Synthesizer
Platinum Member
- Feb 15, 2010
- 12,699
- 22,598
- Thread starter
-
- #101
Unajua maana ya evidence lakini, maana hilo neno haliendani na huu mjadala. Kama kuna kitu unajua sema ili kueleweshana maana bila hivyo wewe ndio mropokaji. Sio kila kitu unachojua wewe na wengine wote lazima wajue. Na hata neno hopeless umelitumia vibaya hapa, hata too.Si ndio hapo,wanaropokwa bila kuwa na evidence,too hopeless.
Hiyo ripoti ilisemaje, na kama kuna tatizolililotajwa toka ripoti ya CAG itoke, hilo tatizo linapaswa kurekebishwa kwa muda gani?Kaka pole; Rudia kusoma ripoti ya CAG Kicheere utajua hiyo ndege iliko!
Nimeona katika picha Rais Samia alitumia ndege ya ATCL Airbus 220 5H-TCH (Dodoma - Hapa Kazi Tu) kwenda Malawi kwenye mkutano wa SADC. Ndege hii ina uwezo wa kubeba abiria kama 120 hivi.
Sio kwamba ninataka tu kumkosoa Rais Samia, lakini najiuliza sana, kwamba ni kwa nini anapofanya safari kama hizi fupi za kwenda hapa karibu Malawi anatumia ndege kubwa ya ATCL badala ya ndege ya Raisi ambayo iliponunuliwa tuliambiwa hata kama ni kula nyasi ili inunuliwe basi tungekula?
Nina uhakika ndege kama Airbus 220 ina gharama kubwa zaidi kumpeleka Samia na ujumbe wake Malawi kuliko angetumia ndege ya Raisi. Na kama watasema walihitaji Airbus 220 kwa sababu ya kuwa na ujumbe mkubwa, ni kwa nini waende na ujumbe mkubwa katika mkutano huu wa SADC wa siku mbili sijui?
Mie nadhani wakati Watanzania tunaambiwa tuvumilie tozo ili kuendeleza miundo mbinu na uchumi kwa ujumla, basi na watu kama Rais Samia wawe na ufikirio wa matumizi ya fedha za serikali kwa kuwa na busara katika vitu kama hivi. Mie sioni sababu ya Rais kutumia ndege za ATCL wakati kuna ndege ya Rais iliyonunuliwa mahsusi kwa ajili ya safari za Rais, na ina uwezo wa kwenda hadi USA.
Na sitegemei watatuambia kwamba hawakuitumia hii Airbus 220 bure bali waliikodi toka ATCL na kulipia, kwa sababu hizo fedha za kukodi pia ni fedha zetu za tozo na zinatuuma.
Mbona enzi za hayati haukuuliza kwann alikuwa anna ruka na A220 kutoka Dodoma mpaka tocha ? Au tokaa Dsm to tocha ?
Nimeona katika picha Rais Samia alitumia ndege ya ATCL Airbus 220 5H-TCH (Dodoma - Hapa Kazi Tu) kwenda Malawi kwenye mkutano wa SADC. Ndege hii ina uwezo wa kubeba abiria kama 120 hivi.
Sio kwamba ninataka tu kumkosoa Rais Samia, lakini najiuliza sana, kwamba ni kwa nini anapofanya safari kama hizi fupi za kwenda hapa karibu Malawi anatumia ndege kubwa ya ATCL badala ya ndege ya Raisi ambayo iliponunuliwa tuliambiwa hata kama ni kula nyasi ili inunuliwe basi tungekula?
Nina uhakika ndege kama Airbus 220 ina gharama kubwa zaidi kumpeleka Samia na ujumbe wake Malawi kuliko angetumia ndege ya Raisi. Na kama watasema walihitaji Airbus 220 kwa sababu ya kuwa na ujumbe mkubwa, ni kwa nini waende na ujumbe mkubwa katika mkutano huu wa SADC wa siku mbili sijui?
Mie nadhani wakati Watanzania tunaambiwa tuvumilie tozo ili kuendeleza miundo mbinu na uchumi kwa ujumla, basi na watu kama Rais Samia wawe na ufikirio wa matumizi ya fedha za serikali kwa kuwa na busara katika vitu kama hivi. Mie sioni sababu ya Rais kutumia ndege za ATCL wakati kuna ndege ya Rais iliyonunuliwa mahsusi kwa ajili ya safari za Rais, na ina uwezo wa kwenda hadi USA.
Na sitegemei watatuambia kwamba hawakuitumia hii Airbus 220 bure bali waliikodi toka ATCL na kulipia, kwa sababu hizo fedha za kukodi pia ni fedha zetu za tozo na zinatuuma.
Gulfstream G550 business jet, sitting capacity yake ni watu 19 sasa labda delegation ilikuwa kubwa,Jet Gulf Stream 50
Alinunua ndege bom.Sijui Kama linafanya kaziAliyetuambia tutakula nyasi lazima ndege itanunuliwa naye ameliwa na udongo.
Ni zile akili ukipata tumia.. chochote mradi mkono uende kichwani fanya. Hata ni kuuza mihadarati sawa 😂😂.
Nimeona katika picha Rais Samia alitumia ndege ya ATCL Airbus 220 5H-TCH (Dodoma - Hapa Kazi Tu) kwenda Malawi kwenye mkutano wa SADC. Ndege hii ina uwezo wa kubeba abiria kama 120 hivi.
