Kwanini Rais Samia asiitake Wizara za Mambo ya Nje na Ndani zihakikishe zinamrejesha aliyekopa Mabilioni?

Kwanini Rais Samia asiitake Wizara za Mambo ya Nje na Ndani zihakikishe zinamrejesha aliyekopa Mabilioni?

Wizara ya mambo ya nje ihakikishe mfanyabiashara yupi anarudisha pesa wakati Raisi hata jina amegoma kumtaja

Wengine wanalaumu TISS kuwa wamelala wamtafute nani wakati Raisi hata jina lake ana kigugumizi kumtaja ili apate ushirikiano wa vyombo vya dola ndani na nje na watanzania wa ndani na nje

Jina lake kwa nini Raisi hataki kutaja?

Raisi anamwogopa mwizi au?
Raisi kuogopa kutaja jina la Mwizi kuna shida tayari imeanza
Wamelala ndio. Ilitakiwa wazuie yote haya kabla, ila kulala kwao wamelazwa tu maana nao ni CCM
 
Wizara ya mambo ya nje ihakikishe mfanyabiashara yupi anarudisha pesa wakati Raisi hata jina amegoma kumtaja

Wengine wanalaumu TISS kuwa wamelala wamtafute nani wakati Raisi hata jina lake ana kigugumizi kumtaja ili apate ushirikiano wa vyombo vya dola ndani na nje na watanzania wa ndani na nje

Jina lake kwa nini Raisi hataki kutaja?

Raisi anamwogopa mwizi au?
Raisi kuogopa kutaja jina la Mwizi kuna shida tayari imeanza
Jambo la Ovyo sana, alafu anakiri Kabisa, Et hata dhamana alizoweka ni fake , so what??.

Hapohapo unashindws kumtaja ??.


Hili suala NYUMA yake hamna Cha mfanyabiashar wala nn!!.
 
Hizo Billion zingefanya mambo mangapi kwenye Taifa hili ambalo Kila siku tunakopa ?.
Billion 50 mkuu
Watanzania wataaminije hizo Pesa kachukua Mfanyabiasha??
Wakisikia jina la huyo mfanyabiashara wataamini ingefaa atajwe na majina yeye ni Nani akwibe akimbie bila kulipa ?
Au ulikua unatupa Taarifa ili tujue mnaiba Pesa za Nchi hii??
Umesema kwamba ?
Unajuaa Rais Samia, hata kama Urais ni mtaamu ila acha mambo ya yasofaaa
Emu fafanua kidogo mkuu umesema ?
Taifa halitaki lugha yako na kiswahili chako lainilaini
Sijamsikia kule nyuma punguzeni kelele mkuu sijamsikia umesema kwamba ?
huongei na Familia yako
Oo ho kwa hio ndio unamaanisha nini ?
Familia yako unayo hapo Ikulu ,hao ndio uongee nao Kwa kiswahili chako za Zanzibar kama Urais huwezi, achaa!!
Aisee kwa hio ndio hoja yako hii mkuu ?
hukulazimishwa, sio lazima uonekane wee ni RAIS, fahari yako iwe ni Misafara ya magari, Walinzi, na Kila Raha ya Urais, huku Watanzania tunaumia
Basi mkuu amekusikia umeongea kwa uchungu mwingi sana
Basi, sawa kaibaa, Inamaana unashindwa kuziamuru Wizara za mambo ya Ndani na Nje, kushikiliana na Polisi wa kimataifa, kumtafuta huyo mtu?
Kwa hio umesema nini kifanyike emu rudia
Kama sio Wizi nn?? Bilioni 50 ,kwamba hizo Pesa anatembeaa nazo mkonon au? Sikuona Mahali zimehifadhiwa ??.
Basi tuliza mukhari mkuu najua imekuuma Ila tuliza jazba
Rais Samia, acha mambo ya ajabu, Yaan RAIS unalia ,unalalamika kuhusu Rushwa na Ufisadi??
Basi mkuu amekusikia
Alafu Kwa stahili hii mnategema muheshimiwe kweli?? ACHENI mambo ya ajabu, mnatia hasira sana
Basi tuliza mukhari mkuu inauma kweli Ila na yeye huko aliko amejifungia ndani analia peke yake kwa wanachomfanyia hawa wahuni aliowaamini mkuu kua na huruma hata kidogo basi
Dhahabu zilikamatwa Kenya, ila zirudishwa Tanzania, kwann hili liwe zito ??.
Basi mkuu imetosha amekusikia zitarudi hizo Billion 50 na huyo mfanyabiashara ataswekwa rupango na zile walizoenda kuzificha China pia za nini bargain sijui nazo atahakikisha nazo zinarudishwa sawa mkuu,
 
Tuendelee kupinga ushoga maana ushoga ndio chanzo cha ukame na jua kutuchoma tosi zetu.

BRIGEDIA MABWANGA atuongoze kwenye fita hii.
Screenshot_20230330-164914.jpg
 
Kweli mkuu ngoja funga ipite uone watu wanavyotembezewa mikwaju maana wanafanya yeye kudharauliwa na wananchi wake anaonekana km nyoka wa kufugwa na M mdomo koma sina mwanasheria Mimi ooho
Mwanasheria .... USITHUBUTU !!.


ila hapana, Si Kwa kinachoendelea, Na ndio Sababu wakaamua kuanza kumpamba Kwa Mabango ,yaan Miji imekua na vivuli vingi kisa Mabango.

Watu wachafu na kawaida yao kua na mavazi masafi.
 
wakati Raisi hata jina lake ana kigugumizi kumtaja ili apate ushirikiano wa vyombo vya dola ndani na nje na watanzania wa ndani na nje
Anaonekana sio mtu wa kutajwatajwa ovyo mkuu inabidi atajwe kwa umakini ndio maana raisi amekua na tahadhari kwenye kutaka jina na sio kwamba hawezi kutaja mbon amelitaji lile shirika linalokula pesa tangu Nchi inapata Uhuru watu wamelala wamekaa pale wanakula pesa tu wenyewe wanaita kuiingizia Serikali hasara Ila ndio kula pesa huko kawataja bila kigugumizi
 
Back
Top Bottom