Kwanini Rais Samia anatumia ndege za ATCL kwa safari zake hata fupi badala ya ndege ya Rais?

Kwanini Rais Samia anatumia ndege za ATCL kwa safari zake hata fupi badala ya ndege ya Rais?

View attachment 1896706

Nimeona katika picha Rais Samia alitumia ndege ya ATCL Airbus 220 5H-TCH (Dodoma - Hapa Kazi Tu) kwenda Malawi kwenye mkutano wa SADC. Ndege hii ina uwezo wa kubeba abiria kama 120 hivi.

Sio kwamba ninataka tu kumkosoa Rais Samia, lakini najiuliza sana, kwamba ni kwa nini anapofanya safari kama hizi fupi za kwenda hapa karibu Malawi anatumia ndege kubwa ya ATCL badala ya ndege ya Raisi ambayo iliponunuliwa tuliambiwa hata kama ni kula nyasi ili inunuliwe basi tungekula?

Nina uhakika ndege kama Airbus 220 ina gharama kubwa zaidi kumpeleka Samia na ujumbe wake Malawi kuliko angetumia ndege ya Raisi. Na kama watasema walihitaji Airbus 220 kwa sababu ya kuwa na ujumbe mkubwa, ni kwa nini waende na ujumbe mkubwa katika mkutano huu wa SADC wa siku mbili sijui?

Mie nadhani wakati Watanzania tunaambiwa tuvumilie tozo ili kuendeleza miundo mbinu na uchumi kwa ujumla, basi na watu kama Rais Samia wawe na ufikirio wa matumizi ya fedha za serikali kwa kuwa na busara katika vitu kama hivi. Mie sioni sababu ya Rais kutumia ndege za ATCL wakati kuna ndege ya Rais iliyonunuliwa mahsusi kwa ajili ya safari za Rais, na ina uwezo wa kwenda hadi USA.

Na sitegemei watatuambia kwamba hawakuitumia hii Airbus 220 bure bali waliikodi toka ATCL na kulipia, kwa sababu hizo fedha za kukodi pia ni fedha zetu za tozo na zinatuuma.
Hapana,ile ndege ya rais gulfstream,gharama zake ni kubwa sana,ni bora mara mia atumie airbus

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Hao Malawi wana viwanja vikubwa tu, kama kile cha Blantyre na Lilongwe vya kuweza kutua ndege kubwa tu, na hata Air Malawi wana Airbus na Boeing 747 na Bombadier za kutosha zinazofanya safari zake ndani na nje ya nchi...


J
Malawi ipi yenye 747? Hawa si ni maskini wa kutupwa
 
Nadhani moja ni kibiashara zaidi (economic diplomacy) kuitangaza ATCL,kuitangaza Tanzania na vivutio vya kiutalii..

Pili 5H-ONE ni ndogo sana kiuwezo kubeba ujumbe alioongozana nao kulinganisha na hii 5H-TCH..

Mengine ya ziada ni social distancing kuepuka uviko 19 nadhani..
 
Na report ya CAG haitakaa izungumzie hasara iliyotengenezwa na ATCL mpaka Bimkubwa akitoka madarakani.

Hizi routes za Dar-Dom nazo anapigia hilo hilo pipa.
 
View attachment 1896706

Nimeona katika picha Rais Samia alitumia ndege ya ATCL Airbus 220 5H-TCH (Dodoma - Hapa Kazi Tu) kwenda Malawi kwenye mkutano wa SADC. Ndege hii ina uwezo wa kubeba abiria kama 120 hivi.

Sio kwamba ninataka tu kumkosoa Rais Samia, lakini najiuliza sana, kwamba ni kwa nini anapofanya safari kama hizi fupi za kwenda hapa karibu Malawi anatumia ndege kubwa ya ATCL badala ya ndege ya Raisi ambayo iliponunuliwa tuliambiwa hata kama ni kula nyasi ili inunuliwe basi tungekula?

Nina uhakika ndege kama Airbus 220 ina gharama kubwa zaidi kumpeleka Samia na ujumbe wake Malawi kuliko angetumia ndege ya Raisi. Na kama watasema walihitaji Airbus 220 kwa sababu ya kuwa na ujumbe mkubwa, ni kwa nini waende na ujumbe mkubwa katika mkutano huu wa SADC wa siku mbili sijui?

Mie nadhani wakati Watanzania tunaambiwa tuvumilie tozo ili kuendeleza miundo mbinu na uchumi kwa ujumla, basi na watu kama Rais Samia wawe na ufikirio wa matumizi ya fedha za serikali kwa kuwa na busara katika vitu kama hivi. Mie sioni sababu ya Rais kutumia ndege za ATCL wakati kuna ndege ya Rais iliyonunuliwa mahsusi kwa ajili ya safari za Rais, na ina uwezo wa kwenda hadi USA.

Na sitegemei watatuambia kwamba hawakuitumia hii Airbus 220 bure bali waliikodi toka ATCL na kulipia, kwa sababu hizo fedha za kukodi pia ni fedha zetu za tozo na zinatuuma.

Mimi sioni kama ni tatizo sana ilimradi kusiwe na ndege zime park kama zote zinafanya kazi haina shida. Vilevile inawezekana anasafiri na watu wengine mfano wafanyabiashara wa Tanzania
 

Nimeona katika picha Rais Samia alitumia ndege ya ATCL Airbus 220 5H-TCH (Dodoma - Hapa Kazi Tu) kwenda Malawi kwenye mkutano wa SADC. Ndege hii ina uwezo wa kubeba abiria kama 120 hivi.

