Kwanini Rais Samia akienda nje ya nchi hapokelewi na viongozi wenzake wa juu?

Kwanini Rais Samia akienda nje ya nchi hapokelewi na viongozi wenzake wa juu?

Sielewi nini kimekwenda tofauti katika diplomatic...
Zamani mapokezi ya wakuu wa nchi yalikiwa kama tulivyo mfanyia Obama.
Hata kwa mkuu wa nchi ndogo akifika basi alipewa mapokezi ya heshima ya juu mno... sijui what went wrong
Mbona Uhuru Kenyatta alipokelewa na Biden? watu serious hupokelewa na watu serious
 
Hivi hizi Tour zingine lengo ni nini???? Ghana na sisi mbona ni wale wale tuu au ndo anaendaa kusalimiaa tu na kurudiii[emoji1787][emoji1787][emoji1787] misaada tushaomba sanaa nchi kubwa asilimia kubwa ashaendaa.. Kashafanya ziaraa nje ya nchi nyingi mara 10 kuzidi alizofanya Bongoo na Mapapa makubwa akisafirii kama hivii yanafurahiii sanaa
 
Kwema jamani?

Hivi mbona Rais wetu akienda nje ya nchi anapokelewa na watu wa ajabu tu?

Mfano alivyoenda USA alipokelewa na mtu mwenye cheo sawa na mtendaji wa kata huku kwetu. Atleast alivyoenda Uganda juzi niliona wamempa mapokezi ya heshima.

Leo kaenda huko Ghana kapokelewa sijui na wakuu wa wilaya wale au sijui ni watu gani.

Mbona Rais wetu hapokelewi kiheshima jamani?

Hivi kwani hujuwi kuwa Ghana ni nchi ya kidemocrasia full na Tz bado niwajamaa na serikali ipo kijamaa ? Hivi hujuwi kuwa Ghana ni best wa Mmarekani na eur country na wewe ni rafiki ww mchina na Russia? Ugana nk?
 
Umesema hujui ni watu gani sasa unaongea usichokijua shwain wewe
 
Kwema jamani?

Hivi mbona Rais wetu akienda nje ya nchi anapokelewa na watu wa ajabu tu?

Mfano alivyoenda USA alipokelewa na mtu mwenye cheo sawa na mtendaji wa kata huku kwetu. Atleast alivyoenda Uganda juzi niliona wamempa mapokezi ya heshima.

Leo kaenda huko Ghana kapokelewa sijui na wakuu wa wilaya wale au sijui ni watu gani.

Mbona Rais wetu hapokelewi kiheshima jamani?

Rais wetu hakwenda ghana kwa mwaliko wa rais wa ghana yuko huko kwa mwaliko wa africa bank, na marekani pia alikwenda kwa shughuli ya kuzinduwa royal tour hakuwa mgeni wa serikali ya marekani na huko uganda alikwenda kwa mwaliko wa rais wa uganda hivyo ndivyo protocal ilivyo sikulaumuni mnaosema ovyo kwa sababu ya kutokujuwa kwenu.
 
Mama ikiwa vingine umeshindwa badili basi hata style ya uvaaji kidogo, kuna nguo nyingi za stara unaweza kuvaa na ukapendeza. Nunua vitenge huko Ghana designer aje akufanyie mambo.

Na sasa hivi ukirudi hata wakikupangia safari usiende waambie umechoka na unadhalilika. Ikibidi chukua likizo kabisa kapumzike makunduchi hata wiki mbili.
 
Sasa nimeamini kuwa mama anachukiwa kwa sababu zifuatazo.

1. UZANZIBAR WAKE.
2. DINI YAKE.
3. JINSIA YAKE.

Binafsi Mama Samia amejitahidi sana, nilikuwa shabiki wa Magufuli, ila Rais Samia kaonesha mambo makubwa mno.
 
Kwema jamani?

Hivi mbona Rais wetu akienda nje ya nchi anapokelewa na watu wa ajabu tu?

Mfano alivyoenda USA alipokelewa na mtu mwenye cheo sawa na mtendaji wa kata huku kwetu. Atleast alivyoenda Uganda juzi niliona wamempa mapokezi ya heshima.

Leo kaenda huko Ghana kapokelewa sijui na wakuu wa wilaya wale au sijui ni watu gani.

Mbona Rais wetu hapokelewi kiheshima jamani?

Kwa sababu kwenye Royal Tour Peter Greenbarg aliutangazia ulimwengu kwamba Rais Magufuli alikufa kwa Covid19.

Sasa ukiongezea na Samia kuvaa Masks muda wote.
Wale waliopaswa kumpokea huwa wanaogopa na kuwasakizia watu wa chini zaidi.

Pia mkumbuke kwamba sio viongozi wote Afrika na Duniani.
walifurahia kilichotokea Tanzania.Bali wanatupimia kwa sababu tuna vitu wanavyovihitaji kidiplomasia na kiuchumi pia.
 
Wakuu, hivi kweli mkuu wa nchi anaweza akapolekewa na hawa watu kweli?

Kuna huyu amevaa kana kwamba ametoka kwenye ofisi ya mtendaji kuandikisha mkataba wa mauziano ya mifugo (na mkoti wake na safety ruber shoes.

Halafu na huyo mdada kama mratibu elimu kata Wallah.

Mama amepokelewa huko Accra, Ghana. Halafu kuna lijamaa halina hata kisogo.


Wanaweza kuwa bongo movie wa Ghana, Mzee Makamba alimwambia Raisi apumzike kufanya kazi asije akachoka 2025 hakashindwa kufanya kampeni, ndiyo maana wezi Wana mzungusha nje ya nchi ili waiba Kwa Raha
 
Mlitaka apokelewe na watu wa aina gani..?
Katibu mkuu kiongoz wa ikulu ya Ghana, au Waziri mkuu, Makamu Wa Raisi, Yani Raisi wa nchi kubwa anapokelewa na watembeza bidhaa za promotion, ndiyo Maana Dikteta uchwara alikuwa ana sema Tanzania imezaraulika Sana Dunia tunaitaji Tanzania iliyokuwa inaeshimika kama zamani.
 
Back
Top Bottom