Sio kwamba ninataka tu kumkosoa Rais Samia, lakini najiuliza sana, kwamba ni kwa nini anapofanya safari kama hizi fupi za kwenda hapa karibu Malawi anatumia ndege kubwa ya ATCL badala ya ndege ya Raisi ambayo iliponunuliwa tuliambiwa hata kama ni kula nyasi ili inunuliwe basi tungekula?
Nina uhakika ndege kama Airbus 220 ina gharama kubwa zaidi kumpeleka Samia na ujumbe wake Malawi kuliko angetumia ndege ya Raisi. Na kama watasema walihitaji Airbus 220 kwa sababu ya kuwa na ujumbe mkubwa, ni kwa nini waende na ujumbe mkubwa katika mkutano huu wa SADC wa siku mbili sijui?
Mie nadhani wakati Watanzania tunaambiwa tuvumilie tozo ili kuendeleza miundo mbinu na uchumi kwa ujumla, basi na watu kama Rais Samia wawe na ufikirio wa matumizi ya fedha za serikali kwa kuwa na busara katika vitu kama hivi. Mie sioni sababu ya Rais kutumia ndege za ATCL wakati kuna ndege ya Rais iliyonunuliwa mahsusi kwa ajili ya safari za Rais, na ina uwezo wa kwenda hadi USA.
Na sitegemei watatuambia kwamba hawakuitumia hii Airbus 220 bure bali waliikodi toka ATCL na kulipia, kwa sababu hizo fedha za kukodi pia ni fedha zetu za tozo na zinatuuma.
Acha posti za vijiweni, Malawi imekuwa ikileta ndege ya abiria ambayo marubani na wahudumu ni wanawake watupu.Malawi lazima wajua tanzania ipo viwango vya juu katika nyanja ua usafiri wa anga
Malawi wanalo la kujifunza kwamba kila kitu kinawezekana katika sekta ya anga
Pia hapo atcl inatangazwa kiana
Yaani bi mkubwa hilo pipa ndio kageuza motorcade yake. Znz dar dom dom dar znz 😂Na report ya CAG haitakaa izungumzie hasara iliyotengenezwa na ATCL mpaka Bimkubwa akitoka madarakani.
Hizi routes za Dar-Dom nazo anapigia hilo hilo pipa.
Zilikuwepo ndege 2, ndege moja Magufuli akifanya kuwa ya abiria na ikabaki nyingine ambayo pia kwa sasa haionekani.Ndege za Rais Tanzania kuanza kubeba abiria
Friday January 11 2019
Rais wa Tanzania, John Magufuli leo Ijumaa ameongoza Watanzania kupokea ndege ya pili aina ya Airbus A220-300 iliyotokea Canada na kuagiza ndege mbili kati ya tatu za Rais zianze kupakia abiria.
IN SUMMARY
Rais wa Tanzania, John Magufuli leo Ijumaa ameongoza Watanzania kupokea ndege ya pili aina ya Airbus A220-300 iliyotokea Canada na kuagiza ndege mbili kati ya tatu za Rais zianze kupakia abiria.
Advertisement
Dar es Salaam. Rais John Magufuli amesema ndege mbili za rais zinapaswa kuanza kutumika kubeba abiria katika siku ambazo hazitakuwa zikitumika.
Amesema ndege hizo zinatakiwa kupakwa rangi kama za ndege za Serikali zilizokodishwa kwa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), tayari kwa kuanza safari za kupakia abiria.
Kiongozi mkuu huyo wa nchi ametoa kauli hiyo leo Ijumaa Januari 11, 2019 wakati wa mapokezi ya ndege ya pili aina ya Airbus A220-300 iliyowasili katika Uwanja wa Ndege wa kimataifa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar es Salaam.
Amesema badala ya ndege hizo kukaa bila kutumika ni bora zitumiwe kusafirisha abiria kwenda sehemu mbalimbali ili kuhakikisha wigo wa kukuza utalii unaongezeka.
“Kwa kuwa rais mwenyewe hasafiri hovyo sasa zinakaa kufanya nini na moja ina uwezo wa kubeba watu 50. Hii haitabeba abiria pale tu ambako itakuwa inatumika,” amesema Rais Magufuliu.
Akijibu ombi la Askofu mkuu wa kanisa la Full Gospel Bible fellowship (FGBF) Zachary Kakobe aliyemuomba kuwa na desturi ya kukutana na viongozi wa vyama vya siasa kama ilivyo kwa viongozi wa dini, Magufuli amesema anaogopa kukutana na watu ambao wanatukana na kutishia kumkatakata.
“Huwezi kukutana na mtu anayekuambia akikushika atakukata halafu ukutane naye kumbe ndiyo siku yako ya kuchinjwa hivyo ni bora umuache akae mwenyewe huko,” amesema Rais Magufuli.
OK nimekuelewa nduguZilikuwepo ndege 2, ndege moja Magufuli akifanya kuwa ya abiria na ikabaki nyingine ambayo pia kwa sasa haionekani.
Harafu report isiposema hasara safari hii aisee mkaguzi mkuu nitamshangaa.Kama kwa hayati jiwe hasara ilikuwa 50 billions! Kwa huyu mama hasara itakuwa tripple maana anaruka nayo kila akiamka asubuhi [emoji23]
Kwani ATCL ni shirika la nani, MO au serikali?Ndege za Serikali, ATCL haina ndege hata moja, watu mbona hamuelewi