Sio kwamba ninataka tu kumkosoa Rais Samia, lakini najiuliza sana, kwamba ni kwa nini anapofanya safari kama hizi fupi za kwenda hapa karibu Malawi anatumia ndege kubwa ya ATCL badala ya ndege ya Raisi ambayo iliponunuliwa tuliambiwa hata kama ni kula nyasi ili inunuliwe basi tungekula?

Nina uhakika ndege kama Airbus 220 ina gharama kubwa zaidi kumpeleka Samia na ujumbe wake Malawi kuliko angetumia ndege ya Raisi. Na kama watasema walihitaji Airbus 220 kwa sababu ya kuwa na ujumbe mkubwa, ni kwa nini waende na ujumbe mkubwa katika mkutano huu wa SADC wa siku mbili sijui?

Mie nadhani wakati Watanzania tunaambiwa tuvumilie tozo ili kuendeleza miundo mbinu na uchumi kwa ujumla, basi na watu kama Rais Samia wawe na ufikirio wa matumizi ya fedha za serikali kwa kuwa na busara katika vitu kama hivi. Mie sioni sababu ya Rais kutumia ndege za ATCL wakati kuna ndege ya Rais iliyonunuliwa mahsusi kwa ajili ya safari za Rais, na ina uwezo wa kwenda hadi USA.

Na sitegemei watatuambia kwamba hawakuitumia hii Airbus 220 bure bali waliikodi toka ATCL na kulipia, kwa sababu hizo fedha za kukodi pia ni fedha zetu za tozo na zinatuuma.
Asante ndugu naomba ubia wa huu uzi wako. Yaani umetoa nyongo kwa hiki kinanikera. Ndege kubwa kwa safari fupi ni gharama. Na kama wanajaa ujumbe watu 120 ni ubadhirifu. Wakijidai wanakodisha atc inalipwa kibiashara pia ni ubadhirifu.
Magufuli alijitahidi kuendesha serikali kama ceo wa kampuni. Wakati wote kuona faida na hasara. Kwa ajili hiyo akachukiwa sana na wapigaji.
 

Nimeona katika picha Rais Samia alitumia ndege ya ATCL Airbus 220 5H-TCH (Dodoma - Hapa Kazi Tu) kwenda Malawi kwenye mkutano wa SADC. Ndege hii ina uwezo wa kubeba abiria kama 120 hivi.

Sio kwamba ninataka tu kumkosoa Rais Samia, lakini najiuliza sana, kwamba ni kwa nini anapofanya safari kama hizi fupi za kwenda hapa karibu Malawi anatumia ndege kubwa ya ATCL badala ya ndege ya Raisi ambayo iliponunuliwa tuliambiwa hata kama ni kula nyasi ili inunuliwe basi tungekula?

Nina uhakika ndege kama Airbus 220 ina gharama kubwa zaidi kumpeleka Samia na ujumbe wake Malawi kuliko angetumia ndege ya Raisi. Na kama watasema walihitaji Airbus 220 kwa sababu ya kuwa na ujumbe mkubwa, ni kwa nini waende na ujumbe mkubwa katika mkutano huu wa SADC wa siku mbili sijui?

Mie nadhani wakati Watanzania tunaambiwa tuvumilie tozo ili kuendeleza miundo mbinu na uchumi kwa ujumla, basi na watu kama Rais Samia wawe na ufikirio wa matumizi ya fedha za serikali kwa kuwa na busara katika vitu kama hivi. Mie sioni sababu ya Rais kutumia ndege za ATCL wakati kuna ndege ya Rais iliyonunuliwa mahsusi kwa ajili ya safari za Rais, na ina uwezo wa kwenda hadi USA.

Na sitegemei watatuambia kwamba hawakuitumia hii Airbus 220 bure bali waliikodi toka ATCL na kulipia, kwa sababu hizo fedha za kukodi pia ni fedha zetu za tozo na zinatuuma.
Huyu ndiye Big Brother wa SADDC, Mkuu wa SADC, wote wanamwangalia yeye. Tungewachekea wasaliti wetu angeenda na Kenya Airways.
 
Hiyo hoja ni ya msingi sana. Kupeperusha hilo dude ni gharama kubwa sana!
Na sisi ndio walipa kodi
Sasa mnataka atembee na msafara wa magari mengi ka mwendazake hyo ndio hasara ila ndege ninafuu, pia hyo Airbus haichakai kuliko kukaa tu chini bila kutumika mda mrefu
 
Dah watu mkikosa vitu vya msingi huwa mna hoji hata mambo yasiyoeleweka, ama kweli binadamu hatuna jema
Dah. Mkuu na wewe unasema matumizi ya ndege za ATC siyo ya msingi? Ni ya msingi kweli kweli. Safari moja ya ndege inatumia gharama kubwa. Halafu kumbuka hizi ndege zimenunuliwa kwa ajili ya shirika la ndege. Ina maana hazifanyi kazi? Kama zinafanya, inapotumika kumbeba rais abiria ambao wamekata tiketi na walipangiwa kusafiri nayo wanasafiri na nini? Na kingine: rais anayo ndege yake iliyonunuliwa kwa ajili yake. Kwa nini haitumii? Na pia: Kama Magufuli asingenunua hizo ndege angesafiria nini? Kumbuka hizi ndege zimegharimu fedha nyingi za wananchi hivyo ni lazima wahoji matumizi yake.
 
Sasa mnataka atembee na msafara wa magari mengi ka mwendazake hyo ndio hasara ila ndege ninafuu, pia hyo Airbus haichakai kuliko kukaa tu chini bila kutumika mda mrefu
Ndiyo kusema walinunua ili kuja kukaa chini tu? Haisafirishi abiria?
 
Back
Top Bottom