untimwenge
Member
- Apr 27, 2020
- 55
- 105
Mimi nashauri ndege moja ya ATCL ipaki pale kwenye uwanja wa ndege wa chato popo wa kule wazaliane mle maana watu wa kule wamiimiss sana ndegeSi ni wao walinunua wenyewe? Hawakujua gharama zake ni kubwa sana? Sasa walinunua ya nini? Na kama Magufuli asingefanya ubabe wa kununua ndege angesafiri na nini?