Kwanini Rais Samia akienda nje ya nchi hapokelewi na viongozi wenzake wa juu?

Kwanini Rais Samia akienda nje ya nchi hapokelewi na viongozi wenzake wa juu?

Unajua
Kuna ziara tofauti, kuna state visit hizo ambazo wanapokelewa na wakuu wenzao na working visit.

Actually, kiuchumi, working visits ni muhimu kuliko state visits, kwa sababu kwenye working visit kunakuwa na focus kwenye kazi na biashara kuliko diplomasia.

Kwenye state visit muda mwingi unatumika kwenye diplomasia kuliko uchumi.

Kwa hivyo, unaweza kuona rais hapewi heshima sana (working visit), wakati hizo ndizo ziara nzuri kiuchumi.

Soma tofauti hapo chini

Unajua JF imeingiliwa na wasiokuwa na uwezo wa kufanya study kabla ya kukimbilia kwenye keyboards. JF inapoteza its status of being a forum for great thinkers
 
Duh! kuna pisi kali nimeiona hapo naomba connection tafadhali?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatareeeeh
[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23] jf never boring!
 
Wakuu, hivi kweli mkuu wa nchi anaweza akapolekewa na hawa watu kweli?

Kuna huyu amevaa kana kwamba ametoka kwenye ofisi ya mtendaji kuandikisha mkataba wa mauziano ya mifugo (na mkoti wake na safety ruber shoes.

Halafu na huyo mdada kama mratibu elimu kata Wallah.

Mama amepokelewa huko Accra, Ghana. Halafu kuna lijamaa halina hata kisogo.


@cocastic napasuka mbavu huku[emoji1787][emoji1787]🫂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jamaa halina kisogo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]!!
 
Labda hii itamsadia so that she will come to her senses na aache kuzurura kwenye nchi za watu
 
@cocastic napasuka mbavu huku[emoji1787][emoji1787]🫂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jamaa halina kisogo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]!!
Si nimekuita wee mie, [emoji23][emoji3][emoji23][emoji23][emoji3]
 
Mama ikiwa vingine umeshindwa badili basi hata style ya uvaaji kidogo, kuna nguo nyingi za stara unaweza kuvaa na ukapendeza. Nunua vitenge huko Ghana designer aje akufanyie mambo.

Na sasa hivi ukirudi hata wakikupangia safari usiende waambie umechoka na unadhalilika. Ikibidi chukua likizo kabisa kapumzike makunduchi hata wiki mbili.
Apige hata kama zile suti za Kamala Harris.
 
Inatudhalirisha nchi nzima aisee

Ngoja na wao waje! Tutawapa Zitto kuwapokea we waache tu!
 
Wachangiaji wengi humu wana gubu tu, hivyo wao kila kitu ni kukosoa
Hapana wachangiaji hawana gubu Sisi wa Tanzania tunataka kuona na tunapenda Raisi wetu na Mama yetu akienda Kwa watu apokelewe Kwa Mapokez mazuri na yakimataifa na Sisi tulioko nyumbani tupate raha natuone ufahar Raisi akipokewa Kwa viwango vyaki mataifa
 
Back
Top Bottom