

Kwa vyotevyote vile lazima kakutana na kufanya kazi na Dr Salim Ahmed Salim akiwa OAU.
Pia Kikwete alikuwa mtumishi ktk chama huku Dr Salim akiwa waziri Mkuu na baadae waziri wa nchi za nje katikati ya miaka ya 1980

Wakati Kikwete akiingia bungeni Mara ya Kwanza 1988, Dr Salim alikuwa waziri wa nchi za nje. Hivyo wanafahamiana pakubwa tu, kwani Jk yeye alianza na unaibu waziri wa Nishati na Madini 1988 baada ya kuteuliwa ubunge.

Kwanini jabali hili la siasa hakuzungumza chochote juu ya Mwanadiplomasia Dr Salim?
Huyo mtu ni sifuri kabisa hana lolote la maana kwa sasa na ndie mshauri wa upumbavu wote unaondelea katika ktk uchumi wa Taifa hili. Ni afadhali hakupewa nafasi tena wangeweza wangemfukuza kabisa kwenye uzinduzi huo.
 
Jana nilipata wasaa wa kufuatilia mubashara uzinduzi wa Kavazi la Mwanadiplomasia maarufu Dr Salim Ahmed Salim. Watu wengi walipata nafasi ya kusema machache juu ya Dr Salim wakiwepo mawaziri wastaafu na hata wengine kutoka kada mbalimbali za utumishi.

Cha ajabu uzinduzi wa Kavazi ulimalizika bila kumpa Rais mstaafu Kikwete fursa ya kuzungumza mambo adhimu kuhusu Mwanadiplomasia maarufu Dr Salim Ahmed Salim.
Ikumbukwe Kikwete aliwahi kuwa waziri wa mbo ya nje miaka 10.

Kwa vyotevyote vile lazima kakutana na kufanya kazi na Dr Salim Ahmed Salim akiwa OAU.
Pia Kikwete alikuwa mtumishi ktk chama huku Dr Salim akiwa waziri Mkuu na baadae waziri wa nchi za nje katikati ya miaka ya 1980

Wakati Kikwete akiingia bungeni Mara ya Kwanza 1988, Dr Salim alikuwa waziri wa nchi za nje. Hivyo wanafahamiana pakubwa tu, kwani Jk yeye alianza na unaibu waziri wa Nishati na Madini 1988 baada ya kuteuliwa ubunge.

Kwanini jabali hili la siasa hakuzungumza chochote juu ya Mwanadiplomasia Dr Salim?
Kikwete ni mjinga sana yaani ww ulimchafua mwenzako kwamba sio mtanzania alafu unaenda na kwenye uzinduzi wa kavazi,akili za ugolo kabisa,kweli zoba ni zoba tu.
 
Ndiyo maana kumbe Bilal ana maumivu hadi leo? Ila wazanzibar wanajua kuumizana. Sipati picha ingekuwa nchi huru

Gharib ana maumivu na mwingine ni Vua Nahodha Shamsa ambaye sasa amepewa Ubunge na SSH kama zawadi.
 
Back
Top Bottom