Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Woi...😃Sasa tuzo si angeenda kuchukua hata makame mbalawa 😁
Mama amefanya vyema kwenda sababu aliandaliwa mapokezi ya heshma zote kama mlivyoona...😜😜
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Woi...😃Sasa tuzo si angeenda kuchukua hata makame mbalawa 😁
Anajidhalilisha mwenyewe tu, did she have to go to Ghana? Hii tabia ya kumuiga Kikwete kwa kila ujinga ndiyo inamlostisha huyu MamaKwema jamani?
Hivi mbona Rais wetu akienda nje ya nchi anapokelewa na watu wa ajabu tu?
Mfano alivyoenda USA alipokelewa na mtu mwenye cheo sawa na mtendaji wa kata huku kwetu. Atleast alivyoenda Uganda juzi niliona wamempa mapokezi ya heshima.
Leo kaenda huko Ghana kapokelewa sijui na wakuu wa wilaya wale au sijui ni watu gani.
Mbona Rais wetu hapokelewi kiheshima jamani?
Hata kwenye familia yako / jamii, ukijionesha kuwa wewe ni mwenye njaa sana kubali msibani au ugenini kupewa kitanda na kulala na kitoto kikikojozi kitanda kimoja. Jitahidi kuuficha umaskini wako siyo wakikuona kwa jirani wajue umeenda kuomba chumvi.Kwema jamani?
Hivi mbona Rais wetu akienda nje ya nchi anapokelewa na watu wa ajabu tu?
Mfano alivyoenda USA alipokelewa na mtu mwenye cheo sawa na mtendaji wa kata huku kwetu. Atleast alivyoenda Uganda juzi niliona wamempa mapokezi ya heshima.
Leo kaenda huko Ghana kapokelewa sijui na wakuu wa wilaya wale au sijui ni watu gani.
Mbona Rais wetu hapokelewi kiheshima jamani?
We ni mpumbavu na mwenye dharau sana
Mwingine kaweka latambugaKuna jamaa hapo kiatu cha kuku kavaa raizoni.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahAsiseme ukweli???
Kwan hiyo picha si imejieleza, angalia hata wearing style ya waliompokea, huoni kama wametoka kwenye vikoba??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Eti watendaji wa kata.Kama yeye ameamua kujishusha wao wenyeji wake wafanyeje. Chengine, yeye hatulii nyumbani kwake kupajenga. Kutwa kucha kiguu na njia. Anawakuta wenzake wako bize ndio maana wanamtumia Watendaji Kata kumpokea.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Labda Katibu Tarafa ulipo Uwanja wa Ndege.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangi mieWakuu, hivi kweli mkuu wa nchi anaweza akapolekewa na hawa watu kweli?
Kuna huyu amevaa kana kwamba ametoka kwenye ofisi ya mtendaji kuandikisha mkataba wa mauziano ya mifugo (na mkoti wake na safety ruber shoes.
Halafu na huyo mdada kama mratibu elimu kata Wallah.
Mama amepokelewa huko Accra, Ghana. Halafu kuna lijamaa halina hata kisogo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hadi katibu tarafa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pep hii watendaji wa kata imekaaje mkuu?
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jamaa kapiga bonge moja la buti,halafu anatabasamu huku akimzingatia MAMA.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa kama anaenda bila taarifa apokelewe na viongozi wa juu ili iweje
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji1787][emoji1787] kwa hizi comments za wadau kweli akutukanaye hakuchagulii tusi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni ndugu wa Morisone hao yule mchezaji anaetusumbua kwa wehu wake huku Tanzania.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila nyie watu khaaahKumbe wote ni kama Morrison!!?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]Ohooooo....
Mkuu wewe ndio umenipa jibu mujarab kabisa.
Kwahiyo kumbe hao walio mpokea Hangaya ndio watoa tuzo...??
Dahhhh....
Ila huyo binti aliyevaa viatu hadi mguu ukapitiliza ndio nimempenda bure...[emoji1787][emoji12]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila huu uzi.ametoka kwenye ofisi ya mtendaji kuandikisha mkataba wa mauziano ya mifugo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mxiueeee ila watu[emoji114][emoji114]
Anajidhalilisha mwenyewe tu, did she have to go to Ghana? Hii tabia ya kumuiga Kikwete kwa kila ujinga ndiyo inamlostisha huyu Mama