Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Inategemea na aina ya ziara aliyofanya.Tangu lini Rais wa nchi akapokelewa na viongozi mbalimbali?
Nadhani hadhi ya Rais alipaswa kupokelewa na watu rasmi wanaojulikana kwa majina na vyeo vyao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inategemea na aina ya ziara aliyofanya.Tangu lini Rais wa nchi akapokelewa na viongozi mbalimbali?
Nadhani hadhi ya Rais alipaswa kupokelewa na watu rasmi wanaojulikana kwa majina na vyeo vyao.
Anapokelewa na wauza chips na wauza ujiYaani anatia haibu, rais mzima unapokelewa na viranja kweli, where's her worthy? Mama tafadhali baki nyumbani nasi, hauna haja ya kutalii duniani....unajidhalilisha mno na kukosa maana.
Teh😃Asiseme ukweli???
Kwan hiyo picha si imejieleza, angalia hata wearing style ya waliompokea, huoni kama wametoka kwenye vikoba??
True. Hiyo vaaji ya hao viongozi mbalimbali inatoa picha sahihi ya mleta hoja.Asiseme ukweli???
Kwan hiyo picha si imejieleza, angalia hata wearing style ya waliompokea, huoni kama wametoka kwenye vikoba??
Wachangiaji wengi humu wana gubu tu, hivyo wao kila kitu ni kukosoaMbona wapokeaji wamependeza tu
👆Hebu THE FIXED COST FALLACY uje huku utuambie kama hiyo Ilikuwa STATE VISIT au Invitation by the African Development Bank kwenda kupokea tunzo huko accra? Kama ingekuwa State Visit bila shaka Nana Akufo Addo Rais wa Ghana angempokea Hangaya !!!
Rais mchovu wa katibaWe ni mpumbavu na mwenye dharau sana
Mama anachukiwa wapi? Ghana?Sasa nimeamini kuwa mama anachukiwa kwa sababu zifuatazo.
1. UZANZIBAR WAKE.
2. DINI YAKE.
3. JINSIA YAKE.
Binafsi Mama Samia amejitahidi sana, nilikuwa shabiki wa Magufuli, ila Rais Samia kaonesha mambo makubwa mno.
Akhsante sana ndugu bagamoyo kwa kutuwekea "sosi" za uhakika kama kawaida yako.Naona kuna utofauti kati ya Ziara ya kikazi AfDB na ziara ya mwaliko toka serikali ya Ghana. Pengine jinsi vyombo husika vinavyotoa habari huchanganya wasomaji na kushindwa kuelewa dhumuni la safari, shughuli gani itafanywa na nani ametoa mwaliko n.k
23 May 2021
MOZAMBICAN PRESIDENT ARRIVES IN GHANA FOR STATE VISIT
The President of the Republic of Mozambique, Filipe Jacinto Nyusi, has arrived in Ghana on Sunday for a four-day state visit, ending Wednesday 25 May 2022.
President Nyusi was met on arrival at the Jubilee Lounge of the Kotoka International Airport (KIA) in Accra by Ghana’s Vice President Mahamudu Bawumia.
President Nyusi will officially commence his visit with a meeting with Ghana’s President Akufo-Addo, at the Jubilee House this Monday 23 May 2022.
The President will also pay a visit and lay a wreath at the Kwame Nkrumah Mausoleum.
Also on the agenda of the visit of the Head of State is participating alongside President Akufo-Addo inthe opening ceremony of the African Development Bank Group’s 2022 Annual Meetings, being held from 23-27 May in Accra. President Nyusi will also pay a courtesy visit to the AfCFTA (African Continental Free Trade Area) Secretariat, as well as to the Parliament of the Republic of Ghana.
On this State Visit, President Nyusi is accompanied by the Minister of Foreign Affairs and Cooperation, Verónica Macamo; the Minister of Economy and Finance, Max Tonela; the Minister of Agriculture and Rural Development, Celso Correia; by the Deputy Minister of State Administration and Public Service, Inocêncio Impissa; deputies of the Assembly of the Republic; members of staff of the Presidency of the Republic and other State institutions.
ALSO READ: AfDB’s 57th annual meetings to kick off in Accra on Monday
Source: Asaasse Radio / O País
acheni mambo ya jabu ajabu nyie watu wapo busy na kujenga nchi zao. nyie mnafikiria kila rais yupo free wakati wote? mwacheni rais aifungue nchi. nyie sukuma gang mnajisikia wivu rais anatembeaKwema jamani?
Hivi mbona Rais wetu akienda nje ya nchi anapokelewa na watu wa ajabu tu?
Mfano alivyoenda USA alipokelewa na mtu mwenye cheo sawa na mtendaji wa kata huku kwetu. Atleast alivyoenda Uganda juzi niliona wamempa mapokezi ya heshima.
Leo kaenda huko Ghana kapokelewa sijui na wakuu wa wilaya wale au sijui ni watu gani.
Mbona Rais wetu hapokelewi kiheshima jamani?
Dadavua kidogo ,kipi kilichotokea kibaya?,Kwa sababu kwenye Royal Tour Peter Greenbarg aliutangazia ulimwengu kwamba Rais Magufuli alikufa kwa Covid19.
Sasa ukiongezea na Samia kuvaa Masks muda wote.
Wale waliopaswa kumpokea huwa wanaogopa na kuwasakizia watu wa chini zaidi.
Pia mkumbuke kwamba sio viongozi wote Afrika na Duniani.
walifurahia kilichotokea Tanzania.Bali wanatupimia kwa sababu tuna vitu wanavyovihitaji kidiplomasia na kiuchumi pia.
Wewe kama ni mtanzania unapaswa kujua nini kilitokea kwa JPM.Dadavua kidogo ,kipi kilichotokea kibaya?,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2236339
Mwenyekiti wa kijiji akipokea kiongozi wa Tanzania na msafara wake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3]Kule wapo busy na mambo ya msingi na siyo Royal tour
Karibu sn[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3]
Ila we mtu lolKaribu sn
Itifaki zinatofautia nduguKwema jamani?
Hivi mbona Rais wetu akienda nje ya nchi anapokelewa na watu wa ajabu tu?
Mfano alivyoenda USA alipokelewa na mtu mwenye cheo sawa na mtendaji wa kata huku kwetu. Atleast alivyoenda Uganda juzi niliona wamempa mapokezi ya heshima.
Leo kaenda huko Ghana kapokelewa sijui na wakuu wa wilaya wale au sijui ni watu gani.
Mbona Rais wetu hapokelewi kiheshima jamani?
Nimejitahidi kweli nisijibu comment kwenye uzi huu lakini hii imenishinda. Ha ha ha haaaaaaa!Kumbe wote ni kama Morrison!!?
Ahahahahaha! Sasa tusemeje! Ahahahahaha![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Eti watendaji wa kata.
Khaaaah.
Kwani lazima Rais Mwenyeji aje akupokee yeye personal?