Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Ndiyo nini?Ila we mtu lol
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo nini?Ila we mtu lol
Kwan ww unasema rais kuna mtu alie mpigia kura hapa tanzania [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kitu sio chaguo la wananchi hata nchi zingine zinawezaje kumtambuaSiyo tu hapokelewi hata vyombo vya habari vya huko haviandiki chochote kuhusu uwepo wake, kwa kifupi hawajui hata kama kuna raisi wa nchi x katembelea Nchi yao!
Hata kwenye sendoff party za binti zetu yapo hayo.Zuria jekundu linatosha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wamesema ni konda aliyechangamka 😎 😎 😎 😎
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndiyo nini?
Ni kwa manufaa ukieleza zaidi ili Rais wetu nae asiingie mtegoniThe deep thinkers wanaandaa mpango wao, so ni kumpangia trip na safari kibao ili asijue kinachoendelea nchini, na hana ubavu wa kukataa safari.
Refer kwa Papa John Paul, alipiga safari mpaka akaja Mwanza Pansiasi akasali, ila wajanja the deep walikuwa wanajua wanachokifanya mwisho wa siku Papa kaja kustuka kila kitu kilishabebwa na wajanja na kuweza ku control vatican mpaka leo
[emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji3] nimecheka kwa sauti kubwa mno.Usikute ghana wanajua ni mwigizaji kama wema sepetu
Kwenye level za viongozi mavazi ni protocol huvai vai tu kama mtu wa mtaani ndio maana ukichaguliwa kuwa dc tu unapewa fungu la kujiandaa kimavazi na muonekano wa kuingia kwenye hayo madaraka usiropoke et uchagusi wa mtuMavazi ni uchaguzi wa mtu
Mweleze ajue kabisa.We ni mpumbavu na mwenye dharau sana
Tulitaka peter akampokeeMlitaka apokelewe na watu wa aina gani..?
Shobo & Priorities.Sielewi nini kimekwenda tofauti katika diplomatic...
Zamani mapokezi ya wakuu wa nchi yalikiwa kama tulivyo mfanyia Obama.
Hata kwa mkuu wa nchi ndogo akifika basi alipewa mapokezi ya heshima ya juu mno... sijui what went wrong
Fungu kama Fungu. Unasusiwa Mwanawane.Kwenye level za viongozi mavazi ni protocol huvai vai tu kama mtu wa mtaani ndio maana ukichaguliwa kuwa dc tu unapewa fungu la kujiandaa kimavazi na muonekano wa kuingia kwenye hayo madaraka usiropoke et uchagusi wa mtu
Ni Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje.Ebanae!
Kama huyo jamaa alievaa kachumbali sijui ana cheo gani hapo
Red carpet zipo mpaka kwenye sendoff au reception parties za maharusiHiyo nchi ina watu wakarimu sana yani wamemtandikia na red carpet??
Uwezo wako wa kufikiri na kung'amua mambo ni mdogo sana kama umefikia kuamini hayo uliyoandika kupitia hii thread.Sasa nimeamini kuwa mama anachukiwa kwa sababu zifuatazo.
1. UZANZIBAR WAKE.
2. DINI YAKE.
3. JINSIA YAKE.
Binafsi Mama Samia amejitahidi sana, nilikuwa shabiki wa Magufuli, ila Rais Samia kaonesha mambo makubwa mno.
Na huko huko ndipo watu wenye suti za bei mbaya wanakuwepoRed carpet zipo mpaka kwenye sendoff au reception parties za maharusi
Hahahahahahaha[emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji3] nimecheka kwa sauti kubwa mno.
Ila nyie watu mmevurugwaa khaaaah.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatareeeehHahahahahahaha
Unalazimisha protocol ya nchi yako ndio iwe kwenye nchi nyingine?Kwenye level za viongozi mavazi ni protocol huvai vai tu kama mtu wa mtaani ndio maana ukichaguliwa kuwa dc tu unapewa fungu la kujiandaa kimavazi na muonekano wa kuingia kwenye hayo madaraka usiropoke et uchagusi wa mtu
Duh...Uwezo wako wa kufikiri na kung'amua mambo ni mdogo sana kama umefikia kuamini hayo uliyoandika kupitia hii thread.