Kwanini Rais Samia akienda nje ya nchi hapokelewi na viongozi wenzake wa juu?

Kwanini Rais Samia akienda nje ya nchi hapokelewi na viongozi wenzake wa juu?

Naona kuna utofauti kati ya Ziara ya kikazi AfDB na ziara ya mwaliko toka serikali ya Ghana. Pengine jinsi vyombo husika vinavyotoa habari huchanganya wasomaji na kushindwa kuelewa dhumuni la safari, shughuli gani itafanywa na nani ametoa mwaliko n.k


23 May 2021​

MOZAMBICAN PRESIDENT ARRIVES IN GHANA FOR STATE VISIT





The President of the Republic of Mozambique, Filipe Jacinto Nyusi, has arrived in Ghana on Sunday for a four-day state visit, ending Wednesday 25 May 2022.

President Nyusi was met on arrival at the Jubilee Lounge of the Kotoka International Airport (KIA) in Accra by Ghana’s Vice President Mahamudu Bawumia.

President Nyusi will officially commence his visit with a meeting with Ghana’s President Akufo-Addo, at the Jubilee House this Monday 23 May 2022.

The President will also pay a visit and lay a wreath at the Kwame Nkrumah Mausoleum.

Also on the agenda of the visit of the Head of State is participating alongside President Akufo-Addo inthe opening ceremony of the African Development Bank Group’s 2022 Annual Meetings, being held from 23-27 May in Accra. President Nyusi will also pay a courtesy visit to the AfCFTA (African Continental Free Trade Area) Secretariat, as well as to the Parliament of the Republic of Ghana.

On this State Visit, President Nyusi is accompanied by the Minister of Foreign Affairs and Cooperation, Verónica Macamo; the Minister of Economy and Finance, Max Tonela; the Minister of Agriculture and Rural Development, Celso Correia; by the Deputy Minister of State Administration and Public Service, Inocêncio Impissa; deputies of the Assembly of the Republic; members of staff of the Presidency of the Republic and other State institutions.

ALSO READ: AfDB’s 57th annual meetings to kick off in Accra on Monday

We ended the day by joining the Vice President to receive the President of the Republic of Mozambique, H.E. Filipe Jacinto Nyusi, who is on a three-day State visit to Ghana. pic.twitter.com/qCFylnIsjj
— Samuel A. Jinapor (@SamuelAJinapor) May 23, 2022


Source: Asaasse Radio / O País
 
Hiyo ziara sio ya kiserikali amekwenda kupokea tuzo ya taasisi moja binafsi huko Ghana.
 
Kwema jamani?

Hivi mbona Rais wetu akienda nje ya nchi anapokelewa na watu wa ajabu tu?

Mfano alivyoenda USA alipokelewa na mtu mwenye cheo sawa na mtendaji wa kata huku kwetu. Atleast alivyoenda Uganda juzi niliona wamempa mapokezi ya heshima.

Leo kaenda huko Ghana kapokelewa sijui na wakuu wa wilaya wale au sijui ni watu gani.

Mbona Rais wetu hapokelewi kiheshima jamani?

Wew umefanya uchaguzi wa kimagumashi halafu unataka dunia ikuone kuwa ni kiongozi wa nchi halali thubutuu in Tundu Antipas Lissu's voice. Heshima yako inajengwa kwa matendo yako na sio watu wengine.

Ghana ni ktk nchi ambazo ktk Afrika zinatiliwa mfano kuwa na demokrasia nzuri unataka Rais wake akampokee Samia amabaye ktk kampeni za uchaguzi mwaka 2020 kule Mbeya alisema hata mkichagua wapinzani CCM itaunda Serikali?

Dunia ni Kijiji kwa sasa chochote ufanyacho kinaonekana duniani sio Siri tena. Yeye akazane kuunganisha umoja wa nchi kwa Sasa hususani kuongea na wapinzani hususani Chadema na kuwaomba radhi kuwa walifanya uhuni na aseme nimekosa Mimi mimekosa sana, Chama changu CCM kimekosaa sana,hapo wananchi tutamuelewa.
 
Bila kumtukana mleta hoja,Picha zinaonyesha kabisa.Bora angepokelewa hata kimyakimya.Hayo mapokezi ya wenyeji hayajakaa kidplomasia kabisa.Huyo mmoja kama mpiga debe alochangamka.Hakustahili kabisa kuwa kwenye hiyo foleni.
Duh
 
Siyo tu hapokelewi hata vyombo vya habari vya huko haviandiki chochote kuhusu uwepo wake, kwa kifupi hawajui hata kama kuna raisi wa nchi x katembelea Nchi yao!
Duh...
 
Akae home atulie kupokea wageni kama Jiwe sio kizurura hovyo
 
Kwema jamani?

Hivi mbona Rais wetu akienda nje ya nchi anapokelewa na watu wa ajabu tu?

Mfano alivyoenda USA alipokelewa na mtu mwenye cheo sawa na mtendaji wa kata huku kwetu. Atleast alivyoenda Uganda juzi niliona wamempa mapokezi ya heshima.

Leo kaenda huko Ghana kapokelewa sijui na wakuu wa wilaya wale au sijui ni watu gani.

Mbona Rais wetu hapokelewi kiheshima jamani?

Kuna ziara tofauti, kuna state visit hizo ambazo wanapokelewa na wakuu wenzao na working visit.

Actually, kiuchumi, working visits ni muhimu kuliko state visits, kwa sababu kwenye working visit kunakuwa na focus kwenye kazi na biashara kuliko diplomasia.

Kwenye state visit muda mwingi unatumika kwenye diplomasia kuliko uchumi.

Kwa hivyo, unaweza kuona rais hapewi heshima sana (working visit), wakati hizo ndizo ziara nzuri kiuchumi.

Soma tofauti hapo chini

 
Kwanini ikulu hawakuwataja hao “viongozi mbali mbali” wa huko Ghana? Waziri wa mambo ya nje nk bado wanaweza kuwa viongozi mbali mbali.
Tangu lini Rais wa nchi akapokelewa na viongozi mbalimbali?
Nadhani hadhi ya Rais alipaswa kupokelewa na watu rasmi wanaojulikana kwa majina na vyeo vyao.
 
Wakuu, hivi kweli mkuu wa nchi anaweza akapolekewa na hawa watu kweli?

Kuna huyu amevaa kana kwamba ametoka kwenye ofisi ya mtendaji kuandikisha mkataba wa mauziano ya mifugo (na mkoti wake na safety ruber shoes.

Halafu na huyo mdada kama mratibu elimu kata Wallah.

Mama amepokelewa huko Accra, Ghana. Halafu kuna lijamaa halina hata kisogo.


Screenshot_20220523-202945_Instagram.jpg
 
Kwema jamani?

Hivi mbona Rais wetu akienda nje ya nchi anapokelewa na watu wa ajabu...
The deep thinkers wanaandaa mpango wao, so ni kumpangia trip na safari kibao ili asijue kinachoendelea nchini, na hana ubavu wa kukataa safari.

Refer kwa Papa John Paul, alipiga safari mpaka akaja Mwanza Pansiasi akasali, ila wajanja the deep walikuwa wanajua wanachokifanya mwisho wa siku Papa kaja kustuka kila kitu kilishabebwa na wajanja na kuweza ku control vatican mpaka leo
 
Back
Top Bottom