Kwanini Rais Samia alimuondoa Meja Jenerali Mbuge kama Mkuu wa JKT?

Kwanini Rais Samia alimuondoa Meja Jenerali Mbuge kama Mkuu wa JKT?

Wote tunakumbuka jinsi Meja Jenerali Mbuge alivyokuwa injini ya ujenzi wa miradi mbalimbali katika awamu ya 5 mpaka kufikia hatua ya kupanda vyeo haraka haraka na kuwa Mkuu wa JKT.

Soon mara baada ya awamu ya 6 kushika hatamu, Mbuge aliondolewa na kupelekwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera, what a demotion?

Ni sababu zipi zilipelekea Mbuge kuondolewa kama Mkuu wa JKT?

Labda alikuwa mdokozi
 
Nikwasababu nchi yetu inasheria dhaifu, teuzi na tengua ni maamuzi ya mtu binafsi, tungekuwa na sheria za hao wateuliwa kuwa wanapatikana kwa utaratibu fulani huo ujinga wa kila rais kuja na steps zake isingekuwepo
Nchi ya hovyo sana hii!
 
Naona kafia india...
Poleni ndugu na jamaa

Ova
 
Naona kafia india...
Poleni ndugu na jamaa

Ova
IMG-20241012-WA0043.jpg
 
Back
Top Bottom