cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ile inayowekwa na utumbo? Mia mia buza kule. LolNiliwaambia Kikwete kamlisha miguu ya kuku!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ile inayowekwa na utumbo? Mia mia buza kule. LolNiliwaambia Kikwete kamlisha miguu ya kuku!
Yaani anatia haibu, rais mzima unapokelewa na viranja kweli, where's her worthy? Mama tafadhali baki nyumbani nasi, hauna haja ya kutalii duniani....unajidhalilisha mno na kukosa maana.Niliwaambia Kikwete kamlisha miguu ya kuku!
Hii kweli dharau.Kwema jamani?
Hivi mbona Rais wetu akienda nje ya nchi anapokelewa na watu wa ajabu tu?
Mfano alivyoenda USA alipokelewa na mtu mwenye cheo sawa na mtendaji wa kata huku kwetu. Atleast alivyoenda Uganda juzi niliona wamempa mapokezi ya heshima.
Leo kaenda huko Ghana kapokelewa sijui na wakuu wa wilaya wale au sijui ni watu gani.
Mbona Rais wetu hapokelewi kiheshima jamani?
Hivyo, hiyo carpet nyekundu itakuwa imeazimwa nyumba jirani na airport au!!!Kwema jamani?
Hivi mbona Rais wetu akienda nje ya nchi anapokelewa na watu wa ajabu tu?
Mfano alivyoenda USA alipokelewa na mtu mwenye cheo sawa na mtendaji wa kata huku kwetu. Atleast alivyoenda Uganda juzi niliona wamempa mapokezi ya heshima.
Leo kaenda huko Ghana kapokelewa sijui na wakuu wa wilaya wale au sijui ni watu gani.
Mbona Rais wetu hapokelewi kiheshima jamani?
Mara nyingi Mapokezi rasmi hufanyika ikulu ya nchi husika, hiyo imekuwa practice kwa nchi nyingi, gwaride, tete a tete, mkutano wa delegation zote mbili, mkutano na wanahabari, Dhifa ya kitaifa. Then siku inayofuata kama kuna ratiba nyingine mgeni anaendelea. then Airport. Ila huko naskia kuna ratiba pia na AFDBKwema jamani?
Hivi mbona Rais wetu akienda nje ya nchi anapokelewa na watu wa ajabu tu?
Mfano alivyoenda USA alipokelewa na mtu mwenye cheo sawa na mtendaji wa kata huku kwetu. Atleast alivyoenda Uganda juzi niliona wamempa mapokezi ya heshima.
Leo kaenda huko Ghana kapokelewa sijui na wakuu wa wilaya wale au sijui ni watu gani.
Mbona Rais wetu hapokelewi kiheshima jamani?
Hawana habari kwanza na mabarakoa ya saAsiseme ukweli???
Kwan hiyo picha si imejieleza, angalia hata wearing style ya waliompokea, huoni kama wametoka kwenye vikoba??
Msidhani huko nje wanatupenda zaidi ya kujipenda sisi wenyewe...JPM hakuvuka mipaka kwa sababu alijua maisha ni kujipambania mwenyewe na si kujibembeleza kwa watuWe ni mpumbavu na mwenye dharau sana
Msidhani huko nje wanatupenda zaidi ya kujipenda sisi wenyewe...JPM hakuvuka mipaka kwa sababu alijua maisha ni kujipambania mwenyewe na si kujibembeleza kwa watu
Mkuu wa nchi kwenda nje na viongizi wakubwa hawastuki unapokelewa na wananchi wenzio wanaoishi huko,hiyo ni sms kubwa sana ambayo kila mTanzania anapaswa kujua
Hahahaaa kavaa safety boot kali sanaView attachment 2236366
Nawakumbusha tu jamaa mwenye koti la suti ni mwenyekiti wa kijiji nchini Ghana
Ni mkuu wa mtaa wa uwanja wa ndege.hicho kiatu cha huyo mjomba hapo ndo kimeshusha sana credit aisee [emoji848][emoji848]