jaap
JF-Expert Member
- Dec 25, 2018
- 4,888
- 6,459
Wameshatu wini Viongozi wao hawaji kwetu Yani hatuwezi kulipiza labda tusubili Simba na Yanga wakisajiri mchezaji kutoka Ghana na Sisi tuwatume waokota makopo waka wapokee uwanja wa JK Nyerere, lakini tukitegemea Raisi wao kuna siku atakuja Bongo tutasubili miaka MillionInatudhalirisha nchi nzima aisee
Ngoja na wao waje! Tutawapa Zitto kuwapokea we waache tu!