Montserrat
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 10,938
- 14,745
Wote tunakumbuka jinsi Meja Jenerali Mbuge alivyokuwa injini ya ujenzi wa miradi mbalimbali katika awamu ya 5 mpaka kufikia hatua ya kupanda vyeo haraka haraka na kuwa Mkuu wa JKT.
Soon mara baada ya awamu ya 6 kushika hatamu, Mbuge aliondolewa na kupelekwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera, what a demotion?
Ni sababu zipi zilipelekea Mbuge kuondolewa kama Mkuu wa JKT?
siioni tofauti ya mbuge na makamba kiutendaji.... ni mbabaishaji anaejua kucheza na fursa.
waliofanya nae kazi wanamjua.....
Amen,uzuri Mungu lile balaa kubwa kabisa alishatuondolea mwezi uleeee.Tuna unafuu Sasa hivi.
Akili yako haina hata akili ya kunawia maviKwa sababu hatokei ukanda wa pwani, visiwani na sio mwislamu
Acheni uzushi nani ndani ya ccm si mpigajiMbuge alikuwa anapiga madili kijeshi
Mbona wengine bado wapo basi awaondoe wote tujue kama anadhamira ya kweliAondolewe tu.
Ni hatari sana kuchanganya JESHI na siasa.
Historia inaonyesha hivyo.
Kwa sababu hatokei ukanda wa pwani, visiwani na sio mwislamu
IkAcha apumzike apunguze kiherehere.....atastaafu vizuri hilo ndio kubwa zaidikwake kwa sasa
kwakua mama alikua ndani ya mfumo, basi itoshe tu kusema kwamba kuna mengi aliyajua ambayo pengine sio ya kufurahisha sana.
Nchi ya hovyo sana hii!Nikwasababu nchi yetu inasheria dhaifu, teuzi na tengua ni maamuzi ya mtu binafsi, tungekuwa na sheria za hao wateuliwa kuwa wanapatikana kwa utaratibu fulani huo ujinga wa kila rais kuja na steps zake isingekuwepo
DuuhMbuge alikuwa anapiga madili kijeshi
😳🤔🤫Kwa sababu hatokei ukanda wa pwani, visiwani na sio mwislamu
Samia hapigi madili na waarabuMbuge alikuwa anapiga madili kijeshi
Naona kafia india...
Poleni ndugu na jamaa
Ova
Leo amefariki nchini India.....RiPbMaj Gen MbugeMajor General Mbuge Amestaafu