antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Rais mwenzie, wa Ghana, Nana Akufo-AddoMlitaka apokelewe na watu wa aina gani..?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rais mwenzie, wa Ghana, Nana Akufo-AddoMlitaka apokelewe na watu wa aina gani..?
Kamati ya mchongo, sijui kwnn hawajavaa barakoa.Wapo vizuri sana mkuu, na bilashaka mwenye kiti atakua huyo binti mwenye miguu ilioshinda viatu kwa mbele...😜
Duh...Sasa kama anaenda bila taarifa apokelewe na viongozi wa juu ili iweje
Basi Sawa..Hiyo nchi ina watu wakarimu sana yani wamemtandikia na red carpet??
Kwani kuna tatizo gani na mtu nwenye kiduku?Basi Sawa..
Na siku rais wa Ghana akija Tz, naye atandikiwe red carpet afu apokelewe na dogo mmoja mwenye kiduku kama yule msemaji sijui mwenezi
😂😂 We jamaa banaIngependeza kama angepokelewa na bodaboda, ndio tungeona mama amepokelewa kwa heshma...🤣
Kabisa.. maana inaelekea hata suruali alisahau kupiga pasi🙄huyu jamaa utadhani walimkurupua vile na hawakumpa taarifa ya anayeenda kumpokea ni nan..
Naam, akija Tz Nana Akufo-Addo wakampokee hao hao!Mbona hao mastar wakiume wanaosuka pamoja na kuvaa heleni wanashinda daily ikulu na kuifanya kama geto tu
Rais na viongozi wa juu wako bize na masuala ya utawala wa nchi yao. Huyu safari zake zisizo na kikomo apokelewe hata na m/kiti wa mtaa.Wakuu, hivi kweli mkuu wa nchi anaweza akapolekewa na hawa watu kweli?
Kuna huyu amevaa kana kwamba ametoka kwenye ofisi ya mtendaji kuandikisha mkataba wa mauziano ya mifugo (na mkoti wake na safety ruber shoes.
Halafu na huyo mdada kama mratibu elimu kata Wallah.
Mama amepokelewa huko Accra, Ghana. Halafu kuna lijamaa halina hata kisogo.
Ohooooo....Hebu THE FIXED COST FALLACY uje huku utuambie kama hiyo Ilikuwa STATE VISIT au Invitation by the African Development Bank kwenda kupokea tunzo huko accra? Kama ingekuwa State Visit bila shaka Nana Akufo Addo Rais wa Ghana angempokea Hangaya !!!
Sasa tuzo si angeenda kuchukua hata makame mbalawa 😁Ohooooo....
Mkuu wewe ndio umenipa jibu mujarab kabisa.
Kwahiyo kumbe hao walio mpokea Hangaya ndio watoa tuzo...??
Dahhhh....
Ila huyo binti aliyevaa viatu hadi mguu ukapitiliza ndio nimempenda bure...🤣😜
Mavazi mara mwengine lijamaa halina kisogo? Kabisa ni hoja hii? Aisei ! Hebu basi tumuache Rais afanye kazi. Maana hoja nyingine urojo sana!🙏🙏Wakuu, hivi kweli mkuu wa nchi anaweza akapolekewa na hawa watu kweli?
Kuna huyu amevaa kana kwamba ametoka kwenye ofisi ya mtendaji kuandikisha mkataba wa mauziano ya mifugo (na mkoti wake na safety ruber shoes.
Halafu na huyo mdada kama mratibu elimu kata Wallah.
Mama amepokelewa huko Accra, Ghana. Halafu kuna lijamaa halina hata kisogo.
Upo sawa mkuu...Mavazi mara mwengine lijamaa halina kisogo? Kabisa ni hoja hii? Aisei ! Hebu basi tumuache Rais afanye kazi. Maana hoja nyingine urojo sana!🙏🙏