Kwanini Rais Samia akienda nje ya nchi hapokelewi na viongozi wenzake wa juu?

Kwanini Rais Samia akienda nje ya nchi hapokelewi na viongozi wenzake wa juu?

Kwema jamani?

Hivi mbona Rais wetu akienda nje ya nchi anapokelewa na watu wa ajabu tu?

Mfano alivyoenda USA alipokelewa na mtu mwenye cheo sawa na mtendaji wa kata huku kwetu. Atleast alivyoenda Uganda juzi niliona wamempa mapokezi ya heshima.

Leo kaenda huko Ghana kapokelewa sijui na wakuu wa wilaya wale au sijui ni watu gani.

Mbona Rais wetu hapokelewi kiheshima jamani?

Dah! Atulie tu nyumbani sasa.
 
Katika safar zote Samia alizofanya, ziara ya kiserikal aliyofanya n moja tuu.. Ya Kwenda Uganda. Ziara nyingine zote ni kuzuru tuu nchi mbalimbali sio za kiserikal ndio hapokelewi kiserikali.
 
Kwema jamani?

Hivi mbona Rais wetu akienda nje ya nchi anapokelewa na watu wa ajabu tu?

Mfano alivyoenda USA alipokelewa na mtu mwenye cheo sawa na mtendaji wa kata huku kwetu. Atleast alivyoenda Uganda juzi niliona wamempa mapokezi ya heshima.

Leo kaenda huko Ghana kapokelewa sijui na wakuu wa wilaya wale au sijui ni watu gani.

Mbona Rais wetu hapokelewi kiheshima jamani?

Siujali anapokelewa na nani, ila ninachofurahia ni pale dege la ATCL likiwa na bendera ya Tanzania na Twiga linapotua uwanjani kwao kuonyeahs kuwa Tanzania ipo. Nadhanim kwenda Marakani na ulaya alipanda Emirates na kunikosesha raha hiyo.
 
Katika safar zote Samia alizofanya, ziara ya kiserikal aliyofanya n moja tuu.. Ya Kwenda Uganda. Ziara nyingine zote ni kuzuru tuu nchi mbalimbali sio za kiserikal ndio hapokelewi kiserikali.
Kwa nini akazurure kama siyo ziara ya kiserikali. Yaani hata Kenya alikwenda kuzurura tu?
 
apunguze safari za nje. kitu adimu hutakwa na wengi. she has become too common, mfano alikwenda rwanda, lakini kagame alituma messenger tu. Kenya vile vile hata DRC.....someone should tell her to recheck her trips
Ndiyo mjue Africa ilimtambua JPM na kutamani aendelee vile alivyokua Kwa sababu JPM alikua anatuma sms duniani kwamba Africa Kuna miamba wenye maamuzi juu ya ardhi zao, waafrika wengi walimpenda kimya kimya huko walipo ktk nchi zao, hivyo basi wanachelea sana kuamini na kukubali kifo chake kua kilikua ni Cha MUNGU, hawasemi lakini Wana mashaka yamkini
 
Ndiyo mjue Africa ilimtambua JPM na kutamani aendelee vile alivyokua Kwa sababu JPM alikua anatuma sms duniani kwamba Africa Kuna miamba wenye maamuzi juu ya ardhi zao, waafrika wengi walimpenda kimya kimya huko walipo ktk nchi zao, hivyo basi wanachelea sana kuamini na kukubali kifo chake kua kilikua ni Cha MUNGU, hawasemi lakini Wana mashaka yamkini
JPM ameingiaje hapa...... Jifunze kuheshimu waliotangulia mbele za haki
 
Sasa nimeamini kuwa mama anachukiwa kwa sababu zifuatazo.

1. UZANZIBAR WAKE.
2. DINI YAKE.
3. JINSIA YAKE.

Binafsi Mama Samia amejitahidi sana, nilikuwa shabiki wa Magufuli, ila Rais Samia kaonesha mambo makubwa mno.
Labda watu wanahisi pia kuwa uongozi wake umelenga kufaidisha zaidi Zenj yake, diny yake, na jisy yake!! Ni mawazo tu maana hata mimi sielewi!!
 
We chizi nini?
wewe ni mwehu kabisa. uzi hauzungumzii jpm lakini umeusukumia huko. learn to read between lines and how to control your emotions. kama huwezi, acha kucomment. soma kisha sepa
 
The deep thinkers wanaandaa mpango wao, so ni kumpangia trip na safari kibao ili asijue kinachoendelea nchini, na hana ubavu wa kukataa safari.

Refer kwa Papa John Paul, alipiga safari mpaka akaja Mwanza Pansiasi akasali, ila wajanja the deep walikuwa wanajua wanachokifanya mwisho wa siku Papa kaja kustuka kila kitu kilishabebwa na wajanja na kuweza ku control vatican mpaka leo
Mwenye macho na asikie.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom