Ule umagufulification bado upo na utachukua muda kuondoka. Pia wakuu wa vyombo vya ulinzi wanajipendeza kwa Rais kutafuta fadhila za uteuzi katika nafasi za kisiasa.Kwa nini huyu mama yenu mpendwa analindwa na askari wengi wenye mabunduki kama ilivyokuwa kwa dikteta Magufuli?
Anaogopa nini? Anamwogopa nani?
Nilikua na kuelewa sana ila sasa ni kama huamini mtangulizi wake amefariki, kila raisi ana protocols zake alindwe asilindwe sioni tatizo
Anajijua kuwa hapendwi na watuKwa nini huyu mama yenu mpendwa analindwa na askari wengi wenye mabunduki kama ilivyokuwa kwa dikteta Magufuli?
Anaogopa nini? Anamwogopa nani?
Sikuwahi kuhoji. Nadha raisi yeyote alindwe, sasa namna wata kavyo fanya waamue wao mfano marekani sionagi raisi ana futwa na hayo mabundukiTukumbusheni kwa mwendazake mlisemaje?
Sikumbuki kuona hivyo kwa mwenye jina hilo halisi, na ni mzee sana pia ukiacha nguvu ya kiutawala aliyonayo ulimwenguni hapa.She is a queen .A queen has to be protected by any means necessary
Anawaogopa CCM wenzake,wamemjaza hofu ajione bila wao hayupo salama.Mojawapo ya strategy ya Chieftain Gang maana wanakula kwa urefu wa kamba zao.Kwa nini huyu mama yenu mpendwa analindwa na askari wengi wenye mabunduki kama ilivyokuwa kwa dikteta Magufuli?
Anaogopa nini? Anamwogopa nani?
Aseee...hii nchi Ina watu hovyo sanaWalituambia Magufuli alikuwa anajipangia.
Mwendazake na helkopta juu pia zilikuwa zinapita kila aelekeako., mama ata hana presha mlinzi wake mwanamke mwenzake na nadhan labda atakuwa na kabastola tuKwa nini huyu mama yenu mpendwa analindwa na askari wengi wenye mabunduki kama ilivyokuwa kwa dikteta Magufuli?
Anaogopa nini? Anamwogopa nani?
Mkoa wa Mara ( Musona ) hapana chezea.Kwa nini huyu mama yenu mpendwa analindwa na askari wengi wenye mabunduki kama ilivyokuwa kwa dikteta Magufuli?
Anaogopa nini? Anamwogopa nani?
True..Gharama ya kumpoteza rais kizembe Ni kubwa kuliko huo ulinzi alionao mama yetu.by the way ni ulinzi wa kawaida Sana huu
Kwani zile helicopters sasa hivi hazipo kwenye msafalaMwendazake na helkopta juu pia zilikuwa zinapita kila aelekeako., mama ata hana presha mlinzi wake mwanamke mwenzake na nadhan labda atakuwa na kabastola tu
Kwahiyo mnataka alindwe na Wachache ili likimtokea la kumtokea muanze tena Kulaumu kuwa PSU ya TISS na JWTZ walikuwa hawamlindi? Acheni Unafiki wenu huuWalinzi ni wengi zaidi ya wale wa Magufuli.
Sasa Marekani teknolojia yao ya ulinzi utailinganisha na hii ya Tanzania?..Sikuwahi kuhoji. Nadha raisi yeyote alindwe, sasa namna wata kavyo fanya waamue wao mfano marekani sionagi raisi ana futwa na hayo mabunduki
Kwa nini huyu mama yenu mpendwa analindwa na askari wengi wenye mabunduki kama ilivyokuwa kwa dikteta Magufuli?
Anaogopa nini? Anamwogopa nani?