Kwanini Rais Samia akienda nje ya nchi hapokelewi na viongozi wenzake wa juu?

Kwanini Rais Samia akienda nje ya nchi hapokelewi na viongozi wenzake wa juu?

Tangu lini Rais wa nchi akapokelewa na viongozi mbalimbali?
Nadhani hadhi ya Rais alipaswa kupokelewa na watu rasmi wanaojulikana kwa majina na vyeo vyao.
Inategemea na aina ya ziara aliyofanya.
 
Yaani anatia haibu, rais mzima unapokelewa na viranja kweli, where's her worthy? Mama tafadhali baki nyumbani nasi, hauna haja ya kutalii duniani....unajidhalilisha mno na kukosa maana.
Anapokelewa na wauza chips na wauza uji
 
Asiseme ukweli???
Kwan hiyo picha si imejieleza, angalia hata wearing style ya waliompokea, huoni kama wametoka kwenye vikoba??
True. Hiyo vaaji ya hao viongozi mbalimbali inatoa picha sahihi ya mleta hoja.

Ukizoom picha na kuona viatu alivyo Vaa huyo mdada anayesalimiana naye na huyo brothormen mwenye suit ya kachumbari utayaona jinsi gani hawakuuchukulia ugeni serious. Kama wangekuwa wamevaa yale manguo yao ningeelewa.
 
Naona kuna utofauti kati ya Ziara ya kikazi AfDB na ziara ya mwaliko toka serikali ya Ghana. Pengine jinsi vyombo husika vinavyotoa habari huchanganya wasomaji na kushindwa kuelewa dhumuni la safari, shughuli gani itafanywa na nani ametoa mwaliko n.k


23 May 2021​

MOZAMBICAN PRESIDENT ARRIVES IN GHANA FOR STATE VISIT





The President of the Republic of Mozambique, Filipe Jacinto Nyusi, has arrived in Ghana on Sunday for a four-day state visit, ending Wednesday 25 May 2022.

President Nyusi was met on arrival at the Jubilee Lounge of the Kotoka International Airport (KIA) in Accra by Ghana’s Vice President Mahamudu Bawumia.

President Nyusi will officially commence his visit with a meeting with Ghana’s President Akufo-Addo, at the Jubilee House this Monday 23 May 2022.

The President will also pay a visit and lay a wreath at the Kwame Nkrumah Mausoleum.

Also on the agenda of the visit of the Head of State is participating alongside President Akufo-Addo inthe opening ceremony of the African Development Bank Group’s 2022 Annual Meetings, being held from 23-27 May in Accra. President Nyusi will also pay a courtesy visit to the AfCFTA (African Continental Free Trade Area) Secretariat, as well as to the Parliament of the Republic of Ghana.

On this State Visit, President Nyusi is accompanied by the Minister of Foreign Affairs and Cooperation, Verónica Macamo; the Minister of Economy and Finance, Max Tonela; the Minister of Agriculture and Rural Development, Celso Correia; by the Deputy Minister of State Administration and Public Service, Inocêncio Impissa; deputies of the Assembly of the Republic; members of staff of the Presidency of the Republic and other State institutions.

ALSO READ: AfDB’s 57th annual meetings to kick off in Accra on Monday




Source:
Asaasse Radio / O País
Akhsante sana ndugu bagamoyo kwa kutuwekea "sosi" za uhakika kama kawaida yako.
Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu inapwaya.
Ikulu inapwaya.
 
Kwema jamani?

Hivi mbona Rais wetu akienda nje ya nchi anapokelewa na watu wa ajabu tu?

Mfano alivyoenda USA alipokelewa na mtu mwenye cheo sawa na mtendaji wa kata huku kwetu. Atleast alivyoenda Uganda juzi niliona wamempa mapokezi ya heshima.

Leo kaenda huko Ghana kapokelewa sijui na wakuu wa wilaya wale au sijui ni watu gani.

Mbona Rais wetu hapokelewi kiheshima jamani?

acheni mambo ya jabu ajabu nyie watu wapo busy na kujenga nchi zao. nyie mnafikiria kila rais yupo free wakati wote? mwacheni rais aifungue nchi. nyie sukuma gang mnajisikia wivu rais anatembea
 
Kwa sababu kwenye Royal Tour Peter Greenbarg aliutangazia ulimwengu kwamba Rais Magufuli alikufa kwa Covid19.

Sasa ukiongezea na Samia kuvaa Masks muda wote.
Wale waliopaswa kumpokea huwa wanaogopa na kuwasakizia watu wa chini zaidi.

Pia mkumbuke kwamba sio viongozi wote Afrika na Duniani.
walifurahia kilichotokea Tanzania.Bali wanatupimia kwa sababu tuna vitu wanavyovihitaji kidiplomasia na kiuchumi pia.
Dadavua kidogo ,kipi kilichotokea kibaya?,
 
Kwema jamani?

Hivi mbona Rais wetu akienda nje ya nchi anapokelewa na watu wa ajabu tu?

Mfano alivyoenda USA alipokelewa na mtu mwenye cheo sawa na mtendaji wa kata huku kwetu. Atleast alivyoenda Uganda juzi niliona wamempa mapokezi ya heshima.

Leo kaenda huko Ghana kapokelewa sijui na wakuu wa wilaya wale au sijui ni watu gani.

Mbona Rais wetu hapokelewi kiheshima jamani?

Itifaki zinatofautia ndugu
 
Back
Top Bottom